Bakhili mmoja baada ya kuaga dunia alienda direct mbinguni..akakabidhiwa ghorofa mbili kama zawadi.kwa ubakhili wake alizipangisha zote akaenda kuishi jehanam.
Hello wana Jf
Nilikuwa naomba kushare na nyinyi hisia zenu, hasa kwa wana JF ambao wameshawahi kufungiwa(BAN) humu jamvini :-
nina mambo machache nataka kujua kutoka kwenu
1. ulikuwa unajiskiaje...
1.Enter any 11-digit prime number to continue.
2.Press any key to continue or any other key to quit.
3.Press any key except... no, No, NO, NOT THAT ONE!
4.Bad command or file name! Go...
Hizi Ndio kumbukumbu zangu za visa za Madenge sijui na wenzangu mnakumbuka zipi?
1. Madenge Darasani kwao alikuja mwalimu mpya wa kike. Akauliza swali 2+2= ? Madenge kama kawaida yake...
Kuna siku nilipanda daladala toka Tegeta mpaka Ubungo na bahati mbaya sikupata bahati ya kupata siti,nikatafuta daladala ya kwenda mbagala nako nilisimama hadi Buguruni, asubuhi hiyo! Baada ya...
Memory was something you lost with age
An application was for employment
A program was a TV show
A cursor used profanity
A keyboard was a piano
A web was a spider's home
A...
Kuna waziri mmoja katika serikali za awamu zilizopita alikuwa waziri wa maji, alikuwa hataki kupigwa picha hii ni kutokana na sura yake kuwa mbaya yan hata sura yake mwenyewe hakupenda kuiona...
Kulala gizani..Haina Majasho
Petrol 2500 ...haina majasho
maPriest kuuza unga...haina majasho
dawa za bil 8 kuoza MSD ..haina majasho
JET ya TPDF kubeba mtuhumiwa asiye na kesi...haina majasho...
Baba mkwe mmoja kutoka bush alingia mjini. Akakuta wajukuu zake wanagombania barafu .akawapora akijua labda ni ndio almasi akauze. akaweka katika mfuko. Baada ya muda wakiwa pamoja. Watoto...
Binti mmoja alilelewa katika maadili mazuri sana na wazazi wake hadi ukubwani. Kama ujuavyo, binti mwenye maadili hakawii kupata mchumba; akachumbiwa na hatimaye akaolewa.
Siku tatu tu baada ya...
MAMA MKWE:Heee wee binti huyu mtoto mbona hafanani na kijana wangu?
BINTI:Mama samahani huku chini nina njia za uzazi na sio machine ya photocopy!
MAMA MKWE:mmhhhhhhhhhhhh!
Ilikuwa ni noma mbaka huruma baada ya dogo mmoja kumuaga mwalimu wake ili arudi nyumbani kwa kisingizio kuwa babu yake amefariki baadaye mwalimu anaenda msibani eti babu anamwambia mjukuu jifiche...
Imeshakuwa kama kamchezo kwa viongozi mbalimbali kuitumia Kariakoo kama mfano mbaya pale wanapotaka kufananisha na jambo baya
Awali kabisa alikuwa Makamba. Nikaja kumsikia tena jamaa mmoja...
Three contractors are bidding to fix a broken fence at the Ikulu's House.
One from South Afrika, another from Kenya and the third from Tanzania.
They visited the State House office to examine the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.