Wakuu habari za majukumu
Nimatumaini yangu mko PowAhh. Naomba kupata mwongozo kwa yoyote mwenye kufahamu process na mambo muhimu ya kuzingatia ili uweze pata pikipiki za mkataba kutoka NMB maana...
Habari za wakati huu wakuu;
Leo nataka niwe BRIEF maana katika maoni ya wadau niliyopata ni kwamba nipunguze urefu wa maandiko yangu kwa sababu baadhi ya watu wana processing power ndogo na...
Habari wakuu
Nimeona watu wengi wakifanya biasha ya pombe
Naomba kuuliza huvi mtaji wa kufungua min store ya pombe bei gan!! (Kama duka la kuuzia pombe).
Kwanza napenda kusema na kukiri wazi mimi ni mmoja wa wale waliokua wakiamini katika msemo ambao watu wengi sana hupenda kuutumia kwamba kizuri chajiuza,kibaya chajitembeza huu msemo ni kweli...
Nchi ya Tanzania ina faida ya kuwa na maeneo ya Uvuvi makubwa katika mikoa mbalimbali. Karibu Kila mkoa kama hakuna mto mkubwa basi Pana Ziwa kubwa au hata bahari ambayo ni mazingira mazuri ya...
Habari wana JF.
Mimi ni mjasiliamali, mkulima wa zao la katani na korosho wilaya ya lushoto huko ndiko nilikowekeza. Naombeni ushauri juu ya namna ya kuanzisha kampuni ya Drinking Water, maji ya...
Assalam Alaykum,
Kama kichwa cha habari hapo juu kinavyoeleza, uzi huu utajikita kujaribu kutoa mwanga kwa wasiofahamu juu ya uharamu wa biashara ya forex kwa mtazamo wa sheria ya kiislamu.
Kwa...
Habari,
Leo nimekuja kwenu kupata mwongozo wa biashara ambayo nina mpango wa kuianza wiki ijayo ya upakaji rangi kucha na ubandikaji kucha za bandia wadada na wake za watu.
Ujuzi nilionao mpaka...
USA: ELON MUSK ANUNUA 9.2% YA HISA ZA TWITTER
Hatua hii inamnafanya Mkurugenzi Mtendaji wa Tesla kuwa mbia mkubwa wa kampuni, karibu mara nne ya ukubwa wa hisa za mwanzilishi Jack Dorsey ambazo...
Mafunzo ya uagizaji wa bidhaa kutoka China kwa wajasiriamali wadogo yatafanyika tar 26 April kwa Google Meeting
Kupitia mafunzo haya utaweza kufahamu yafuatayo:
1. Namna ya kupata wauzaji wa...
Sehemu nyingi za Tanzania alizeti inastawi vizuri sana. Kuanzia Singida na hata maeneo ya Handeni. Wakulima wadogo wanalima na wanavuna.
Hawa think tanks wetu hawajaangalia uwezekano wa kufanya...
Happy holidays JF massive!
Leo nimepata muda nikasema nitatumia muda huu kuwapatia darasa la bure watu wote wanaotaka kufahamu jinsi unavyoweza kutoa pesa yako kutoka UpWork hadi inakufikia...
Jamani NAOMBA MSAADA anayejua minada au magulio makubwa ya kila wiki katika MIKOA ya Kilimanjaro, Tanga, Morogoro, Lindi, Mtwara, Songea, Zanzibar, Manyara nk anitajie
Maonesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam-maarufu kama Sabasaba kwa mwaka huu yatakuwa ya 46 na yanatajwa kushirikisha nchi nyingi zaidi yakiwa ndio maonesho pekee makubwa Afrika...
Habari za jioni ndugu wadau.
Nimekuja na wazo la kuingia kwenye biashara ya kuzalisha chakula cha kuku wa mayai na nyama
Mtaji 200M (kiwanja kibaha, jengo mashine, raw materials, Vibali n.k)...
Nampango wa kuanza biashara ya kuuza mtumba (men jeans) kwa kufungua mabalo plz jeans yeyote ndugu zangu mwenye ujuzi Naomba ushauri kuhusu biashara ya hii pia naombani kwa anaejua wauzaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.