Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Nimekuwa nikiona vinywaji hivi pichani, nikaambiwa ni soda tena ni tamu kushinda hizi tulizozizoea. Vipi zina ubora wake upoje? Na zinapatikana hasa mikoa gani?
2 Reactions
20 Replies
4K Views
Sijui kama utanielewa leo maana nina jambo kwaajili yako ambalo unaweza kulibeba kwa shingo upande. Umeshawahi kujikuta katika hali ya kusema maneno mengi ya namna unavyotaka kufika mbali na...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Sijui kama unajua kwamba kwa wakati huu unaweza kuwa na juhudi kubwa sana kwenye biashara yako ambayo umeanzisha na bado usifike sehemu yoyote? Au kwa lugha nyingine tunaweza sema ukawepo sokoni...
0 Reactions
1 Replies
848 Views
Kwa miaka takribani 15 sasa hakujawahi kutokea kuanguka kwa bei ya Mpunga. Kilimo cha zao la Mpunga kwa msimu wa mwaka 2020/ 2021 kinaleta mashaka makubwa. Bei ya wakati wa mavuno kwa gunia la...
3 Reactions
37 Replies
6K Views
Hili ni moja ya swali kubwa mbalo limekuwa likiulizwa na watu wengi kwamba watawezaje kupata wazo la biashara lenye faida katika maisha yao? Haswa kwa wengi huliuliza kwakuwa wanataka mafanikio...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari, Kutokana na umbali nilipo nimeshindwa kufika Brela kuulizia hili jambo. Imani yangu hapa JF kuna watu wanajua jambo hili. Je ni hatua zipi niweze kuzifuata ili kujitoa kuwa Director...
2 Reactions
6 Replies
6K Views
Kwa anayejua jinsi ya kucalculate gharama ya mzigo uliotumwa kutoka China hadi Tanzania mfano mashine ya kuoshea magari (car washer machine) ya kilo 50
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari za majukumu... Naitwa Mathias ni mwenyeji na Mkazi wa Jiji la Dodoma. Mawasiliano: +255 (0) 752464548 Kama unavofahamu Mkoa na Jiji la Dodoma kwa Ujumla linakuwa kwa kasi sana kuna fursa...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Habari wakuu Moja kwa moja kwenye bandiko letu. Diamond Karanga moja kati ya brand iliyotamba sana hasa pale walipokuaja na Brand name la jina la msanii mkubwa Tanzania. Kitu gani kimewakumba...
2 Reactions
41 Replies
8K Views
Habari zenu wanajamiiforum? Bila kupoteza muda, ni kiasi gani cha fedha unachoweza kuenda kufunga mzigo china ukapata faida nzuri baada ya kodi za tra nk..? Hapa nazungumzia mtaji wa kuanzia M5+...
1 Reactions
4 Replies
3K Views
Makosa makubwa 2 ambayo huwa ni kisababishi kikubwa cha wafanyabiashara wengi wa NETWORK MARKETING kufanya vibaya biashara zao kuanzia kwenye Recruitment na kuuza bidhaa zao. [emoji3581] Kosa...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Habari wana jamvi ni muda wa kufanya kazi ili kujipatia kipato halali na maisha yaweze kundelea. Watanzania tuache longolongo na maneno mingi ili kukuza uchumi wetu. Pia tunafanya dua kwa...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari wana Jf,nlikuwa naomba ushauri katika hii sekta ya utalii wa ndani,kama nkifanikiwa kufungua kampuni ya ku organize utalii wa ndani ntapata faida?Naweza kuwa nimefikisha wazo langu...
0 Reactions
1 Replies
771 Views
Habari wanajamvi. Kama kichwa cha habari kinavojieleza, Nataka kuanzisha biashara ya gas ya kubadilisha sitaki kuuza majiko yake sasa nimejaribu kuuliza uliza kwa wadau wananiambia ni lazima...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wakuu, Mimi nataka niagize mzigo Alibaba je unaweza kufika mpaka mkoani au nafanyaj alie wahi fanya biashara na alibaba au app yoyote anipe ujuzi please
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Watalaamu wa Uchumi wanasema uwezo wa mtu kumudu maisha yake kuwa maana ya kuwa na chanzo cha fedha (iwe kwa kuajiriwa au kujiajiri) humsaidia mtu kupunguza matatizo ya afya ya akili kwa maana...
2 Reactions
1 Replies
717 Views
Habari wapendwa, Hivi karibuni nili place oder Alibaba Lakini tatizo limekuja kwenye Kufanya Malipo, Natumia DTB prepaid MasterCard Ila kila nikifanya Malipo naambiwa payment Unsuccessful Salio...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari wanajamvi, Kichwa tajwa hapo juu. Kwa kifupi: Niliingia ubia na jamaa nikatoa hela zangu akamwomba jamaa mwingine aagize mzigo mzigo (wa nafaka) ukaja umechanganya rangi. Badala ya tani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mie nahusika na ujasiriamali mdogo mdogo na genge la nyama choma kila siku nimekuwa nachukua nyama jioni na kwenda nayo nyumbani na kuweka katika chombo kikubwa cha wazi nimekuwa nafanya hivi mara...
2 Reactions
18 Replies
4K Views
Tanzania hii unatoa agizo eti tiketi zote za mabasi ziwe kwa mtandao, kwa kigezo eti mbona tiketi za ndege zinakatwa kwa mtandao? Ivi Latra mmekosa kazi ? Au mnatafuta kiki?
4 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom