Nataka kuwekeza kwenye biashara ya kuuza dawa za binadamu na mifugo.
Natafuta mtu wa kunusaidia kufuatilia vibali leseni fremu za biashara nk kwani nimebanwa kwa sasa.
Niko Dar es Salaam!!!
Kwanza natanguliza samahan kwa usumbufu na polen na mihangaiko ya week nzima
Naomba kufikisha ombi langu kama kijana wenu.
Sisi n vijana watatu tuliomaliza Chuo mwaka Jana kulingana na uhaba wa...
Kadri mwendo unavyozidi kua mgumu wagumu huendelea.
Wanariadha wa mashindano ya magari na baiskeli hujipatia point za ushindi dhidi ya washindani wenzao kweny kona kwa kuendesha kwa kasi zaidi...
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Nina ndugu yangu anafanya biashara flani kutoka SAUZI sasa nataka kumuomba nimpe mtaji wa kuanzia 1M ili nimuagize TV na Redio kwa ajili ya biashara...
BUSINESS INSIDER | EXECUTIVE INSIGHTS
Dominic-Madori Davis , Business Insider US
Sep 18
Aliko Dangote. (Pic: File, Gallo Images)
The 15 richest people in Africa have a combined net worth of...
Salaaam wana Jf
Nimepata wazo la kufuga nguruwe , naomba wenye uzoefu na hii kitu anisidie ushauri. Namna gani ya kufuga ili kupata faida .
Nb: eneo ninalo la kutosha
Wakuu poleni na majukumu, niende moja kwa moja kwenye mada, naombeni ushauri juu ya kufungua duka la mahitaji madogomadogo na kununua bajaji used kwa mtu kwa kuwa sina pesa ya kununua mpya...
Kila mfanyabiashara/mjasiriamali anapoamka asubuhi akashuka kitandani akasimama juu akajinyoosha akagundua yupo fiti kiafya Humshukuru Mungu sana kwasababu sisi wafanyabiashara pamoja na uzoefu...
Wasalamu...
Copied.
Kipindi cha nyuma wakati naenda Chuo nilikuwa na hela kidogo (5M) nikiwaza nikifika chuo lazima nipate demu wa kutoboa nae maisha.
Daah yalikuwa mawazo ya ovyo sometimes...
Heshima mbele.
Wandugu nimeshasajili kampuni kamili LTD by share. Lengo lake muhimu ni kufanya kazi ya udalali wa Nyumba za kupanga,kuuza, viwanja mashamba hasa mkoa wa pwani. Tunategemea kuweka...
A newly established dairy milk processor and retailer of milk products in Dar es Salaam with an ambitious and elaborate expansion plan is looking for an interested investor/business partner in its...
Habari wakuu.
Naombeni uzoefu kwa wale wenye experience hasa wajasiriamali wadogo wadogo Biashara ni ya kusaga na kupack na kuuza viungo vya vyakula. Ndio inaanza anza lakini nafikiria nipate...
Wakuu habari za wakati huu, kuna hii sijui niseme ni project au ni biashara ya mtandao inaitwa OVALT INVESTMENT, Kuna rafiki yangu yeye amejiunga huko na anajaribu kunishawishi na mimi nijiunge...
Habari ndugu zangu watanzania, Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu Zanzibar,naitwa Rajabu Suleiman.
Nimekuwa nikisikitishwa namna watu ,binadamu wenzangu wanavyotokwa jasho wakitafta kipato...
Habari za muda huu wapendwa. Natumaini mnaendelea vyema na mapambano ya COVID 19 bila shaka Mungu anawasimamia kila iitwapo leo.
Niende moja kwa moja kwenye mada tajwa hapo juu.. Mimi kama...
Habarini wana jamvi, nisiwachoshe sana niende moja kwa moja kwenye point.
Ninamiliki kabiashara kangu hapa mtaani, jana wakapita watu wa Halmashauri wanakusanya hela za leseni za biashara kwa...
Habari wakuu.
Mimi binafsi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu katika chuo flani hapa mjini.Na nasoma course ya uhandisi.Nilipofika jijini kwa mara ya kwanza tangu nazaliwa ilikuwa 2014 mwezi wa kumi...
Habari zenu wakuu,
Ninataka kufanya biashara ya nazi,kwa kusafirisha kutoka Tanga kuja Dar.
Kitu ninachotaka kujua ni je sokoni biashara ya nazi inauzika? na changamoto zake ni zipi?
Na nataaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.