Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Wakuu mzee mengi kabla ya kuondoka, alikuwa kwenye mkakati wa kuanzisha kiwanda cha simu janja na kingine cha magari na tuliona alikuja na wawekezaji, Je, ndiyo mpango wake ule umeondoka naye au...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wadau naomba wazo la biashara nina milioni 7 ndio mtaji naweza fanya biashara gani, naomba mchango wenu.
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Natafuta luxury packaging kwa ajili ya bidhaa za vyakula kama makopo na mifuko. Pia nahitaji watu wanaoandaa package za maboksi yaliyoprintiwa au kuprint katika mifuko.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nahitaji kujua supplier wa viungo kwa jumla. Viwango vya kilo 50 kwenda juu. Wawe juu ya wanaouza viungo Kariakoo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
  • Closed
Binafsi mimi nafanya pia forex ila sio ile ya kufundishwa na Ontario, hapana. Nimejifunza kwa muda mrefu lakini hadi sasa sijapata mafanikio yoyote na hii huenda ikatokana na kuwa bado sijakomaa...
54 Reactions
334 Replies
35K Views
Habari zenu wanaJf Ninapenda kumshukuru Mungu nimefanikiwa kushika mil200 baada ya kufanya biashara ndogo ndogo kwa kila siku nilikuwa naweka 650,000 sasa nimefikia mwaka. Sasa nataka hii pesa...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari zenu? Naomba mwenye kujua au anayeweza kunifundisha jinsi ya kufungua account ya paypal inayowezakupokea pesa Tanzania. Asante.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wanajamvi, Mmejiandaaje na Christmas? Hivi tunaruhusiwa kuuza mbao nje? Kuna kipindi nilisikia kama ilistopishwa. Natanguliza shukrani, Spray
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Naomba kujua kwa Dar ni maduka gani naweza kupata Vipodozi aina zote kwa bei ya jumla.? Ikiwezekana naomba majina ya maduka na eneo liliopo & details zozote unazoona zinaweza kunisaidia kama uzi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu wakuu? Ule mpango wangu wa kuanzishisha biashara sasa umekaribia kuiva. Maeneo ninayopendelea kufungua biashara yangu ya chakula ni maeneo tajwa hapo juu. Yaani mwenge na sinza. Sasa...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Business Plan katika biashara ni kama ramani ya nyumba. Unapotaka kujenga Biashara ni sawa na unapotaka kujenga nyumba au unapotaka kwenda mahali fulani ni muhimu sana uwe na ramani.Business Plan...
2 Reactions
1 Replies
3K Views
Naomba kufahamu mchanganuo wa Biashara ya Tigopesa kwa Kusajili Laini yangu Mwenyewe. 1. Gharama za Usajili 2. Vitu ninavyotakiwa kuwa navyo ili kusajili 3. Ufafanuzi kidogo juu ya malipo ya...
2 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari,huu ni wizi mteja anaweka pesa zake mnazitumia kukopesha akitoa mnamkata kodi je yeye kafanya biashara gani?hii haiko sawa kabisa mmesema hakuna makato yoyote je huo siyo utapeli? Sent...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Habari ndugu wana jamvi! Naomba kupata Updates za soko la tikiti kwa maeneo ya Dar, Pwani na Morogoro, soko likoje kwa mwezi huu wa tisa? Na pia, kwa wale wajuzi wa soko la zao hili, naomba...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Kwa kweli nikiongelea vijana wenye Ushawishi mkubwa baada ya Yesu na Mtume Mohamed SAW namba 3 kwa Tanzania alikua Ontario kijana alikua anaabudiwa na Kama ukienda tofauti naye basi mabingwa wa...
10 Reactions
207 Replies
18K Views
Wanabodi, Baadhi ya Watanzania wenzetu ni masikini kwa kukosa tuu uthubutu wa kuchangamkia fursa za kibishara zinazojitokeza. Watanzania akiona mtu anafanya biashara fulani, na anapata, na yeye...
6 Reactions
6 Replies
3K Views
NAUZA DEKI YA LG HOME THEATER DH4530T SPECIFICATIONS 330W (5.2ch) BASS BLAST 1080P FULL HD UP-SCALING USB CONTENTS PLAYBACK HDMI out & SIMOLINK PORTABLE IN NAMBA YA SIMU; 0783696253
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wanabodi, Hii ni story ya kweli kabisa, true story ya jinsi mtu wa kawaida sana, mwenye eneo tuu pembezoni mwa barabara linalofaa kujenga kituo cha mafuta, anavyoweza kugeuka millionaire au...
2 Reactions
5 Replies
3K Views
Sound effect bora kabisa kwa anaeitaji
0 Reactions
0 Replies
223 Views
Habari wakuu, Samahani nauliza ukinunua kitabu mtandaoni, halafu ukawa huna hela ya wao kukutumia Kama ni cha kutoka nje ya nchi unaweza ukakisoma kwa soft copy baada ya kununua? Na pia, Kama...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom