Je, ni Mfumo gani Bora na unaleta Maendeleo ya haraka kwa nchi kama Rais akiwa Mahiri lakini anaongozwa na Nguvu ya Kikabila, anazungukwa na Wataalam Wabobezi wengi na ni Dikteta Mbunifu na ule...
Asalaam Aleykum,
Naona Tamisemi walishaweka form za SelForm katika tovuti yao, hivo kama mdau wa elimu(mhadhiri, mkufunzi, mwalimu na mwanafunzi n.k)
Karibuni tutoe ushauri juu ya namna ya...
Sanaa mara nyingi imekuwa ikitokana na kipaji ambacho msanii anazaliwa nacho, msanii aliyezaliwa na kipaji fulani hufanya vizuri zaidi katika fani husika kwani kitu afanyacho kipo kwenye damu na...
Habari za mda Tena wanajukwaa,
Kama ilivyoada naomba kupata ufaham juu uwepo wa fursa katika tasnia ya geoscience hususani fani ya geophysics hapa nchini kwetu na maslahi yake kwa ujumla.
Mawazo...
Habari zenu wapendwa wanajamvi
Ninapenda kuwa mtalaamu /fundi wa kuseti madishi ya ving'amuzi kama vile DSTV, Azam n.k. ila sijui wapi naweza kupata elimu hiyo.
Naomba msaada kwa mwenye kujua...
Kutokana na kukua kwa teknolojia na taaluma za ufundi duniani Kuna mabadiliko makubwa Sana yanapaswa yafanyike kwenye mfumo mzima wa elimu yetu ili tupate vijana wenye ubunifu na uwezo wa kupiga...
Hellow
Habari wanaJF
Napenda kuulizia ivi kozi ya ordinary diploma in social Works inahusiana na mfano ukisomea hiyo kozi unakuwa nanii na unafanya kazi kwenye kampuni au ofisi zipi.
Naomba...
Kama ilivyoelezwa Mimi naelekea kuhitimu bachelor yangu katika chuo cha kumbukumbu cha mwalimu Nyerere this year 2022 . Kama wazoefu naombeni ushauri wenu niingie mtaani na fikra gan kulingana na...
Habari zenu.
Swala la elimu nchini Tanzania, ni swala ambalo wanasiasa wengi nchini iwe chama tawala na hata vyama pinzani kiujumla Kwa pamoja wameshindwa kuona kama ni miongoni mwa kikwazo Cha...
*SUP SIO KILEMA*
[emoji41][emoji15][emoji35][emoji41][emoji15][emoji35]
Sup kwangu si kilema,
Ni matokeo ya kitaaluma,
Kama kusoma nilisoma,
Mtihani nikajibu vema,
Moduli zote zilituama...
FIELD MOROGORO
Naomba msaada kwa anayefahamu maeneo ya kufanyia field morogoro mm nakaa kihonda magorofan na nasoma bachelor ya it chuo cha uhasibu arusha.
Habar yako usomaye Uzi huu matumaini uko sawa.
Nirejee kwenye Uzi
Niko na mdogo wangu wa kike Yuko good mno kiakili binafsi namkubali
Sasa alifaulu form 6 pcb 2021 kwa 2.10 Sasa lengo lake...
Good people's,
Nahitaji MTU anayejua Graphics and design, anifunfishe elimu ya awali kuhusu hii Elimu,
Turlewane Kwa malipo ya kitanzania.
Awe Dar es salaam, na awe flexible kuja Posta
Check...
Mshkaji wangu ana bachelor ya education (Chemistry & Biology). Katoka na G.P.A ya 3.8. Sema anataka aongeze elim awe lecturer ila wa vyuo vya afya coz ni vingi kwa sasa.
G.P.A yake ndogo so...
Guys naomba msaada wenu!
Mimi nimemaliza diploma nataka kujiunga na degree mwezi wa 10 ila nahitaji kufanya research ya course ninayotaka kuisomea.
Nahitaji kujua course ya HUMAN RESOURCE AND...
wakuu nina mdogo wangu anasoma diploma ya biomedical engneering.
Sasa anauliza je GPA ipi ni nzuri zaidi kwakua hii semister ana 3.3 msaada kwenu wakuu yupo first year ni vzuri zaid akijua GPA...
Haka kamjadala kamenifikirisha sana, Je! waruhusiwe kutumia simu mashuleni? Naskia mashule ya mafeza boys, mshuke ya st. nani huko wanaruhusiwa kutumia simu ndomana wanafaulu sana ni kweli?
Akili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.