Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Nilikuwa naulizia kuwa hivi inawezekana kupata online copy ya result slip pamoja leaving certificate ya form four?
0 Reactions
3 Replies
843 Views
Mwenye kujua naomba anijuze,nataka nijiandae mapema ili nisipitwe tena kama nilivyopitwa na dirisha la kwanza
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi! Kwa wana JF wote, Samahani ninaomba msaada kuna dogo wangu hapa amesoma HGK ana two ya 11 yaani History-D, Geography-D na Kiswahili-C nilikuwa naomba mnishauri ajaze course gani...
0 Reactions
2 Replies
718 Views
Habari za uzima wapendwa, Naomba kuuliza kwa Mwenye uelewa kuhusu chuo kikuu cha Teofilo Kisanji Mbeya anijulishe ubora wake kama kipo vizuri kwenye kozi ya IT yani information technology...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu naomba kufaham soko la Wildlife management limekaaje Natanguliza shukran za dhati wakuu[emoji120][/COLOR]
1 Reactions
0 Replies
455 Views
Unaweza kutembelea Mwanzo |WAKALA WA VYUO VYA MAFUNZO YA MIFUGO (LITA)
0 Reactions
16 Replies
10K Views
Habarini wapendwa, Nakata kusoma Masters ya Human Nutrition au Epidemiology, napenda kujua kuhusu soko lake na demand yake imekaaje
0 Reactions
6 Replies
3K Views
.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Anayejua maana ya mabeberu atufundishe nchi,taifa au watu gani?toa maoni yako hapa
1 Reactions
15 Replies
5K Views
shakamooni wakubwa zangu, poleni na majukumu, Mimi mdogo wenu kutokana na wenge la matokeo ya mtihani wa taifa f6 2020 nilipata kuomba moja ya chuo cha diploma hapa nchini, kwa bahati nzuri...
0 Reactions
2 Replies
911 Views
Kama form four ulisomea shule ya serikali na ukafaulu vizuri ukaingia chuo, ukamaliza kusoma diploma kwa miaka mitatu na ukataka uendelee na degree. Unaweza kupata mkopo kutoka serikalini huko...
0 Reactions
28 Replies
8K Views
Habari. Uzi huu ni special kwa ajili ya kuwapa ushauri, ukumbusho, usia wadogo zenu wanaoenda vyuoni kumaliza semister kwa miezi 3na sio 4 tena. Kwa jinsi gani wajiweke vyuoni, mienendo yao ya...
1 Reactions
28 Replies
2K Views
If you happened to go through a Jesuit Learning Institution anywhere in the world and you are currently based in Dar es salaam...PM me...I am a Jesuit Alumnus myself and I recently attended a...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
HABARI - Kwahapa Dar nichuo gani kipo juu kwakozi ya BUSINESS ADMINISTRATION - Je, uhitaji wake serikal kwenye nafasi zakazi - Soko lake laajira lipo vipi . Kuna muhitimu anataka kujiunga...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Shida ya haraka, kwenye sehemu wanapotaka tu upload transcript ya diploma, tuna upload NINI? Na hatuna transcript??
0 Reactions
6 Replies
926 Views
-Bachelor of Commerce in Accounting -Bachelor of Accounting and Finance in Public Sector -Bachelor of Accounting and Finance in Business Sector -Bachelor of Acounting and Finance Na pia chuo...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za wakati wanajamvi wenzangu, eee bhana nimetoka kuchukua form ya Kumfanyia maombi mdogo wangu aliyemaliza Form six juzi kati. Matokeo yake hayakuwa mazuri sana hivyo nikaona nimpeleke...
0 Reactions
0 Replies
555 Views
Habarini za majukumu ya leo wana jamii forums. Naomba kuwashirikisha moja ya changamoto iliyotokea kwa watu kadhaa katika zoezi la uombaji wa kazi ya ualimu kupitia tovuti iliyotolewa na...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Habari wadau?! Hivi katika hali ya kawaida, mimi nikitazama mfumo wetu wa elimu tokea vidudu hadi chuo kikuu ni uwekezaji mkubwa sana wa pesa ambao hauna guarantee ya uhakika na ile hali wazazi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari wana JF Nina umri wa miaka 30 nimeishia drs la Saba ila napata fursa nyingi sana lakini kutokana na elimu yangu ni ndogo Kuna baadhi ya fursa zinanipita naombeni msaada nawezaje...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom