Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Naombeni msaada mafundi simu mnisaidie nijifunze na mimi ufundi hata nikienda chuo nisikose mia mbili mia tatu za ufundi. Kwa sasa nipo tu nyumbani sina kazi, sina kibarua chochote licha ya...
1 Reactions
22 Replies
8K Views
Ndugu zangu naombeni msaada, mimi nilihitimu Form Six 2017 ila sikwenda chuo japo nilichaguliwa sasa mwaka huu nilipofanya applications system zinanikataa zinasema tayari nishakuwa admitted kwenye...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni kujua kuhusu vyuo huria maana sijui chochote na jee kuna Open Univecity za medical? Msaada na samahani kwa kiswahili kibovu
0 Reactions
1 Replies
832 Views
HABARINI: Mbona dirisha la udahili undergraduates hawajafungua bado? ARU.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naulzia mtu yeyote aliefanya au anaefanya mitihani ya bodi ya tiob
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hizi apa guidebook mpya kutoka TCU download uangalie vigezo vya kujiunga na kila fani Ukiwa una swali lolote lile unaweza kuuliza.
1 Reactions
40 Replies
12K Views
Habari wakuu naomba kuelimishwa kuhusiana na hio Kozi hapo juu inayotolewa UDOM inahusika na nini haswa?
1 Reactions
11 Replies
9K Views
Habari zenu wadau wa Elimu I hope mko poa, mimi ni mtu ambaye nimesoma Certificate (Astashahada/Cheti) katika moja ya vyuo vikubwa 2 hapa nchini, lakini pia nimefanikiwa kusoma...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wana JamiiForums, Nilikuwa naomba kujuzwa kama kuna mtu miaka ya hivi karibuni amechaguliwa kusoma Nursing au Pharmacy kwa ngazi ya degree na alisoma CBG.
1 Reactions
48 Replies
35K Views
Habari wana JF, Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Afya ngazi ya Diploma nachukua Diploma ya Clinical Medicine. Kwa sasa nipo mwaka wa kwanza ndo tuliorudishwa kwenye hii likizo lakini nilikuwa tayar...
0 Reactions
32 Replies
14K Views
Wadau kwa wanaofahamu taratibu za mtu kuweza kuhama chuo anijuze
0 Reactions
10 Replies
8K Views
Naenda soma HGK ..je kozi zipi nitazipata university?
1 Reactions
12 Replies
30K Views
Nashindwa hata kusalimia Wajumbe Mwaka 2018 nikiwa nimetulia Naandalia Kideo ghafla napigiwa Simu na Classmate wangu ananiambia Mgodi umeshatema ingia Mtandaoni uangalie matoleo, Jinsi...
6 Reactions
75 Replies
7K Views
Wakuu, naomba msaada, eti ukitaka kuapply Diploma kuna gharama yoyote nyingine zaidi ya kulipia ile elfu kumi kwa kila chuo utakachoomba?
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naomba kujua taratbu za kupata transcripts nacte zao zikoje?. Na zinachukua muda gani?
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Samahan wakuu kwa anayeelewa naomba kuuliza ile form ilyotolewa na HESLB ni format ya jinsi ya kuandika ile barua au inakuaje? Naomba anayeelewa anipe maelekezo kidogo [emoji120]
0 Reactions
13 Replies
6K Views
Habari wakuu Ningependa kufahamu juu ya hili jambo nina Higher Diploma nataka nikasome Masters inawezekana?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hello JF, 75% of Tanzanians depends on Agriculture and most of these people live in rural area, it makes sense if the government wants to invest then Rural areas should be one area of focus. One...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Naomba kuuliza hivi TANESCO hawana mitihani ya bodi? Au ile mitihani ya kusoma miezi michache then unaenda kupiga pepa lao ukifaulu unachukua cheti chao. Bila kupitia chuoni!!! Yani kwa kila ngazi...
0 Reactions
0 Replies
476 Views
Habari mdau mwenzangu, Msaada kwa anayejua jinsi na utaratibu wa kujiunga na masomo ya CPA kwa aliye na cheti kisichohusiana na masuala ya uhasibu. Mwanza masomo yanapatikana maeneo gani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom