Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Huyu jamaa alikuwa T.O mwaka 2014 advance. Ila U T.O wako hakubahatisha kwa kuwa wahenga wanasema nyota njema huonekana asubuhi. Isaack alianza kuonesha Cheche zake tangu yupo shule ya msingi...
7 Reactions
28 Replies
9K Views
Haya sasa wale wa SUA tembeleni website ya SUA, [Sokoine University of Agriculture] mjiangalie wenyewe,bila kusahau kurudisha feedback hapa jamvini.
1 Reactions
40 Replies
26K Views
Habari. Wagenzi ninaomba msaada wenu tafadhali, naomba mnijuze ni chuo gani kinatoa diploma ya ukuzaji mitaala (diploma in curriculum development) sifa za kujiunga (vigezo) na mambo yote ya...
0 Reactions
1 Replies
715 Views
habarn za leo, ivi ule mfumo wa kuunganish cheti kwa wale wanao rudia mitihani bado upo au system imebadilishwa? mf 2015 nimepata D moja,2016 nikapata D nyingine moja ,Je nawez kuunganisha ikawa...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Mchekie na mwenzako. Mimi enzi hizo nilipata batch ya 6 Yaani draft ya sita tena100% Chamsingi tu ni nidhamu ya boom ajira bado sana mpaka watumishi tuongezwe mishahara siyo kesho wala kesho kutwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Napata wapi chuo cha maswala ya afya kinachotoa kozi za jioni -evening classes hapa Dar es Salaam
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Leo nakuja kivingine ka mwanamke wa kitanzania niliefundwa nikafundika iko changamoto kubwa nayo ni uelewa hafifu au hata tuseme ujinga katika uga wa mapenzi. Migogoro mingi katika jamii ina-root...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Je, mwanafunzi aliemaliza kidato cha sita(6) na kufaulu vizuri BAM anavigezo vya kusoma courses zipi za Engineering? Je anavigezo vya kusoma computer engineering?
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Wakuu hivi hawa jamaa watatoa lini majina ya Second Selection? Kwa wale tuliokosa toleo la kwanza? Kwa anayejua atusaidie.
0 Reactions
1 Replies
878 Views
Salaam wakuu, Been long since tumemaliza shule ila back in days kuna masomo eg. History au Geog. (Geog II) advance na O-level kulikua na maswali ambayo points zake tulikua tunaziita yeboyebo...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wakuu, nimemaliza kidato cha nne mwaka jana nikapata div three ya point 23 yaan Civ C, Geog C, History C, English C, Bios C, Kiswahili C, Na Maths F. Baada ya hapo nilipangiwa chuo cha...
0 Reactions
55 Replies
11K Views
Habari za muda ndugu Wana jamvi, Kama tunavozidi kushauriana kuhusiana na maswala mbalimbali ya kielimu kijana uyu anahitaji ushauri wa hali na mali ukizingatia ndo tunaelekea kwa kufunguliwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Naombeni ushauri, ninasoma PCM ipi kozi bora niisomee nikifika Chuo?
0 Reactions
40 Replies
7K Views
Wadau naomba ufafanuzi tafadhali Nini maana Hons katika degree? Nje ya UD kuna chuo kinatoa? Vigezo vyake ni vipi? Chuo kina uwezo wa kumpokonya alumni wake degree?
1 Reactions
10 Replies
3K Views
Natafua mtu aliyesoma Masters ya Education au Administration Open University. Kama nitampata mtu huyo atajisaidia sana, please ni PM ili tuwasiliane.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WALIMU SHULE BINAFSI WALALAMIKA KUKOSA MISHAHARA KISA CORONA Chama cha Walimu wa shule binafsii nchini TPTU kimeiomba serikali kuingilia kati suala la madai ya wamiliki wa baadhi ya shule binafsi...
0 Reactions
45 Replies
7K Views
katika fani ambazo zimejificha na siyo rahisi mtu kujua manufaa ya kusoma ni fani za Computer. Zamani niliamini ya kwamba mtu hana haja ya kusomea Computer anaweza kujifunza kama vile ilivyo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Nimejaribu kuuliza watu wengi hasa baada ya haya matokei ya form four wale waliofanikiwa kufaulu juu ya malengo yao ya baadae , asilimia kubwa wameniambia wanataka kuwa madaktari wa mifupa ...
0 Reactions
22 Replies
4K Views
Wakuu Mm nilisoma PCM Tabora boys 2005-2007. Nilikula sana integral na differential equations. Wewe je?
7 Reactions
257 Replies
19K Views
Je, Mtu mwenye ufaulu huu Civ - C , Geo - C , Kisw - C , Eng - C , Chem - C , Bio - C , Phy - D , Math D , Hist - D anae 3 . 22 anaeza kwenda advance Government comb ya PCB 2020?
0 Reactions
16 Replies
5K Views
Back
Top Bottom