Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Habari, Naomba kufahamu ni kwanini mara nyingi ukiangalia picha zilizopo katika vyeti vya kitaaluma hasa vile vinavyotolewa na NECTA Form 4 na Form 6, zinakuwa mbaya kiasi kwamba kama hukumbuki...
2 Reactions
12 Replies
2K Views
Wilya ya chemba-Dodoma ina uhaba wa walimu wa shule za msingi na sekondari.kumekuwa na vyuo vingi vya elimu mkoani hapa na kwingineko lakini hakuna mwamko kwa wanavyuo kufanya field ndani ya...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Habar za muda huu, naomba msaada kwa atakayeweza kunisaidia namna ya kumfundisha mwanafunzi namna ya kuandika HERUFI K, mwanafunzi huko ni wa awali (nussery school). Naamini humu kuna walimu wa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wakuu.. Ni masomo gani ambayo mtu mwenye bachelor degree ya accounting kutoka recognized institution hapa tanzania anapaswa kuyafanyia mtihani ili aweze kupata cpa(t) kupitia bodi ya nbaa...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
*I find this to be Very interesting and meaningful message 2 share*:- ```IF: A = 1 B = 2 C = 3 D = 4; E = 5 F = 6; G = 7 H = 8; I = 9 J = 10 K = 11 L = 12 M = 13 N = 14 O = 15 P = 16 Q...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari zenu wanajamvi, poleni kwa uchovu wa mihangaiko ya maisha. Naandika uzi huu nikiomba anayejua anipe ufafanuzi, Suala ni kwamba mtu anayesoma VETA anaweza kuja kusoma certificate (yaani...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Habari zenu wadau, Naombeni msaada kujua. Kozi tajwa hapo juu ukisoma unaweza kufanya kazi ya magement? Naamanisha unaweza kuajiriwa kazi nyingine nje ya ualimu? Ajira zake ni zipi? Umuhumu wake...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, karibuni tujadili bila upendeleo wala chuki yoyote. Mfano inajulikana wanafunzi wengi wanaosoma University of Dodoma ni wale ambao alama zao hazikutosha...
2 Reactions
124 Replies
20K Views
Aisee mkoa wa Iringa kielimu nao si haba kwa nyanda za juu kusini Miaka hyo ilianzishwa Mufindi Education Trust (MET) ambayo ilikuwa chini ya marehemu Mbunge na Waziri wa zamani wa Elimu JJ Mungai...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu naombeni ushauri..nimedisco mwaka huu nikiwa second year Udsm sasa nahitaji kufanya maombi upya ya chuo TCU. Kama mnavyojua inahitajika kupeleka barua huko TCU ili ufutwe kabisa kwenye...
0 Reactions
108 Replies
23K Views
Naomba kujua kwa mwanafunzi mwenye mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ni mambo gani yanaweza kumfanya kusitishiwa mkopo akiwa bado chuoni. Asante.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Chuo Kikuu cha Shanghai International Studies University kimezindua programu ya kufundisha lugha ya kiswahili. Aidha, chuo hicho kimezindua Centre for East African Studies. Afisa Ubalozi Ndugu...
17 Reactions
230 Replies
23K Views
Nisaidieni wadau nina form 4 div three ya 2013.Nimeachwa vyuo vyote nipeni ushauri.Nina Maths B+,Bios B+,Geog D,Chemistry D,Phys E,Civics D,Hist D
0 Reactions
15 Replies
17K Views
Ndugu zangu naomba kufahamu kozi hizi zifuatazo kwa ajili ya certificate in ICT, Computer science & Computer maintenance ipi ni nzuri na ipi ina soko? Tafadhalini naombeni msaada.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Habari wana JF, Mimi ni kijana na nina Stashahada ya Afya ya wanyama na Uzalishaji ( Diploma in Animal health and production). Matamanio yangu mwaka 2020 ni kusoma kozi ya Wildlife tourism...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Habari wana jamii leo ningependa kushukuru sana maana kiukweli ni vingi nilikuwa sijui ila kupitia jukwaa hili nimejifunza mengi. Sasa ndugu zangu leo napenda tushare maneno mazuri na kutia moyo...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wasalaam! heshima kwenu,naomba msaada wa maelekezo niweze kufika katika Ofisi za ERB (Engineers Registration Board).Nikiwa Dar es Salaam natokea Ukonga-Banana ndiyo starting point yangu.Nashukuru...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba jibu la swali hili wadau[emoji116] Sent using Jamii Forums mobile app
1 Reactions
73 Replies
8K Views
"Galanos school penda watoto....twakupenda twakusifu!.." mnaukumbuka huo wimbo?, Headmaster alikua T. Z. KINALA, namkumbuka sana mwl wa michezo Msocha. Tulikuwa tukitoroka tunaenda disco Club...
0 Reactions
46 Replies
9K Views
Hello wadau,naomba yeyote mwenye details za Chuo cha ardhi Morogoro kwa ngazi ya Diploma anisaidie kunipatia ikiwa ni pamoja na kozi wanazofundisha na ikiwezekana garama yaani ada pamoja na...
0 Reactions
21 Replies
13K Views
Back
Top Bottom