Nimeona watu waliosoma shule tofauti tofauti mfano minaki. Wanajadili, na sisi tuliosoma Ndanda boys tukutane Wikiend hii apa japo tukumbushane matukio na ubora wa shule yetu kongwe kule...
Habarini,
Ningependa kufahamishwa juu ya taratibu za uhakiki wa vyeti kwa wahitimu waliomaliza nje ya Tanzania, sababu wengi wanasema wamekwenda direct TCU pale, lakini kwenye website ya TCU...
Habari za jioni.
Naomba msaada ili niweze kufahau juu ya suala hili.
Kuna uwezekano wa mwanafunzi ya ngazi ya cheti kwa upande wa vyuo vya sheria kujiunga na chuo .january hii?
Sent using Jamii...
Heri ya mwaka mpya.
Kama mzazi, nawiwa kukinzana na ulazima wa mzazi kununua uniform za shule kwenye shule ambayo mtoto amepata nafasi tena kwa bei kubwa.
Kwa wale wazazi au walezi ambao...
Habari wanajamvi,
naombeni msaada, natafuta nursery school au daycare nzuri yenye gharama nafuu, kwa maeneo ya Sinza, Mwenge, Kijitonyama na Makumbusho kwa ajili ya kumpeleka mtoto mwenye umri wa...
Natafuta scheme of work za somo la geography kuanzia kidato cha 1-4 na geography ii ya A level.
Scheme iwe soft au hard copy. kama kuna aloyenazo au anafahamu stationery zinakopatikana ama...
Habarini waungwana!
Mimi ni mwalimu (certificate holder) Nina nia ya kujiendeleza zaidi ya hapa nilipo na natamani sana nisomee "ukaguzi wa shule" kwa kuanza na diploma!
Je diploma hii...
Habari wakuu,
Naomba mwalimu au mtu yoyote mwenye notes za Shule za Msingi hususani English medium zilizo kwenye mfumo wa Soft Copy, Word Document au PDF anicheki PM tufanye biashara.
Au atume...
Habari wandugu, kwa yeyote yule ambae amewahi kupata scholarship ya Ujerumani kupitia DAAD Scholarship naombeni msaada nami nijaribu kuomba. nitashukuru kwa mawazo yenu.
Imekuwa ni kama kawaida shule nyingi za boarding vitanda kuwa na kunguni. Hawa vijana wakija likizo wanatuachia majumbani hawa wadudu.
Walimu angalieni namna mnavyowezakuwasaidia kuua hawa...
Habar wakuu poleni na majukumu naomba kaka zangu na dada zangu mnisaidie ni kozi gani inalipa ya kusoma hasa ktk geography na ndoto za kwenda shule kusoma masters next year naomba msaada anayejua...
MUHTASARI MPYA WA ELIMU HAUNA MADA WALA MALENGO
Muhtasari mpya kwa ajili ya kufundishia elimu msingi darasa la I - VI una kasoro nyingi. Muhtasari huo ukiruhusiwa utumike, elimu ya Tanzania...
wakuu habari za siku,
nina ndugu yangu anataka kuendelea na elimu ya juu kwa ngazi ya shahada ya uzamili (masters). katika moja ya nchi za Bara la Ulaya na angependa kufahamu maana halisi ya hii...
Wakuu habari za muda huu,
Naomba kujuzwa ada kwa wanafunzi wa O Level especially form one ni kiasi gani kwa sasa. Shule inaitwa Msolwa Secondary ipo Kilombero Morogoro.
Kwa anayejua tafadhali...
Napitia historia yake kwenye kitabu alichoandika japo sijakimaliza ila nagundua Mkapa
1. Ni mmoja miongoni mwa wapigania uhuru waliokuwa mstari wa mbele tangu akiwa kijana.
2. Alifaulu masomo ya...
Heri ya mwaka mpya kwenu nyote.
Katika mambo mengi ambayo nimefanya kibiashara na kikazi (maana nimeajiriwa pia) mengi nimejikuta nikifail, hasa katika biashara kwa sababu ya kukosa ujuzi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.