Jukwaa la Elimu (Education Forum)

If you have some College/School issues and wanna share with us, post them here!
Yawezekana unasoma sana lakini matokeo yakitoka hutamani rafiki au hata wazazi wako wajue kile ulichopata au unafanya vizuri darasani na mitihani ya kawaida lakini inapofika muda wa kufanya...
3 Reactions
3 Replies
19K Views
Laurent Simons, a 9-year-old boy from Belgium, is set to graduate with an undergraduate degree in Electrical Engineering next month. He is currently enrolled at the Eindhoven University of...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu naomba msaada na ushauri wenu katika hili, Mimi ni mwanafunzi wa Chuo cha Dar es Salaam Institute of Technology. Napenda sana kusoma maana maisha yangu yanategemea sana elimu. Lengo...
1 Reactions
6 Replies
3K Views
Laurent Simons anasoma Uhandisi wa Umeme katika Chuo Kikuu cha Teknolojia cha Eindhoven huko Uholanzi, na ana umri wa miaka 9. Yuko tayari kumaliza digrii yake mwaka huu na kisha amepanga kuanza...
2 Reactions
16 Replies
3K Views
Habari ya muda huu wakuu, Kama kichwa kinavyojieleza mimi ni mwanafunzi nipo chuo fulani hapa nchini kwa sasa nipo mwaka wa nne nasomea ufamasia. Kutokana nipo chuo cha private na mkopo...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kwa wale ambao Mnataka kujua chochote kuhusu mwenge catholic university ulizeni hapa niwajibu hasa wale walioona selection zao kuwa wamechaguliwa hapo na ambao bado mnasubiri selection kama hiki...
0 Reactions
67 Replies
16K Views
Naitwa Kapena. Nipo Dar es Salaam. Ni mwanafunzi wa Masters ambaye week ijayo natakiwa ku-submit Masters Thesis/Dissertation yangu for examination purposes. Hivyo, natafuta mtu anifanyie English...
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Hii imetokea jana tar.11/11/2019 wakati wa mtihani wa taifa wa kidato cha nne ktk shule moja ya sekondari Wilayani Karagwe Kagera. Wadau saidia na naomba maoni katika hili: Wanafunzi wa kidato cha...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wana JF Nimeikuta List hii somewhere, nafikiri ni useful kidogo kwa wale wenye watoto wanaotaka kuwapeleka A-Level. Jina la shule, mkoa uliopo na COMBINATIONS zake. SHULE ZA A-LEVEL NA...
2 Reactions
7 Replies
141K Views
Za muda huu wadau, Niende kwenye mada moja kwa moja, kwa anayejua chuo ambacho kinatoa kozi za Graphics kwa mfumo wa kozi pekee au kwa mfumo wa short course naomba aniambie. Kama itawezekana...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu, ni wazi kwamba wapo wanafunzi wengi ambao walitarajia kujiunga na masomo ya elimu ya juu mwaka huu ila wameshindwa kutokana na kukosa mkopo kutoka HESLB na pia kutokuwa na uwezo wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Tafadhalini kwa wanaojua hivi vitu, uhasibu na ugavi naomba tofauti zake.
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Kenya Certificate of Primary Education (KCPE) 2019 results will be out before 25th December, as the Cabinet Secretary for Education, Prof. George Magoha has confirmed. KCPE Results 2019 Release Date
0 Reactions
1 Replies
772 Views
And lastly karibuni vyuoni.
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Ninatarajia kuomba Diploma in Clinical Medicine katika vyuo vifuatavyo: Lugalo Military Medical College, Kibaha College of Health and Allied Science, AMO KCMC. Ufaulu wangu ni kama ifuatavyo...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Wana JF habarini! Kwa niaba ya Walimu, napenda kujulishwa utaratibu wa malipo uliotumika katika mitihani ya NECTA inayoendelea sasa (form IV & II). Kuna sintofahamu zimeibuka kutoka baadhi ya...
2 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari wadau, natumaini wote ni wazima wa afya. Hadi kufikia sasa, ni wanafunzi wengi sana tayari wamekatishwa tamaa ya kusoma. Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB) ni tegemezi pekee la walio...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu, natumai mnamalizia mapumziko ya wiki vyema. Naomba msaada wa mwanafunzi yoyote aliepo Chuo cha Ushirika Moshi. Nategemea kuanza Masters hapo ila nipo Zanzibar na sina jamaa...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Kama kichwa kinavyojieleza wakuu, Hivi batch 4 tuitarajie lini kama kuna mwenye taarifa? Maana nipo tu hapa sielewi hatima yangu.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom