Wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada ni hopefully wote ni wazima.
Kuna hivi vituo vya warudia mitihani (Risitters) Elimu ya O’Level miaka miwili A’level mwaka mmoja. Au kama unataka kurudia...
Hakika hiki chuo cha SAUT Mwanza wamenikatisha tamaa ya kuendelea na masomo, naombeni mnishauri nifanye vipi hapa.
Ipo hivi, toka 2015 nimejiunga degree ya ualimu, kuna masomo ambayo hayana unit...
Nadhani ile kauli ya kusoma sio kuelimika inawezajidhihirisha kwenye hiki chuo cha DIT maana ni chuo kinaongozwa na wasomi wa PhD ila kinaendeshwa kienyeji sana.
Kwanza wanauhaba sana wa walimu...
Wakubwa naomba kuwasilisha hii inisaidie mimi na wadau wengine wanaopenda kujua juu ya habari ya Scholarship haswa zinazotolewa nje ya nchi yetu.
1. Vigezo vyake vimekaaje?
2. Jinsi ya kuapply
Kama kichwa kinavyojieleza. Mfumo wa elimu wa vyuo vikuu umegubikwa na rushwa na degree za ngono hivyo kupelekea kuzalisha wahitimu wenye uwezo mdogo. Hili tatizo ni kukosekana kwa mfumo wa bodi...
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu (HELSB) inatarajia kufungua dirisha la rufaa kwa wanafunzi waliokosa mikopo pamoja na wale wanaohisi kupata asilimia kidogo kwenye awamu zilizopita...
Wadau wa elimu naomba msaada.
Ni sahihi Mkuu wa shule kumtoa mwanafunzi nje ya chumba cha mtihani na kumcharaza viboko kisa kusinzia?
Mwanangu kaja na kunisimulia.
Wadau nimerudi tena baada ya post Mambo manne ya kuzingatia wakati wa kuomba scholarship sasa napenda kuwafahamisha wale waliokuwa wananiuliza maswali kuhusu Language proficiency Test , Naam iko...
WAY TO ABROAD PROGRAM
Are you finding Scholarship?......Are you aware that English Language Proficiency Certificate of whether TOEFL or IELTS is important criteria to win various scholarships...
Wana jukwaa la Elimu, kheri ya Mwaka Mpya!!
Mimi ni kijana mwenye matamanio ya kusoma mpaka kiwango cha Masters au mpaka PhD, naomba kusaidiwa mawazo ya namna ya kupata udhamini wa kuweza...
Jana natokea zangu chuo niko kwenye daladala ya Tegeta pembeni kuna mtoto mkali akapigiwa simu kwa maelezo niliyosikia kwa upande mmoja ni kuwa huyu binti alifanya mtihani wa Supplementary matokeo...
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia, William Ole Nasha
Serikali imesema kuwa wanafunzi waliopunjwa na wale waliokosa mikopo inayotolewa na Bodi ya Mikopo ya Elimu ya Juu (HESLB)...
On the surface, universities are a nice idea. You go in, pick a subject you like, learn from the experts, and leave being job- and future-ready. This is why so many people (around 40% in rich...
Habari wana JF naomba mnielezee haya maelezo kutoka bodi ya wahasibu na wakaguzi wa hesabu Tanzania
MODE OF PAYMENT
MAY EXAMINATIONS
NOVEMBER
EXAMINATIONS
Payment with 50% penalty
16th February –...
Habari Wakuu nina mdogo wangu anataka kufanya class review ya ATEC II, kwa Dar Es Salaam ni centre ipi itakuwa poa kwake kati ya Covenant na cornerstone?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.