Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nimeongea na mwenyekiti wa UVCCM wilaya moja ya mkoa Kilimanjaro. Nimeuuliza mbona sasa wanaigeula serikali na wao ni watoto akinijibu kuwa wanaweka shinikizo ili Ngeleja ajiuzulu. Na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wanaJF, jana nilishtushwa baada ya kuona taarifa ya kuwa UVCCM eti na wao wanatoa tamko kuhusu sakata la Dowans. Cha ajabu zaidi ikawa si Dowans pekee bali hata Bodi ya mikopo ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mazungumzo kati ya Pierre Nkurunziza na Mwai Kibaki Written by Femi Friday, 03 April 2009 00:05 Kuiba kura...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimesoma kikatuni gazeti la Majira leo limenichekesha sana. Inaonekana Zitto akiwa ameshika bendera ya chadema akiwa amejifunika magazeti yaliyoandikwa sakata la dowans huku akiwa amelala fofofo...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu: Letter head ya mawasiliano ya ikulu inaonyesha kuwa email yao wanayotumia kwa ajili ya mawasiliano ni ya yahoo (E-mail: ikulumawasiliano@yahoo.com). Jamani hivi hii imekaa sawa kweli. Mi...
0 Reactions
36 Replies
7K Views
Ndugu Zangu, SIASA ni burudani pia. Siku hizi hakuna ukame wa burudani za kisiasa. Kila kukicha, tunaamka na burudani za kisiasa. Jumatano iliyopita nililikamata Tanzania Daima...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu nilko home leo nimebahatika kuangalia mjadala katika Aljazira TV, walikuwa waki discuss namna ambavyo social media zilivyo fanikisha mabadiliko huko tunisia. Jamaa mmoja kutoka tunisia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
nina wasiwasi na hizi noti mpya maana baadhi ya kesi EPA related zilihusu currency overprint ya mabilioni,hivi dowans hawawezi kulipwa kwa mtindo huu halafu JK akatangaza dowans hawalipwi na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hongereni kwa tamko lenu lenye harufu ya uchungu kwa chama chenu ili kiache kukumbatia uovu wakati wananchi wamekiamini na wakakipa dola, ila hamkupaswa kumchafua Mh Dr slaa kwani dhambi zake ni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Katika kudhihirisha kuwa CHADEMA ni chama makini na ni chama ambacho kina sera zenye mashiko serikali ya CCM imekuwa inaendeleza utekelezaji wa sera za chama hicho ambazo mgombea wake wa urais...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ndugu wasomaji, Tumeshuhudia jinsi nchi yetu ilivyokumbwa na vurugu za kisiasa jijini Arusha. Katika vurugu hizo damu ilimwagika. Ni wakati wa masikitiko makubwa kwa nchi yetu na vilevile ni...
0 Reactions
100 Replies
8K Views
Ndiyo.. Ccm hawana urafiki zaidi unafki.. Nakwambia kina Sitta, siku zao za uwaziri zinahesabika. Si uwaziri tu,hata uccm!. Kimsingi endapo kikwete ataridhia malipo ya matapeli Dowans(ofcourse...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndugu zangu kutokana na kumbukumbu zangu leo ni siku ya kesi ya viongozi wetu huko Arusha,kwa taarifa niliyonayo watu wengi hivi sasa wanaelekea mahakamani kusikiliza mashitaka ya viongozi wetu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
huu niwakati watanzani wakuonyesha kua tuna sauti na maamuzi kwenye nchi yetu,hii nchi imekua kama haina mwenyewe nchi ina tawaliwa na majizi raisi tuliye mpa dhamana ya kutuongoza yuko...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kamati Kuu ya CCM, leo inakutana jijini Dar es Salaam, Huku Chama kikikabiliwa na mtihani wa kutanzua baadhi ya migogoro ya chini chini inayowahusisha baadhi ya makada wake pamoja na matukio makuu...
0 Reactions
34 Replies
3K Views
Wana jf kuna jambo nimelifikiria sana la team ya mkapa kuto onekana katika kipindi hiki cha kikwete. Wengi wakiongea serikali inakosa majibu. Hebu tujikumbushe ile team. Mangula, kigoda, Magufuli...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mwanakijiji, 1. Kuhusu Richmond na Dowans, Bunge lenu lilichunguza likasema hakuna sehemu walipoona kwamba Mh. Rostam Aziz anahusika... sasa nini kifanyike tena... Hicho ndicho nilichosema...
0 Reactions
129 Replies
15K Views
Wakati akiwahutubia wanachama wa UVCCM katika mkutano wao uliofanyika mkoani Iringa hivi karibuni na kupelekea Mwenyekiti wa UVCCM Ndg Yusupf Masauni kujiuzulu kwa tuhuma za kugushi nyaraka kuhusu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana JF, hivi magazeti kazi yake ni kuchukua kila wanachoambiwa na kuona na kukiweka kwenye magazeti yao bila kukifanyia tathmini na kuona mantiki yake na kujua ni jinsi gani watakitoa kwa watu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kwakuwa swala hilo limepigwa chenga ya mwaka bungeni , likapigwa chenga mahakamani usuluhishi, Likapigwa Chenga barazani kwa mawaziri, likapigwa chenga kwenye vyombo vya habari, sijui nini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom