Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Zitto awatikisa Chadema Sunday, 12 December 2010 21:38 Boniface Meena KAMATI Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), imeunda jopo la wazee wa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Huu mpasuko ndani ya CHADEMA je unaimarisha chama au unakisambaratisha? Vita ya panzi ni furaha kwa kunguru.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
1. Kujenga reli mpya kutoka Dar es Salaam mpaka mikoa ya Kanda ya ziwa-Nzega, Tabora Mkoa wa Tanga kuwa Jiji la Viwanda- Tanga mjini Tabora kutumia maji ya Ziwa Victoria-Igunga Kulipa madeni...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Tukitembelea Nchi Nyingi Duniani Tunaona Jinsi Gani Instutions Nyingi Katika Nchi Zao Zinavyofanya Kazi Lakini cha Kushangaza Tanzania Wafanya Biashara Hasa Wakubwa Kama Mengi Wanakula Sahani Moja...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
WanaJF wenzangu, Nawashukuru kwa kuniunga mkono katika uchaguzi na kuniwezesha kuwa mbunge wa wote wa Jimbo la Ubungo. Tuendelee kushirikiana kutimiza wajibu katika kipindi cha mwaka 2010-2015...
0 Reactions
82 Replies
9K Views
Tumekuwa tukisikia kwenye vyombo vya habari kuhusu migogoro inayoikumba Chadema kwa sasa, baadhi ya viongozi wa chadema wameamua kuhama Chama!! na yote hii ni mbinu ya CCM kuvunja nguvu za...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Magazeti ya leo ya Uhuru na Nipashe yamebaini ya kuwa CCM kunafukuta moto na chanzo chake ni kuwa wapo viongozi wengi ambao hawaridhiki na jinsi kura za maoni zilivyofanyika ndani ya chama hicho...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kweli hii inanishangaza sana, Kila hatua wanayochukua CDM au kiongozi ndani ya CDM ni mjadala kila mahali, wakati mwingine habari itapotoshwa na kuwekewa vikorombwezo kibao. Lakini kitendo cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Juzi kulikuwa na Kamati kuu za vyama viwili vikuu vya CDM na CUF lakini inayozungumzwa na kujadiliwa zaidi ni CC ya Chadema. Tukubali ukweli Chadema inakua karibu kitakuwa baba wa mageuzi ni...
0 Reactions
1 Replies
959 Views
Chama cha mapinduzi CCM Wilaya Rorya kimepata pigo baada ya madiwani wake wawili kutangaza kuachia nyadhifa zao Waliochukua hatua hiyo ni Ongujo wakibara Diwani wa kata ya Mkoma shirati na...
0 Reactions
16 Replies
3K Views
  • Closed
Nimekuwa nafuatilia mwenendo wa Zitto kwa siku nyingi sana hapa JF na kwenye vyombo vingine vya habari duniani. Nimekuja kuanza kupata mashaka na mwenendo wa Zitto kama wengi wanavyosema pale...
2 Reactions
400 Replies
31K Views
Leo magazetini hasa gazeti la mwananchi limeelezea juu ya mabadiliko hasa ya wakurugezi na nafasi mbili za manaibu makatibu wakuu bara na visiwani yametangazwa, Kwa upande wa bara Ndugu Mtatiro...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wataalamu?ndugu zangu nimekua najiuliza maswali bila majibu,kwa kifupi ni kwamba mwalim nyerere ni roll model wangu na pia alikua anaona mbali sana,amepata sifa kubwa na heshima kubwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
na Mwandishi wetu MKUU wa Wilaya ya Masasi, Nape Nnauye, amewashauri Watanzania kuacha itikadi za vyama, kuungana kwa pamoja na kuandamana ili kupinga hukumu iliyotolewa na Mahakama ya...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Kwa wapenzi wote wa mambo ya kijasusi nadhani hii article itakusisimua!. Click this link and enjoy. The Covert War Against Iran's Nuclear Program - Newsweek
0 Reactions
0 Replies
740 Views
Lakini CCM si wasafi hata kidogo. Kila mtu anajua. Mara Zito, mara Shibuda, mara Mbowe, mara Slaa, mara Josephine, mara sijui nini. Upotoshaji ni upotoshaji tu, hata upakwe rangi vipi. We...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mtambo uilopo karibu na nguzo namba moja zinazo peleka umeme wa 132kv umelipuka jana asubuhi na kusababisha dsm kukosa umeme . Badra masoud alisema dsm iliathirika kutokana na kulipuka kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Fellow JF memebers, please enlighten me where possible: Upon Zitto's suspension from Parliamentary sessions, that time when he became a hero, this guys flew to Dar es Salaam and proceeded all the...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Hi!
Habari zenu wataalamu?ndugu zangu nimekua najiuliza maswali bila majibu,kwa kifupi ni kwamba mwalim nyerere ni roll model wangu na pia alikua anaona mbali sana,amepata sifa kubwa na heshima kubwa...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Wakati Dr. Slaa na Mbowe bado wakiwa na msimamo wa kutomtambua Rais Kikwete kama mshindi halali. Kamati iliyoundwa kumsikiliza Zitto Kabwe imetoa msimamo kwa niaba ya kamati kuu ya chadema kuwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom