Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
kama mashabiki wa jk walisherehekea ushindi wake kwa sbb tu aliwashinda akina dk ws na wenzake, basi ninaweza kusema walifaidi unono huo kwa 100%. ni ukweli usiopingika kwamba sekunde ya kwanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pamoja na ushindi wa kuridhisha wa CHADEMA, ulioniduwaza zaidi ni wa NCCR Mageuzi. From no where, chama tulichokuwa tunakiona kimekufa, kimeweza kuibuka na kubeba majimbo matatu (kama sio mawili)...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
1. Hakikisha mnafungua matawi na kuhamasisha ujenzi wa ofisi katika majimbo yenu. Angalau kila kata iwe na chumba cha ofisi. 2. Fanyeni kazi kwa nguvu ili watu waliowachagua waone tofauti ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Namna hawa majangili walivyochakachua kura inadhihirisha namna hawa mafisadi papa walivyo na nguvu,au wanafadhiliwa na freemason a.k.a viongozi wa ulimwengu?Watatumaliza hawa jamani,kama...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katika vitabu vitakatifu, kitu ambacho hutakatifuza watu, yaani husafisha najisi huitwa sadaka. Kwa miaka michache takukuru imekuwa ikafanya kazi ya kutakasa watu. Yaani mtu anakuwa na tuhuma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Jana nillikuwa katika jimbo la uchaguzi la karatu na nilikutana na watu wengi wenye maswali yafuatayo. 1.Je matokeo yaliyotangazwa na tume nec yanatofauti gani na matokeo kwenye vituo? 2.Je Dr...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wenzetu Kenya wanateswa na genge haram la mungiki genge hili lime weza kuingiza wanachama wake kwenye nafasi nyeti za uongozi nchini Kenya bungeni hata kwenye baraza la mawaziri, hapa kwetu kuna...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dr Shein amemteua maalim Seif kuwa makamu wa kwanza wa rais na balozi Seif Idd kuwa makamu wa pili wa rais... government of national unity in the making
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa Lowassa anajipanga kugombea Urais 2015 na hivyo anamuandaa mtu wa kumuachia Ubunge wa Monduli.Mikakati yake ni pamoja na kuwawe watu wake kwenye Bunge,Ukuu/Ukurugenzi wa...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ingia kwenya mtandao huu; http://FreeOnlineSurveys.com/rendersurvey.asp?sid=llctjh117rjrhpm831560 kisha piga kura ya maoni juu ya nani anafaa kuwa spika wa Tanzania, Tafadhali watumie watu wengi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Monday, 08 November 2010 01:07 0diggsdigg Dk Willbrod Slaa Salim Said JOPO la viongozi wa dini limefanya ziara ya ghafla kwa aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Wiilibrod...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Viongozi wa dini wamtuliza Dk Slaa Monday, 08 November 2010 Salim Said JOPO la viongozi wa dini limefanya ziara ya ghafla kwa aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Wiilibrod Slaa...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Wana JF mi huwa najiuliza CCM ina mali nyingi ambazo wazazi wetu na sote tulizichangia km vile viwanjavya mipira (Jamhuri, kirumba nk) ofc nyingi tu. Je kuna uwezekano zikarudi serikalini maana ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Wana jamii, Wale ambao hamjafika kwenye ofisi za ubalozi wa Bongo mjini Washington DC, mnaomba kupita hapo siku moja. Ukiingia ndani utaona floor imepigwa carpet la nguvu na kuta zinameremeta kama...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Hizi ni ahadi alizotoa JK na CCM kwenye kampeni ya mwaka huu 2010. Sasa kama utekelezaji wake ni zero au hafifu au kwa kiwango cha chini na kuwapima 2015 kwa haya je, utakuwa ni uchochezi au...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Watanzania wamebahatika kuwa katika nchi yenye kila namna ya utajiri. Mali asili nyingi zinatumiwa na watu ili kujiingizia kipato. Moja kati ya maliasili zetu ni maziwa ambamo mwamo tunavua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu wote mliopenda na kutamani kuiona Tanzania mpya, nawapa hongera kwa kazi nzuri sana ngumu ambayo mmeifanya. Nimepokea huu ujumbe mzuri na naamini utawafaa katika kipindi hiki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimefuatilia nyendo za mbunge mchaguliwa wa jimbo la Monduli Edward Lowassa tangu alipofika Arusha saa chache kabla NEC haijatangaza mshindi wa kiti cha ubunge wa jimbo la Arusha mjini. Inaonekana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF; Nimerejea baada ya safari ya takribani wiki mbili ili na mimi niweze kutumia vema haki yangu ya kupiga kura. Nikishapiga kura naondoka tena nikaendelee na harakati za maisha. Nimesikia...
0 Reactions
781 Replies
59K Views
Nisaidie wana JF ipi ni ipi?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom