Ndugu wana JF kwa watu ambao tuna uchungu wa nchi hii inauma sana na tuna hamu sna ya kujua hatma ya majimbo ambayo CHADEMA walishinda na kufanyiwa uonevu na uovu wa uchakachuaji wa kura...
Katika sheria za uchaguzi ni kwamba baada ya matokeo kutoka kila mgombea anapaswa kusaini kukubali matokeo, nauliza iwapo mgombea hakukubali matokeo na kagoma kusaini nini kinafuata. Maana katika...
Inasikitisha sana kwamba kuna Waislam bendera-fuata-upepo waliopotoka, ambao walishawishiwa na ule ujumbe uliokuwa ukisambazwa kwamba Kikwete anapaswa kupigiwa kura na Waislam KWA KUWA ni Muislam...
nimeona hoja mbalimbali toka wanachama wa sisi em kuhusu kuwapa nafas wengine wajaribu nafasi ya uspika hiyo nzuri ila nguvu hizo sikuziona kwenye nafas ya urais ndani ya chama zaid ya kukusisita...
Uchaguzi umepita..! hatuna namna tena zaidi ya kukubali kubeba zigo letu tena- CCM na JK wake kwa miaka mingine 5. Niliwaza kuhama nchi nikakae huko ... mpaka miaka hiyo ipite, lakini baadae...
Katika wiki hii na hasa siku mbili zilizopita nimefuatilia mijadala kuhusu uchaguzi wa Spika wa Bunge kwenye media zetu (TV na Magazeti). Wengi wa waliochangia walikuwa wanaonyesha kwamba Samuel...
Kwa masaa machache sana ambayo nimekuwepo hapa, nimegundua ya kwamba, yule wanaesema WANAMPENDA na kumuamini HAWAMPENDI bali wanambomoa na KUMUANGAMIZA. Kwa sababu kama KWELI WANAMPENDA...
Kwanza nachukua nafasi hii kumpongeza mheshimiwa jakaya mrisho kikwete na chama chake kwa kushinda uchaguzi pamoja na kuwa na kasoro za hapa na pale ambazo ningeshangaa sana kama zingekosekana...
Watanzania wenzangu, Tanzania hatuna viongozi bali tuna wezi wabakaji wa demokrasia, Mafisadi, Madhulumati, Wanyonyaji, Wasio kuwa na chembe ya Uzalendo na nchi yao. Mkuu pls check hizi data the...
Jamani, jana kwenye sherehe za kumwapisha Mkwere, Bwana Mwai Kibaki nusura asije kabisa hadi mwishoni alipoona kuwa aliyoyatenda kwa Odinga yanafanana ya yale aliyoyatenda kikwete kwa wapinzani...
Gazeti la Majira la leo limeripoti ya kuwa Mwanasheria MKuu Bw. Werema akivisigina vyombo vya habari vya hapa nchini kwa kuwashabikia wanasiasa katika uchaguzi huu bila ya kufanya...
Watanzania tuna kila sababu ya kukichukia chama cha ccm bila kujali itikadi za vyama vyetu....Ni aibu sana kumsikia fisi wa ahadi namba 4 akitangaza nia yake ya kugombea uspika wa bunge na...
Poleni na vuguvugu wana JF.
Jamani mm kuna kitu najiuliza sana kwa nn Prof Lipumba hakuzungumzia suala la yeye au chama chake kwa ujumla kwamba ktk zoezi zima ka upigaji na kuhesabu kura...
piga kelele usichoke kuwa kuna haja kubwa kwa sasa kuwa na maridhiano ya kitaifa wananchi tumesha jeruhiwa sana kisiasa kiuchumi na kijamii dawa ni MARIDHIANO JK kaanza vizuri kwa kutamka kuwa...
Juzi wakati nasikiliza radio WAPO, kuna mmama mmoja kutoka Kibamba, alipiga simu kwa mgombea mmoja hivi akawa analalamika kuwa watamfanyia nini ikiwa atachaguliwa, hasa juu ya suala la Mhindi...
Total Population in Tanzania: about 35 M
Eligible population for voting: estimates from NBS projections 47% of the population about 16 Million above the age of 18.
Those who registered for voting...
Kwanza nachukua nafasi hii kumpongeza mheshimiwa jakaya mrisho kikwete na chama chake kwa kushinda uchaguzi pamoja na kuwa na kasoro za hapa na pale ambazo ningeshangaa sana kama zingekosekana...
Mgombea wa uraisi kupitia cuf profesa ibrahimu lipumba amemwambia rais mteule jk ya kwamba ni haibu kwa rais kupata kwa asilimia 27% ya kula zilizopigwa.na kumshauri lazima serikali yake ikae...
Her hands bound and stretched
Between heaven and earth
Her life almost snatched
As her skin torn, in gory
She screams and cry
In anguish she sustain excruciating pain
Her tormentor mercilessly...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.