Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sina budi kumpongeza Rais wa CHADEMA Dr. Willbroad Slaa kwa kazi kubwa aliyoifanya pamoja na team yake yote kukiunua chama. Amefanya kazi kubwa sana kuhakikisha chama kinaongeza idadi ya viti...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mtiririko wa mambo yanavyoenda na matukio hasa ya uchaguzi mkuu, mh. Dr Slaa baada ya kuibua hoja ya kuhusika kwa TISS ktk hujma za uchaguzi , japo TISS wamemruka ni dhahiri watanzania...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Birds of a feather fly together !! Nawatakia CCM na CUF ushirikiano mwema.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Uchaguzi wa mwaka huu unatupatia mafunzo mengi sana. Matokeo ya udiwani na ubunge katika majimbo mengi yameishatangzwa. Katika majimbo mengi, hakukuwa na ulalamishi kwa sababu karatasi kutoka kwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Kulikuwa na mtu hapa alikuwa anatamba kuwa wakishinda wataendelea kufisadi uchumi wa Watanzania. Hongera sana Raj Patel...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Napenda kuwapongeza wana Ngara kwa kutumia vizuri haki yao ya msingi kumchagua mzee wetu mpendwa ndugu Deogratias Ntukamazina. Tuna uhakika mzee huyu atatumika vizuri kuleta maendeleo ya Ngara na...
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Wakuu kama uvumi wa JK kuanguka Ikulu ni wa kweli, nashauri rais wetu aapishwe akiwa amekaa. Sidhani kama ni kosa kufanya hivyo. Au ni vizuri sherehe hiyo ikifanywa kisirisiri au iwe extra short...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
JF hebu leteni full list ya wabunge wateule huku TZ nchi kavu (Bara).
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ndugu zangu uchaguzi umekwisha na matokeo yenye utata yamekwishatolewa na tume ya uchguzi. Matokeo hayo yana kila dalili kuwa yamechakachuliwa kwa nia ya kumuokoa mgombea wa ccm dr jakaya kikwete...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
nashindwa kuwaelewa waandishi wetu wa habari, utasikia jk anaongoza majimbo, kwani kinachoamua ushindi ni majibo au idadi ya kura, je angekuwa ameshindwa kwa idadi ya majimbo lakini anaongoza kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Niwazi kuwa whenga hawakukosea kusema kuwa KUCHAMBA KWINGI MWISHO UTASHIKA HAJA KUBWA. maana yangu hapa nikuwa kura zishapigwa na matokeo ndo kama tunvyosikia live n exclusive kutoka result center...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mojawapo ya majimbo aliyoyataja Dr Slaa jana ni utofauti wa matokeo ya jimbo la Geita, katika pita pita yangu nimegundua matokeo ya Geita na jimbo la Nyang'hwale yanafanana kila kitu. Je...
0 Reactions
109 Replies
14K Views
Wote tunaifahamu CCM na tambo zake pale inapopata ushindi wowote hata uwe mdogo kiasi gani. Ni TOT, taarabu,ngoma na kejeli kwenda mbele. Sasa wamepatwa na nini hawa jamaa? maana pamoja na...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ndugu zangu nilikuwa napitia matoke ya urais katika website ya NEC nikaona kama vile data zinatofautiana na za ubunge nilizosoma kutoka vyombo tofauti vya habari kwa maana ya total casted votes...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
VIGOGO WAWILI WA CHAMA CHA CCM WALIINGILIA KATI MATOTEO YA MAJIMBO TAJWA HAPO JUU, IMEFAHAMIKA. CHANZO CHETU CHA UHAKIKI KINADAI KUWASHUHUDIA WAHUSIKA HAO USIKU MKOANI MBEYA WAKATI ZOEZI LA...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Hongera Dr Slaa kwa ukomavu wa siasa, ila nadhani kuna tatizo la washauri wako wa karibu. Hivi inawezekanaje mawakala wasaini form 24A (provincial declaration) halafu wakwambie kura za jimboni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hili swala la CCM,NEC,UWT(Usalama wa Taifa) KUCHAKACHUA matokeo ya kura za Urais na Ubunge liko wazi kabisa na ushahidi upo. Mifano halisi ni ucheleweshaji wa kutangaza matokeo kwenye maeneo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Baada ya tabiri zake mbili za hivi karibuni kuhusu uchaguzi kuonekana ni za uongo, yule mnajimu ameanza kutapatapa. Kwanza alitabiri kutokuwepo kwa uchaguzi mwaka huu 2010, pili akatabiri kifo cha...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mimi binafsi, NEC na wengine walio wengi tunaamini kabisa CCM imeshindwa kwa kiasi kikubwa ktk Uchaguzi ulifanyika pamoja na kwamba wanaoneka kuongoza. Nakumbuka kabla ya Uchaguzi tuliwasikia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom