Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu zetu Kenya wamefika mbali, mtu akituhumiwa tu, lazima ung'oke kuutumika umma, Tanzania sasa; pamoja na Chenge kuwa na tuhuma kibao kapewa fomu ya kugombea Uspika.. ili iweje? Agghhhhhh...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Haliniingii Akilini kuwa watanzania hatujui pumba ipi au mchele upi?, kwani hata kusikia hatusikii au hata kuona hatuoni?, HAPANA. Au watu wamelogwa?
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wanabodi, Pamoja na mimi kukubali sio Sheikh Yahya, lakini Dr. Slaa ataingia bungeni hivi karibuni kwa njia mbili kuu. 1. Kuteuliwa na JK. Pamoja na JK kuwa ni mtu wa visasi, lakini waungwana...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Hawa waasisi wa CHADEMA wako wapi na wanafanya nini? Nao tunataka watoe tamko lolote ama neno lolote kumsapoti Slaa. Hii vita sio ya Slaa na waleta habari peke yao. Waje hadharani tuwasikie nao...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Sasa tunakaribia mwisho wa matokeo na ni dakika yoyote toka sasa tutapewa ratiba ya kumwapisha JK, sio mbaya sana kwasababu amejiona yupo katika nafasi gani ndani ya mioyo ya watanzania, amejiona...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jana nilipata wasaa wa kumsikiliza huyu kibaraka wa CCM na serikali yake, Rajabu Kiravu wakati akijibu swali la mwandishi mmoja. Jamaa kwa kujiamini kabisa akasema jamii ya watanzania inafuga wezi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi hawa wazee wa tume ya uchaguzi wanajua hata kutumia computer?:thinking:
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Fisadi Kikwete aliposema hivyo alikuwa yupo sawa au ni kuidharau Jamii? Na kama ameidharau jamii je anafaa kuwa kiongozi wakati huko nyuma alishawahikuwa fisadi na bado ataendeleza ufisadi maana...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nimependa jana Kiravu alivyoweka mambo wazi juu ya shutuma za NEC akipewa support na Mwenyekiti msaidizi na mjumbe wa NEC profesa CHALIGA wametulia, angekua jaji tungempendekeza awe ndio...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu, Uchaguzi umeisha na sasa tunajiandaa kuanza safari ndefu ya miaka mitano, kwa ukweli safari hii binafsi naiona ni ndefu sana kiasi nahisi kukata tamaa mapema hasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Just curious!!! Hivi nani ni mgombea urais kati ya hawa? Mbona wote wana majukumu sawa ya kuinua mikono ya wagombea ubunge na kuwatambulisha kwa wapiga kura? Sijaona Makamu mwenyekiti wa chama...
0 Reactions
70 Replies
48K Views
Hata kama anaapishwa kesho but taarifa kwamba watu wamechoka ccm imewafikia! take care
0 Reactions
0 Replies
897 Views
  • Closed
Muhtasari wa kikao cha la cairo huu hapa
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimesikitiswa sana na matokeo ya uchaguzi wa majimbo ya Iramba yaliyompa KIKWETE NA WABUNGE WAKE ASILIA ZAidi ya themanini.Ni wazi katika wilaya ambayo serikal imeisahau ni Iramba ,ACHILIA MBALI...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wanajamvi, namshukuru Mungu nimepiga kura jumapili iliyopita. Samahani kuwasumbua katika hili lakini nadhani litawasaidia wengi katika kipindi hiki, je ule wino tuliowekewa kama alama ya kupiga...
0 Reactions
21 Replies
5K Views
Habari za ndani kutoka CCM zinasema kada aliyejizolea umaarufu katika uchaguzi wa mwaka huu ndg Kinana anaandaliwa kuwa spika wa bunge. Wabunge wote wa CCM wanaandaliwa kuwekwa chini ili...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Tanzania party accuses spy agency of vote theft Tanzania Intelligence and Security Services (TISS) deputy director, Jacky Mugendi Zoka, adresses reporters when refuting allegations by Chadema...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Tarehe 31 October 2010 ilikuwa ni siku ya muhimu na ya kipekee kwa Tanzania na nchi washiriki. Ni siku ambayo watanzania tuliisubili kwa muda mrefu na hatimaye ikafika na sasa imepita. Ni siku...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nimekuwa nikiona malalamiko mengi sana kuhusiana na posho za wabunge, mbona Tanzania kuna watumishi wengi tuu wa kawaida kabisa wanao pata wastani wa mishahara na posho zinazofika milioni12 na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom