Wamarekani wameamua kuiangusha serikali za mitaa za Chama cha Obama, na wanaahidi Obama kutorudi madarakani kwa sababu ameshindwa kuwatimizia alivyowaahidi...! Iwapo watanzania tumemchagua JK kwa...
Kuondoa hisia za "mwamba ngoma huvutia kwao" Chadema ninawashauri waajiri Ernst & Young au PRICE-WATERHOUSE COOPERS ambayo ni kampuni yenye sifa za kimataifa katika kufuatilia wizi wa aina zote za...
Jamani kweli inashangaza sana...............Pamoja na TBC1 kupitisha bango la kuwa NEC inaendelea kutangaza matokeo ya Uraisi sasa TBC1 wamesema haitaendelea kuonyesha zoezi hilo likiendelea kwa...
Source: Mwananchi Thursday, 04 November 2010 08:55
Exuper Kachenje
TIMU ya Waangalizi wa ndani wa uchaguzi mkuu (Temco) imetoa tathmini yake ya awali kuhusu uchaguzi huo uliofanyika...
MATOKEO ya Uchaguzi Mkuu ulioanza katika ngazi ya vyama kwa kura za maoni katika Chama Cha Mapinduzi (CCM), yamewaondoa mawaziri 10 katika nafasi za ubunge ambazo ndio kigezo cha kuteuliwa katika...
Source; Tbc Taifa.
Kupitia taarifa ya habari iliosomwa kupitia Tbc1 Taifa, Kamanda Kova amedai kuwa kuna
Vijana ambao wanarubuniwa kwa kupewa Pesa na wana siasa wasioitakia mema...
Maono yangu miaka mi5 ijayo:halmashauri zilizoleta mabadiliko na kutwaliwa na chadema zijiandae kufunga mkanda kwani iwapo CCM itashika dola basi ni wazi itatumia mbinu zote chafu ili kuonyesha...
Nimemsikiza kova akilamba miguu ya mafisadi kwa mtindo wa "mtumikie kafiri................"
Hajui uchungu tulio nao kwa kuporwa haki yetu.
Mimi nina mfano halisi: Makongolo Mahanga siyo mbunge...
CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA) jijini Mwanza kimeshinda jumla ya kata 11 kwa nafasi ya udiwani kati ya kata 19 zilizoshiriki katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Kwa upande wa CCM...
Mtu yeyote mwenye akili timamu hawezi kukubaliana na matokeo ya Urais ambayo Nec inatangaza hayaendani na yale ya forms za mawakala hiki ni kitendo cha aibu na ni dhambi kubwa sana, chombo hiki...
Wapendwa wabunge wenzangu: ilikuondokana na suala la uchakachuaji wa matokeo ya uchaguzi YAFUTAYO NI MUHIMU;
1: Uchaguzi ufanyike ndani ya mwezi mmoja.
2: Kila mkoa uwe na siku yake ya kufanya...
Kwa uhalisia ni vigumu kwa Makame kusitisha zoezi la uhesabuji kura, kutokana na kuteuliwa kwake na kikwete. Hata amri ya kuchakachua matokeo inatoka kwa JK, Makamba na Kinana.
Ni bahati nzuri kuwa uchaguzi wetu hapa Tz umefanyika karibu kipindi sawa na ule wa nusu muhula (mid-term) wa marekani. Ni ukweli usiopingika kuwa umaarufu wa Barack Obama umeshuka na hivyo chama...
Uzoefu na uchungu nilioupata kupitia uchaguzi huu umenifanya niamue kuingia kilingeni, labda upinzani unakosa maandalizi majimboni, unakosa wagombea wenye uwezo na unakosa mkakati wa kisayansi...
Matokeo yanaendelea ...
Makadirio/Wapigaji 20,445,725
P. Mziray 65,276
J. Kikwete 3,544,673
W. Slaa 1, 234,254
I. Lipumba 589,451
H. Rungwe 13,809
M.MUHANYWA 9,740
F. Dovutwa 6,607...
Uchakachuaji.
Neno hili litakaa sana vichwani mwetu na kukumbukwa kwa muda mrefu sana na itakuwa vigumu sana kwa CCM kujivua mapokeo mabaya ya neno hili.
Ni uroho wa madaraka, uchu wa...
Natafakari, najipa jibu kisha najichukia kuwa Mtanzania. Hapa tunashutumiana: mara CHADEMA TUMECHAKACHULIWA.....mara CCM tutaongoza milele... mara hata nyie mkipewa mtafisadisha. Lakini swali LI...
Taarifa ya matokeo ya Urais yanayotolewa na tume si sahihi......ni tofauti na yale yaliyobandikwa kwenye sehemu za uchaguzi, hili liko wazi kwani ushahidi upo! hata jana Lewis Makame alipoulizwa...
Kama tunavyojua kuna waangalizi kutoka nchi mbali mbali nchini waliokuwa wanafuatilia uchaguzi wetu uliowanyika juzi 31 oktoba. Kundi la waangalizi kutoka umoja wa ulaya wametoa ripoti yao hivi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.