Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Katika hali ya kustaajabisha ndani ya campaign trail inaripotiwa kwamba mgombea wa uraisi kwa tketi ya CCM hauziki. Hili linasemwa chini chini na wenyeviti wa CCM wa wilaya kadhaa. Kutokuuzika kwa...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Ndugu great Thinkers, Sijui kama nakosea! Nimelazimika kuamini kuwa CCM haipo peke yake katika kuhakikisha kuwa inashinda. Baada ya kuona kuwa imeboronga sehemu kadhaa, nimetazama na kuona kuwa...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa nec jaji makame aliwaambia waangalizi wa kimataifa kuwa matokeo ya urais ni hadi nov 3. Haya mazingira yatakuwa salama? Scm si wanaweza chakachua sana hawa? Ila matokeo ya ubunge na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Hakuna haja ya malumbano, siku hizi 3 haziwezi kubadilisha matokeo. Tuwaachie watanzania waamue.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tumeshuhudia raisi Karume akiagwa last week na gwaride la nguvu. Ivi katiba inasemaje kuhusu JK manake to me is common sense aagwe kabisa manake Slaa akichukua nchi hatutakuwa na mda wa kumuaga...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nimepata habari kwamba leo hii Jk alikuwa anahutubia eneo la Kipunguni Moshi Bar jijini Dar na ilipofikia kusema wangapi watampigia kura? Wachache mno walionyesha mkono juu! Bye Bye JK...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Hii makala imekaa kisomi na ni jibu la wale wasiowapenda watoto wetu. Kwa nini elimu bure inawezekana? Dk. Kitila Mkumbo CHANZO: Kwa nini elimu bure inawezekana...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Watanzania tuliofikisha umri wa kupiga kura na ambao tumejiandikisha kupiga kura, tafadhali tusiwaangushe hawa watoto ambao ni taifa la kesho kwa kumchagua Jakaya Kikwete na CCM ambao...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Hii imekuwa up dated kule kwenye heading, Sheikh Mkuu, Mufti atoa uhuru kwa Waislamu.....
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kituo kina wapiga kura 500. Kila mpiga kura atahitaji si chini ya dakika tatu (3) kuingia kwenye chumba kupiga kura na kutoka ( kwa uzoefu wangu wapo wanaochukuwa hata dakika kumi)...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wanajamii naomba kuuliza je Serikali ya Tanzania inawapa ulinzi wa aina gani wagombea wa kiti cha uraisi.Kama tulivyoona wakati wa uchaguzi wa Marekani obama,clinton,mccain walipewa secret service...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
kabla ujahesabu salaa au jk kapata kura ngapi nilazima kwanza kuhesabu jumla ya kura zilizopigwa, wasiwasi wangu ni kwamba kuna idadi kubwa ya watu wamejiandikisha kwenye vituo majina yao yapo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
At the end of counting exercise the results will be displayed at the polling stations, will it be permitted for the general public to come at the polling stations to view them? Several times i...
0 Reactions
1 Replies
820 Views
Zimebakia siku 3 tuu hadi uchaguzi mkuu Tanzania...Na nimejaribu kukaa na kusoma post za watu wengi sana humu na naona wengi mnataka change In Tanzania which is good so do i...Lakini nani kasema...
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Hata mtandao wa NEC ambao ni nec.go.tz kama unavyoonekana hapo chini una leta wasiwasi kama kweli NEC ni chombo kitakachotuhakikishia uchaguzi huru na wa haki. Hivyo ndivyo mtandao wao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
http://4.bp.blogspot.com/_8wYlUz4nTtk/TMaP2XFo_qI/AAAAAAAABGI/JubBRaJTDXg/s1600/Monica+Jimotoli.jpg Jamani hii picha nimeichukua kwa michuzi na inamuunyesha huyu "kingozi wa chadema" akirudisha...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ama kweli CHADEMA imeishika pabaya CCM. Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Moshi mjini,Bernadette Kinabo leo amepiga marufuku sherehe za mahafali ya sekondari ya Majengo inayomilikiwa na Kanisa...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Hawa jamaa wameanza kuchanganyikiwa, angalia yafuatayo: Kinana: Elimu Bure haiwezekani Kikwete: Elimu Bure haiwezekani Prof. Magembe: Elimu bure ni sera ya CCM, wanafunzi wakimaliza darasa la...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Wana JF, Leo Nimetinga Jiji la Arusha na kukutana na Shamla Shamla za mapokezi ya M/Kiti wa CHADEMA Mr. F. Mbowe nilicho kiona duuuh ni kama vile mji wote watapigia kura CHADEMA. Wana JF...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Ndugu zanguni habari. Ikiwa zimebaki siku nne watanzania tuchague viongozi wetu watakatuongoza kwa miaka mingine mitano nimekuwa kwenye dilema. Nina imani kabisa kuwa upinzani wakipewa nafasi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom