Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nafikiri Mgombea wa Urais kupitia chama cha CCM wanamshauri vibaya ili apate wakati mgumu kwenye kusaka kura. Kasi yake ya kuchukua madeni ya Vyama vya Ushirika ambavyo chanzo chake kikubwa ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete! Miaka mitano madarakani hujafanya lolote zaidi ya kuanguka majukwaani Miaka mitano madarakani hujafanya lolote zaidi ya kwenda ughaibuni kuhemea pesa za matibabu ya maradhi yako ya...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimekuwa nikifuatilia jinsi vyama vyetu vinavyofanya kampeni zake, hususan jinsi ya kuwafikishia wananchi, wapiga kura, taarifa mbalimbali zipo njia nyingi lakini moja ni ile ya kutumia vyombo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani hali ya hewa ni mbaya sana kwa sisi m hata vijijini. Hivi sasa nipo Kagera kwenye msiba na nipo eneo linaitwa Izibya ni Bukoba vijijini. Hapa ni usiku na tupo watu wengi kulala hapa...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Binafsi namuona Dr. Slaa kama mtu maarufu zaidi kwenye Kampeni za uchaguzi wa Mwaka huu. Lakini kwa upande wa Pili namuona kama Daudi kwenye simulizi za Biblia aliyemshinda Goliathi, Daudi alikuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jakaya Kikwete 8% Willbrod Slaa 87% Ibrahim Lipumba 4% Mutamwega Mugahywa 0% Hashim Rungwe 0% Paul Kyara 0% Christopher Mtikila 1% Peter Kuga Mziray 0% Total votes: 1714
0 Reactions
41 Replies
6K Views
2005 alimtungia wimbo wakati wa uchaguzi...vipi 2010?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ndio nimeingia Bukoba jioni hii na nimebahatika kusikiliza kipindi cha kimoja ndani ya radio hii mnamo saa 3.30 usiku. kilichokuwa kinazungumzwa nimeshindwa kuelewa hasa muda wa kampeni zinaisha...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Salaam Ndugu zanguni: Ama baada ya salaam ningependa kuwatakia heri na pilikapilika za uchaguzi. Pamoja na hayo ni lazima tuendelee kupanuana mawazo na kuacha kuchukulia siasa kama ushabiki wa...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Monday, 11 October 2010 07:48 Daniel Mjema, Same WAZIRI mkuu mstaafu, Frederick Sumaye jana aliibuka hadharani na kutoa hotuba kali ya kukemea wagombea wanaotoa rushwa, akisema kuwa njia...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Leo hii lumumba.......
0 Reactions
13 Replies
5K Views
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi (CCM), katika kata ya Kukirango wilayani Butiama mkoani Mara, Lucas Magweiga (43), amejiengua kwenye chama hicho na kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
kumekuwepo na matumizi makubwa ambayo hayajawahi kutokea yakiendeshwa na chama kilicho madarakani, sasa mimi na wewe tukiwa watanzania wenye nia ya kuona nchi yetu inapiga hatua ya kimaendeleo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
''Haya nipeni kura zenu mpate peremende''
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Ndg wana JF. katika pitapita yangu nimekutana na opinion poll inayoendelea kupitia link hii http://tzpoll.com/?page_id=195 Poll zote zinazoendeshwa kwenye net Dr. Slaa ni zaidi hawa REDET...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
NDUGU WANA JAMVI, NIMEKUTANA NA ARTICLE HII KATIKA MAIL ZINAZOZUNGUKA MTAANI Subject: Maisha Bora ni yapi? Viongozi wa juu wanalipwa mishahara mizuri sana na hapo hapo hawalipii zile huduma...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Slaa: Watanzania ipuzeeni CCM • Asema imeonyesha dalili za kufa na Mwandishi wetu MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Tanzania People's Defence Force From Wikipedia, the free encyclopedia Jump to: navigation, search This article does not cite any references or sources. Please help improve this article by...
0 Reactions
10 Replies
6K Views
Kaahidi kila kitu....hapa kakwepa...na Mattaka anatanua tu mjini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:A S 465: Muelekeo wa siasa ya Tanzania na mchakato wa Uchaguzi
0 Reactions
0 Replies
911 Views
Back
Top Bottom