Habari ndugu zangu!
Napenda kuweka wazi kuwa sina haja ya kuendelea kuitwa Mtanzania kama chama tawala cha sasa kitaendelea kushika hatam oct 31..
Kwa maana hiyo, sina haja ya kujivunia kuwa mie...
Zamani kiliitwa kipindi cha ''usiku wa habari'' kilichoanzishwa na bwn Muro kabla hajasimamishwa kwa tuhuma za kuomba rushwa kama ilivyoripotiwa na vyombo mblmbl ikiwemo TBC. Sasa kipindi...
Naomba kujua njia bora ya kumshawishi mtanzania hasa wa kijijini ambaye hajui nini chanzo cha umaskini wake ili aweze kuchagua mabadiliko. Kumbuka inawezekana wengi hawajui maana ya ufisadi wala...
Wadau hebu tusaidiane. Inawezekana mimi ndo sina habari sahihi, kwa sababu pengeni sikufuatilia michakato ya uchaguzi ndani ya CCM na hata sifuatilii kampeni zao!
Nijuavyo, Dr. Bilal ni mgombea...
Najiuliza maswali juu ya mstakabali wa nchi hii na siasa zake nakoswa jibu, maana nikikumbuka tangu 1977 CCM ilizaliwa lakini kila miaka ikienda nilitegemea kitakuwa chama chakuwatoa wananchi...
Mzee ulisema kuwa hakuna damu itakayomwagika katika uchaguzi huu. Lakini tokea wiki iliyopita pale watu wawili walipouwawa katika mapigano ya wana-CCM na wana-CHADEMA huko Njombe, bado hujatoa...
Kwa vyombo vya habari na jinsi vinavyotoa elimu ya uraia, asilimia 42.7 ya wahojiwa waliridhika na utendaji wake ambapo redio ziliongoza kwa asilimia 73.7, televisheni asilimia 41.6 na magazeti...
Mara tu baada ya Tanganyika kupata uhuru wake Mwalimu Nyerere aliwatangaza maadui watatu wa taifa hili kuwa ni Umaskini, Ujinga na Maradhi, na kaanzisha rasmi mapambano dhidi ya maadui hao. Licha...
Tanzania People's Defence Force
From Wikipedia, the free encyclopedia
Jump to: navigation, search
This article does not cite any references or sources.
Please help improve this article by...
Wana JF wenzangu nimekuwa mwanachama mtiifu wa CHADEMA tangu 1996 hadi hivi sasa nimevaa gwanda naombea kura chama changu. Licha ya juhudi zote hizi naona viongozi wetu wa CHADEMA hasa Dr slaa na...
Nina rafiki yangu mmoja alitegemea kufunga ndoa mwezi huu wa 10 na mdada falni ambae ni mwanajeshi wa JW. Vikao vishakaliwa na kila kitu kilikuwa pouwa kabisa, ila juzijuzi tu yule dada kapewa...
NIMEHUDHURIA mikutano ya kampeni za awamu ya pili za mgombea urais wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa. Kwa nguvu za kampuni ya gazeti hili la Raia Mwema, nimefika katika mikutano ya Ifakara...
The I Have a Dream Speech
The following is the edited text of the spoken speech "I have a Dream" by Martin Luther King Jr, transcribed from recordings. I have related this Dream to our current...
NINGEKUWA NA NAFASI YOYOTE YA UONGOZI CCM NINGEJIUZULU
Nimekuwa nikiangalia kwa makini mwenendo mzima wa Kampeni za wagombea wa urais.
Nimekuwa nikifuatilia masuala ambayo yangeitwa ni mazito...
Nimeangalia kwa muda sasa picha za Chadema kwenye mikutano yao ya kampeni. Jambo moja lililo dhahiri ni kuwa hawajajua namna ya kutumia rangi kujenga acceptance, ushirikiano, kukubalika, kupendwa...
Ingawa napenda sana Dk. SLAA awe Rais, lakini nimevumilia nimeshindwa!!Haka kamsemo ''Go Dk Slaa Goooooo.....'' huwa kananiuzi sana nikikaona. Nawakilisha.:flame::bump::A S 109::whoo::target:
Hawa wakazi wa kusini naamanisha mikoa ya Lindi na Mtwara najua kabisa wana hamu kubwa sana ya mabadiliko. Kwa sasa mimi nipo mtwara, nilipita huko mtaani yaani hali inakatisha tamaa, hawa jamaa...
In 2005, Dr. Salim Ahmed Salim tested JK's ruthlessness......Even the then PM, the soft spoken Tluway Sumaye was left gnashing and fuming.....................
In 2010, sms tied to JK are doing...
Wakati wanachaguana wao kwa wao walikuja na Kauli Mbiu kuwa USHINDI NI LAZIMA! Hatukuwaelewa kwa sababu tushawazoea. Kwani walishawahi kusema Kasi Mpya, Nguvu Mpya na Ari Mpya na Tanzania Yenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.