NAIBU katibu mkuu wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (Tucta) Nicolaus Mgaya jana alikuwa kivutio kikubwa mbele ya Rais Jakaya Kikwete wakati aliposhangiliwa kwa muda wa zaidi ya dakika kumi...
Katika hali ya kushangaza gazeti la uhuru wamekanusha kuendesha maoni yaliyokuwa yanahoji utendaji wa serikali. Kwa sasa imeondolewa. Na wanasema hawaendeshi maoni ya aina hiyo.
Cha ajabu ni...
Kero ya Fixed Charge kwenye ankara za Tanesco ni miongoni mwa kero nyingi ambazo zimekuwepo muda mrefu lakini hakuna hata kiongozi mmoja anayeelekea kuitatua.
Ukitaka kuweka umeme kwenye jengo...
Jamani Jk jana alikutana uso kwa uso na raisi wa vyama vya wafanyakazi mbwana Mgaya.kitika muda wa kutambulishwa wageni walitambulishwa wengi lakini hakuna aliyopigiwa makofi au kushangiliwa...
leo nimefanikiwa kusikiliza kipindi cha PATA PATA katika radio ya WAPO FM 98.0. Kulikuwa na wasikilizaji wanatuma ujumbe wa maandishi kuhusu taarifa zilizokuwa zinatolewa. katika kipindi...
Habari za uhakika zilizonifikia hivi punde, Hazina imesimamisha miradi yote mipya ili kuelekeza fedha hizo katika kunusuru ajira ya JK na CCM serikalini ambayo hivi sasa inapumulia kwa mashine...
Ktk kipindi cha Jahazi cha Radio Clouds jioni hii, kuna hili limeripotiwa na producer Semalenga wakati wa kampeni za CCM, kuwa JK amesema vitu viwili vifuatavyo akiwa anamnadi mgombe wa jimbo hilo...
Dk Slaa amtaka Jk ataje waliopewa Sh1.7 trilioni Monday, 04 October 2010 07:34 digg
Beatus Kagashe, Iringa MGOMBEA wa urais wa Muungano kwa tiketi ya Chadema , Dk...
Wana JF;
Kwa wale walio makini katika kusoma "Body Language": Je ni ujumbe gani tunaupata kutoka kwa Walinzi hawa wa amani waliokuwepo katika Mkutano wa Kampeni za Urais wa Dr. W.P. Slaa...
Kwanaza Naomba Nikupongeze MD wa Global Publishers.
Nimekua nikipata habari nyingi za kuelimisha, Kufurahisha na mengine mengi.
Naomba niseme Kuwa nimegundua at the moment you are biased...
Siku 28 kabla ya Watanzania kupiga kura ya kuchagua Rais, Wabunge na Madiwani, madhehebu kadhaa ya Kikristo nchini yameungana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Full Gospel Bible Fellowship, Zachary...
Siku ile ailita wafanyakazi Mbayuwayu na kusema " Mimi ndio mwajiri wenu.Atakayegoma nitamfukuza kazi" Nasi Oct 31 twendeni TUKAMFUKUZE KAZI
Alisahau kuwa sisi ndio waajiri wake.
Hivi huu mjadala umeishia wapi?
na kwa mujibu wa Mfalme Sele wa Morogoro,je Zanzibar ni Nchi au sio nchi?
http://www.youtube.com/watch?v=lYuGc9lHlWU&feature=related
Kwa muda mrefu kumwkuwa na thread kuwa wengi wa wanaokuja katika kampeni za CCM na JK mbali na kushangaa kuwa mgombea mmoja anaweza kusafiri kwa herikopta 3 lakini kuna tetesi kuwa huwa wanasombwa...
Wana JF, ukimwangalia sana JK utagundua kuwa kachoka bin taabani! Analazimisha tabasamu! Anaongea kama vile anaongea na waandishi wa habari, haongei kama anahutubia. Atamaliza kweli kampeni?
Hadi sasa wana jf jk hajafika pemba alikotakiwa kuhutubia na hapa watu wameanza kutawanyika,je ataweza kulinda muda uliowekwa na tume wa mwisho wa kampeni yaani 12 jioni?
kama ilivyo kawaida ya porojo za ccm kuwa wanamuenzi baba wa taifa huku wakiwa wachafu kimaadili kupindukia,ikiwa sasa kwenye kampeni zake hasa kwenye majimbo yenye wagombea wenye maadili shakani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.