Na Jenerali Ulimwengu
Agosti 11, 2010
Raia Mwema
KATIKA hali tuliyoishuhudia wakati wa kura za maoni ndani ya chama - tawala si rahisi kwa ye yote anayefuatilia masuala ya siasa za nchi hii...
Ningekuwa mgombea ningehakikisha yafuatayo yanakuwa ngao yangu kwenye kampeni.
1. Kurudisha na kuimarisha Heshima na Hadhi ya Mwananchi na Taifa la Tanzania.
2. Kurudisha na kuimarisha Heshima...
ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi...
Mmoja wa wagombea ubunge wa CCM aliyeshinda nafasi hiyo kwenye kura za maoni amenusurika kuuwawa na jambazi aliiyetumwa kummaliza baada ya jambazi huyo kumwambia kwamba yeye ni mtu mwema...
Neno samahani am soory kwa wanasiasa wengi na hata sisi tusiokuwa wanasiasa huwa ni gumu sana kulitanka kama kunywa sumu.
Naomba nipendekeze 1ja ya swali muhimu kuwauliza wagombea watarajiwa...
Security agencies around the Middle East and Asia wants to have access to Blackberry phones when a national security issue warrants it. From Saudi Arabia, to India governments have been pushing...
Naizungumzia NCCR ile iliyokuja kuibuka baada ya sakata la Mrema na Chavda! Naizungumzia NCCR iliyokuwa imemtunuku Mrema uenyekiti wa chama hicho mara baada ya kuihama CCM kwa mbwembwe(haijapata...
Kama nilivyosema Tatizo la Tanzania hasa Dar ni barabara ndogo. Hapa Houston, TX tuna magari milioni mbili (2 million) na hatuna jam kama ya Dar
From IPP website
The President explained that...
KUNA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI SASA VIMEGEUKA KUWA VYOMBO VYA HATARI,HABARI KUBWA WANAZOJUA KANDIKA WAO NI ZA UDINI TU,NASHINDWA KUELEWA WANATOA WAPI UJASIRI,WANAFANYA KAZI KWA NIABA YA NANI YA...
Chadema leaders in Tarime move to CUF
By DAILY NEWS Reporter,
13th August 2010
Political wind has hit hard Chadema in Tarime District, Mara Region where hundreds of its members returned their...
Tumeshuhudia vituko, vioja, mbwembwe, rafu, rushwa, kamata kamata na mengineyo katika siku za kampeni kuelekea kura za maoni ya chama twawala!
Sasa nimeamua kuanzisha thread mahususi kwa ajili...
Wakuu tarehe 14 kuna kikao muhimu cha Chama. Dalili zinaonesha kuwa kuna-fouls zinapangwa kuchezwa ili kuwanufaisha baadhi ya watu walioshindwa kwenye kura za maoni, na kuwakwamisha wale...
Wajumbe wote wa kamati kuu ya CCM wamehudhuria kikao cha CC kinachoendelea Dodoma isipokuwa mwanasiasa mkongwe, John Samuel Malecela pamoja na waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa.
Haikuweza...
UKIONA kwa mwenzio kunaungua ujue kwako kunateketea. Hiyo ni kauli iliyodhihiri jana baada ya uchaguzi wa wabunge wa viti maalumu wa Chadema, kufutwa baada ya kutokea vurugu zilizohusisha utoaji...
..napenda kujua mchango wa mapato ya SMZ kati ya Unguja na Pemba ukoje.
..pia napenda kujua wanagawana vipi misaada wanayopata.
..najua kuna wanaolalamika kwamba Tgk inawaminyia misaada, lakini...
Gazeti la Annuur la Ijumaa Agosti 6-12, ISSN 0856-3861 Na 902 limeandika katika ukurasa wa mbele kabisa kuwa Bunge lijalo kuwa la Usharika na Mchungaji atakuwa Spika Samuel Sitta.
Wanajenga...
Mimi si mpenzi sana wa siasa wala si mwanachama wa chama chochote na nilipiga kura nilipokuwa na miaka 18 miaka 20 iliyopita na nilipiga kwa vile nilitaka kujaribisha ila sijaona cha mabadiliko...
Napendekeza Watanzania wote wenye nia ya kuufahamisha umma wa Wa Tanzania kwa nini CCM hawastaili kupewa miaka mingine ya kuongoza nchi hii kuanda cd zikionesha picha kutoka sehemu mbalimbali za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.