Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Na Jenerali Ulimwengu Agosti 11, 2010 Raia Mwema KATIKA hali tuliyoishuhudia wakati wa kura za maoni ndani ya chama - tawala si rahisi kwa ye yote anayefuatilia masuala ya siasa za nchi hii...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Ningekuwa mgombea ningehakikisha yafuatayo yanakuwa ngao yangu kwenye kampeni. 1. Kurudisha na kuimarisha Heshima na Hadhi ya Mwananchi na Taifa la Tanzania. 2. Kurudisha na kuimarisha Heshima...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
ninapenda sana kuona uongozi wa vijana ktk nchi hii,alipokatishwa Zitto uenyekiti ili baadae agombee urais niliona kweli wazee wa CHADEMA ni waoga kwa vijana na ndio maana kumekuwa na kambi...
0 Reactions
48 Replies
5K Views
Mmoja wa wagombea ubunge wa CCM aliyeshinda nafasi hiyo kwenye kura za maoni amenusurika kuuwawa na jambazi aliiyetumwa kummaliza baada ya jambazi huyo kumwambia kwamba yeye ni mtu mwema...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Neno samahani am soory kwa wanasiasa wengi na hata sisi tusiokuwa wanasiasa huwa ni gumu sana kulitanka kama kunywa sumu. Naomba nipendekeze 1ja ya swali muhimu kuwauliza wagombea watarajiwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Security agencies around the Middle East and Asia wants to have access to Blackberry phones when a national security issue warrants it. From Saudi Arabia, to India governments have been pushing...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Naizungumzia NCCR ile iliyokuja kuibuka baada ya sakata la Mrema na Chavda! Naizungumzia NCCR iliyokuwa imemtunuku Mrema uenyekiti wa chama hicho mara baada ya kuihama CCM kwa mbwembwe(haijapata...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama nilivyosema Tatizo la Tanzania hasa Dar ni barabara ndogo. Hapa Houston, TX tuna magari milioni mbili (2 million) na hatuna jam kama ya Dar From IPP website The President explained that...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
KUNA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI SASA VIMEGEUKA KUWA VYOMBO VYA HATARI,HABARI KUBWA WANAZOJUA KANDIKA WAO NI ZA UDINI TU,NASHINDWA KUELEWA WANATOA WAPI UJASIRI,WANAFANYA KAZI KWA NIABA YA NANI YA...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Chadema leaders in Tarime move to CUF By DAILY NEWS Reporter, 13th August 2010 Political wind has hit hard Chadema in Tarime District, Mara Region where hundreds of its members returned their...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Tumeshuhudia vituko, vioja, mbwembwe, rafu, rushwa, kamata kamata na mengineyo katika siku za kampeni kuelekea kura za maoni ya chama twawala! Sasa nimeamua kuanzisha thread mahususi kwa ajili...
0 Reactions
496 Replies
68K Views
Waziri wa zamani Joseph Mungai amepandishwa kizimbani kwa kosa la 'kuchakachua' kwenye kura za maoni za CCM. Source: TBC1 Habari
0 Reactions
70 Replies
8K Views
Wakuu tarehe 14 kuna kikao muhimu cha Chama. Dalili zinaonesha kuwa kuna-fouls zinapangwa kuchezwa ili kuwanufaisha baadhi ya watu walioshindwa kwenye kura za maoni, na kuwakwamisha wale...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wajumbe wote wa kamati kuu ya CCM wamehudhuria kikao cha CC kinachoendelea Dodoma isipokuwa mwanasiasa mkongwe, John Samuel Malecela pamoja na waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Haikuweza...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
UKIONA kwa mwenzio kunaungua ujue kwako kunateketea. Hiyo ni kauli iliyodhihiri jana baada ya uchaguzi wa wabunge wa viti maalumu wa Chadema, kufutwa baada ya kutokea vurugu zilizohusisha utoaji...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
..napenda kujua mchango wa mapato ya SMZ kati ya Unguja na Pemba ukoje. ..pia napenda kujua wanagawana vipi misaada wanayopata. ..najua kuna wanaolalamika kwamba Tgk inawaminyia misaada, lakini...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Gazeti la Annuur la Ijumaa Agosti 6-12, ISSN 0856-3861 Na 902 limeandika katika ukurasa wa mbele kabisa kuwa Bunge lijalo kuwa la Usharika na Mchungaji atakuwa Spika Samuel Sitta. Wanajenga...
0 Reactions
60 Replies
6K Views
Mimi si mpenzi sana wa siasa wala si mwanachama wa chama chochote na nilipiga kura nilipokuwa na miaka 18 miaka 20 iliyopita na nilipiga kwa vile nilitaka kujaribisha ila sijaona cha mabadiliko...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Napendekeza Watanzania wote wenye nia ya kuufahamisha umma wa Wa Tanzania kwa nini CCM hawastaili kupewa miaka mingine ya kuongoza nchi hii kuanda cd zikionesha picha kutoka sehemu mbalimbali za...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau mnaofuatilia kikao cha NEC/CC cha CCM huko Dodoma hebu tupeni yanayoendelea huko. Wazee wetu waliokosa ubunge wanafikiriwa? Presha zikoje huko???
0 Reactions
20 Replies
4K Views
Back
Top Bottom