Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nimekaa na kuanza kutafakari, ivi kauli mbiu za uchaguzi mwaka huu 2010 zitakuwaje Nikapata japo hizi mbili za CCJ na CCM CCJ (ikiwa watapata usajili): "Wamebana wameachia, mwanga mpya...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Hawa Ghasia, amewataka watumishi wa umma...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Fedha na Uchumi) Dk. Mwinyihaji Makame Mwadini. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, (SMZ) imetangaza mwelekeo wa bajeti ya mwaka wa Fedha 2010/11 ambapo inatarajia...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kauli hii ime tolewa na mmoja wa marafiki zangu. Ilitolewa kiutani lakni nika jikuta nime guswa na hayo maneno. Kwamba Tanzania( na pengine sehemu zinginezo) kuna MWANANCHI na MWENYENCHI. Nika...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
PROFESA LIPUMBA ACHUKUA FOMU KUGOMBEA URAIS: Tokea kuanza kwa mfumo wa vyama vingi wapinzani wamekuwa wakisimamisha wagombea wale wale tu. Hii desturi ya kujaribu jaribu itaisha lini? Hivi huko...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
(1) Rais (Muungwana)------> Kutoka Bagamoyo (2) Makamu wa Rais (PHD)-->Katokea Pemba (3) Waziri Mkuu (Son of Peasant (SOP))---> Katoka Sumbawanga Hivi bado tunajiuliza tumerogwa na nani...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
CCM: Liundi taja mamluki tuliowapandikiza upinzani 2009-01-01 13:44:58 Na Simon Mhina Chama cha Mapinduzi CCM kimejibu shutuma dhidi yake zilizotolewa hivi karibuni na msajili wa kwanza wa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Uzinduzi wa mabasi hayo umefanywa jana Dar es Salaam na Waziri Mkuu Mizengo Pinda kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete kwa Shirika la Usafiri la Dar es Salaam (Uda) kuhadharishwa mradi usifie mikononi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ya wapi maisha bora, Yale tuloahidiwa, Visiwani nako bara, hakika tuliambiwa, Mambo kuwa barabara, chama tukikichagua Wanaoona waseme, ya wapi Maisha Bora? Kauli mbiu ilikuwa, ikawekwa...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kuna mtu kanieletea picha ifuatayo katika mojawpao ya mass mailing ninazopopokea kila siku. Sijuii picha yenyewe imapeigwa wapi ila nina uhakika kuwa ni Tanzania. Kuna tafisir nyingi sana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Big thinkers naomba kuuliza swali! wakati mechi ya brazil na sisi ikiwa ndo imewiva kuna jamaa alikatiza uwanjani katikati na police wakawa wamemng'ang'ania! najiuliza hv! je wakati jamaa anazama...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Huyu mama anajitahidi saana. BBC Swahili - Medianuai - Balozi Mwanaidi Maajar
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wanancchi nimeona tukumbushane wa wale waliokuwa awajazaliwa..Dar es salaam tulikuwa na tatizo kubwa la Usafir wa wanafunzi...mwisho wa siku wafadhali wakajitokeza sana kuleta...
0 Reactions
12 Replies
3K Views
CCM Imejipanga Vizuri kwa Ushindi Hivi karibuni Chama chetu (CCM) kilikamilisha kujipanga kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu ujao, hali ambayo inatuhakikishia kuendelea kufanya vizuri katika uchaguzi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Reduction of Bunge time shocks experts Prime Minister Mizengo Pinda (right) chats with Justice and Constitutional Affairs minister Mathias Chikawe in Parliament in Dodoma yesterday. By...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad Chama Cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar kimesema Katibu Mkuu wa Chama Cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Sharif Hamad...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Watanzania wenzangu, Siku zote nimekuwa nikiwahurumia sana kwa ajili ya matatizo yanayowakabili,ila hili la ujio wa timu ya Brazil nimelifurahia sababu ni moja ya michezo ambayo mnaipenda Kwa...
0 Reactions
217 Replies
19K Views
kwa walioko uk mnaweza kuangalia hii programme hivi sasa kwenye more4
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jana katika vyombo mbali mbali vya habari niliona habari juu ya baadhi ya wanachama wa CCJ waliokuwa wana hakikiwa na msajili wa vyama kuwa walighushi, na uanachama wao ni batili. Cha ajabu...
0 Reactions
148 Replies
12K Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Yusuf Makamba, amewatibua makatibu wa wilaya wa chama hicho waliogeuka `wabeba mikoba' ya wanasiasa wanaotangaza nia ya kugombea ubunge katika Uchaguzi...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom