Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mchakato wa kupata tiketi ya kugombea Urais ni kwamba unatakiwa upitishwe na chama na baada ya kupitishwa na chama unaenda kutafuta wadhamini katika mikoa ya Tanzania bara na visiwani Zanzibar...
5 Reactions
92 Replies
5K Views
Unapomwambia PM kwamba Usalama wa taifa ubaki huko huko DSM kwamba ninyi mna vikosi vyenu una maana gani? Hivi sheria ya vyama vya si inazuia kua na vikosi vya ulinzi? Huu sasa ni sawa na...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Nakumbuka wakati nafanya kwenye NGO moja ni International ilikuwa akija Mgeni yaani wafadhiri wa mradi tulikuwa haturuhusiwi sisi staff kuongelea tulicho kifanya bali wale wanufaika ndo pekee...
21 Reactions
39 Replies
2K Views
Nauliza NEC. Ni swali gumu linaloweza kuleta TAFRANI. JE WATATUMIWA WATUMISHI HAWAHAWA!? Yaani hawahawa licha ya walivyotendwa miaka hii mitano!? Watumishi(WALIMU)... Mtafanya kazi hiyo...
1 Reactions
15 Replies
993 Views
Leo tarehe 15/08/2020 Mheshimiwa John Heche Mbunge wa Jimbo la Tarime Vijijini anaemaliza muda wake, amechukuwa fomu ili kulitetea tena Jimbo hilo. Binafsi naona kama huyu ndiye Mbunge wa...
5 Reactions
11 Replies
2K Views
Pale njiani Same, wananchi walijikusanya barabarani ili angalau wamsikilize shujaa Lissu. Katika hadhara hiyo pia akafanikiwa kukutana na mwalimu aliyemfundisha kwenye shule ya watoto wenye...
19 Reactions
23 Replies
3K Views
Habarini wanabodi, Kwanza naomba nitamke wazi kwamba mimi ni mwanaccm kindakindaki na nimepanga 2025 kuonana na wajumbe. Naomba niseme wazi kwamba ccm tulikosea kwenye vipaumbele vyetu...
38 Reactions
61 Replies
5K Views
Swali: Iwapo ikatokea Tume ya Uchaguzi ikamuengua mgombea Uraisi wa chama kimojawapo;je, mgombea husika anaweza kwenda mahakamani kupinga uchaguzi huo na kuiomba mahakama isitishe mchakato wte wa...
15 Reactions
107 Replies
7K Views
Wakati vikao vya ngazi za juu ndani ya Ccm vikiendelea na mchakato wa kupitia majina taarifa za ndani zinaeleza kuwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe Bw. Christopher Ole Sendeka ameanza...
2 Reactions
34 Replies
4K Views
Hawa ni wabeba maboksi wa huko Copenhagen, Denmark.
18 Reactions
107 Replies
8K Views
Ndugu wana bodi! Habari zenu! Nikiwa kijana mdogo ,mwaka 1995 ,baba wa Taifa mwalimu Nyerere ,wakati akitueleza umuhimu wa uchaguzi na kuchagua viongozi bora wa taifa hili,alituasa kuwa ,tuchague...
9 Reactions
191 Replies
12K Views
Wasalaam! Ni ukweli usiopingika CHADEMA na wafuasi wao wamekuwa wakishikwa na butwaa baada ya kuona serikali na chama cha mapinduzi kimekaa kimya pamoja na kulazimisha kujibiwa! CHADEMA wamekuwa...
5 Reactions
40 Replies
5K Views
Habari zenu waungwana. Naomba kuulizia kuhusu watia nia wa Chama cha Wananchi CUF. Sijasikia taarifa yoyote kutoka katika vyombo vya habari kuhusu wachukua fomu za Urais, Ubunge, Uwakilishi na...
4 Reactions
14 Replies
1K Views
UTEKAJI UMERUDI NCHINI TAARIFA KWA UMMA TUMECHOSHWA NA UNYAMA HUU Chama cha ACT-Wazalendo kimepokea kwa mshutuko taarifa za kuvamiwa, kutekwa akiwa nyumbani kwake na baadaye kupelekwa...
14 Reactions
125 Replies
14K Views
Inafahamika kuwa nchi yetu imekuwa chini ya CCM tangu ipate Uhuru takilibani miaka 60 Sasa. Hivyo Kama Kuna mabaya au mazuri pongezi au lawama zozote Ni kwa CCM na sio kwa kiongozi wa awamu...
1 Reactions
40 Replies
2K Views
Kwa hali inavyoendelea na mapokezi aliyopata Maalim Seif Zanzibar uchanguzi kwa upande wa Zanzibar unaonekana utakuwa mugumu kwa CCM na Hussein Mwinyi. Kwa siasa za Zanzibar Kuna uwezekano...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mkutano Mkuu wa jimbo la vunjo umempitisha Dkt. Augustino Lyatonga Mrema ambaye ni Mwenyekiti wa TLP taifa na mwenyekiti wa bodi ya parole taifa, uliofanyika Njia panda, Himo kugombea ubunge kwa...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari wakuu, Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake. Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi...
29 Reactions
79 Replies
7K Views
Jamani habari ya mjini ndiyo hiyo. Tangu uchaguzi wa 1995 viongozi wa Dini wamekuwa waangalizi wa uchaguzi mkuu. Lakini uchaguzi wa mwaka huu Tume imeamua viongozi wa Dini wasishirikishwe...
8 Reactions
46 Replies
4K Views
Back
Top Bottom