Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
ktk pitapita yangu leo dsm nimeshangazwa kukuta mtu amebeba maji yenye nembo ya jembe na nyundo....kiukweli nimeshangazwa kwa kuwa mwenye kiwanda ameamua kujikomba na kutupilia mbali risk...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
kwa uelewa wangu mdogo, ninaamini unapozungumzia maendeleo kwa nchi kama TZ, wananchi wanahitaji yafuatayo:- Elimu Bora. Miundombinu mfano barabara. Afya bora, ujenzi wa vituo vya afya katika...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Kama kuna delicate time katika nchi yetu ndiyo sasa. Yanayoanza kujitokeza tusiyafumbie macho. Hakuna ubishi kuwa GREEN GUARD ni intarahamwe mpya inajitikeza Tanzania. Hii inamaanisha kuwa kama...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kampeni zinapoendelea Watawala wanadai eti Ikulu si mahali pa kufanyia majaribio ya Kiuongozi ingawa historia haiko upande wao kwani wametokea Marais wengi ambao hawakuwahi kuwa hata Mawaziri...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sheria ya taifa ya uchaguzi iliyotolewa 30 Juni 2010 chini ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali, F. M. Werema, ibara/ vifungu 63 (2) (l); 72 (1) (e); na 80 (6) (f) vinasema kuwa moja ya watu...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hapa nyang'wale na geita mjini chama kina jina kubwa ila mgombea wa hapa nguru bright tanganyika amefanya tukio la aibu kwa wapenda demokrasia nchini,,kitendo cha kumfuata mgombea wa CCM bwana...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Akihutubia maelfu ya wakazi wa Musoma, Zitto alisema kuwa lengo la kufanya ziara katika Jimbo la Musoma ni kutaka kuhamasisha wakazi wa mji huo kumchagua mgombea ubunge wa Chadema, Vincent Nyerere...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
JK SASA ASHAHIBIANA NA MIKHAIL GORBACHEV WA URUSI Wote wawili waliingia madarakani kwa mbwembwe za mageuzi kwa JK ilikuwa ni “Ari Mpya, Nguvu mpya na Kasi mpya” na kwa Gorbachev...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Zitto Kabwe katika twiter and Face Book "just finished my rally in Kahama please ignore the malicious rumour going round that I've been involved in an accident am alive and well" Amepikea sms...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Tangu aanze kampeni, sijamsikia JK kuzungumzia kwa kina, bila ya kigugumizi, uovu wa ufisadi na jinsi atakavyopigana na kansa hiyo iliyoenea katika serikali yake na jamii pia. Jee haoni kama...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
SIICHUKII CCM Ni kweli kuna mengi mazuri yamefanywa na CCM niichukieje? SIMCHUKII RAIS WETU MPENDWA KIKWETE - Yeye naye ni mtu mzuri tu na amefanya mengi mazuri. NINAYOYACHUKIA. 1. NINAUCHUKIA...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
VIONGOZI WA DINI, WASOMI , WANAHARAKATI NA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI YATALAUMIWA SANA. Katika jamii panapokuwepo na jambo linaloashiria kuleta madhara makubwa, ni jambo la kawaida kutafuta...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Nyufa hizo ni nne za kitaifa zilizoongeza migawanyiko mikubwa ni:- a) Umasikini na tofauti za kimapato zimepamba moto na kunenepesha matabaka ya kiuchumi ndani ya jamii yetu. b) Udini umeshamiri...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Miaka 11 tangu Baba wa Taifa, Mwalimu Julias Nyerere alipofariki dunia, ni muhimu taifa kukumbuka juhudi zake za kumkomboa Mtanzania kutoka katika ujinga, maradhi na umaskini ambavyo hata hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
  • Closed
Ninaomba kuwasilisha ombi langu kwa Mzee Mwanakijiji na wengine wenye uwezo kama wake wa kujenga hoja ili wasaidie kutengeneza vipeperushi vitakavyosambazwa nchi nzima hasa maeneo ya vijijini ili...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Katika kufuatilia kwangu habari za uchaguzi mkuu ujao, habari ya wagombea wenza inayopewa kipa umbele na vyombo vya habari ni ya mgombea mwenza wa CCM, lakini wagombea wa vyama vya CHADEMA, CUF...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Mheshimiwa Slaa amezikubali kwa shingo upande takwimu za uchumi za mtandao wa Aneki.com, ambazo zinaiweka Tanzania katika nafasi ya 30 kati ya nchi 52 za Afrika kwa ulinganisho wa income per...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Amani na utulivu tunaojivunia unasemekana ni tunda la HAKI na USAWA. Kama haki na usawa ikiondolewa basi AMANI HUONDOKA. TANZANIA ILIDUMISHA AMANI NA UTULIVU kwa kuwa 1. HAKI ILIDUMISHWA 2...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
WASWAHILI WANASEMA MAJUTO NI MJUKUU. Laiti viongozi wa Rwanda walipokuwa wanahimiza visasi kupitia radio wangeweza kujua ukubwa wa madhara yake. Laiti wanadamu wangepewa kuona kesho itakavyokuwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Mimi si mwanasheria japo nasaka uhitimu wa kiwango cha kati (katika Sheria) kwa njia ya masafa.Kwahiyo nina uelewa wa wastani kuhusu masuala ya jumla-jumla kuhusiana na taaluma ya Sheria.Na ni...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom