Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mikoa ya kusini ilikuwa ni karata yake ya mwisho ya Mh Slaa katika kujigamba kuwa REDET NA SYNOVATE walipiga mahesabu vibaya. Lakini Rais mtarajiwa baada ya 31.10, JK ALIPOINGIA Songea hata...
0 Reactions
60 Replies
6K Views
Tuhuma zinazodaiwa kumkabili mgombea ubunge wa CCM, Sumbawanga mjini, Bw. Aeshi Khalfan Hilaly zinadaiwa kutua mezani kwa Katibu mkuu Yusufu Makamba,zikiwemo picha za mtu anayedaiwa kutekwa na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Tetesi nilizopata ni kwamba Manji ndiye yuko behind mgombea udiwani wa Kata ya Kivukoni, Didas masaburi katika azma nzima ya kuukwaa umeya wa Jiji, iwapo atafanikiwa kushinda udiwani. Habari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pichani ni marais wastaafu wakionekana wame 'relax' wakati wakishiriki kwenye 'Pre wedding celebration' ya mtoto wa Adadi. Tukio limejiri katika siku hizi za mwisho mwisho wakati wana CCM wakiwa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
The Security Council will include countries that have been fighting to revamp the UN's most powerful body India, South Africa, Germany, Colombia and Portugal win seats on the United Nations'...
0 Reactions
0 Replies
904 Views
Kama ilivyokua mwezi wa kwanza 2005, natabiri haya yafuatayo kama SISIMU itashinda mwaka huu. 1. Vitu vingi vitapanda bei kwa kasi sana kama ilivyokua 2005 baada tu ya Kikwete kushinda...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Leo jioni, katika hali inayodhihirisha kuporomoka kwa maadili ya uandishi wa khabari ITV katika taarifa ya habari yao saa mbili usiku walitumia picha za kampeni za JK za Songea ambako alifunika...
0 Reactions
31 Replies
4K Views
CCM imezidi kujidhihirisha zaidi kama chama kinachoongoza kwa kufuata siasa za Umafia. Mfululizo wa viroja vya CCM vya hivi karibuni vinatoa picha ya wazi bila kubakiza shaka yoyote. Baada ya...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Mada kuu zitakuwa,pan africanism,jumuya ya afrika mashariki,vijana na mustakabali wa taifa letu,njoo ushiriki kumuenzi mwasisi wetu
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nimeipitia kwa makini Ilani ya Uchaguzi ya CCM lakini nimeona ipo bubu juu ya misamaha ya kodi. Yaelekea hiyo ni sera ya kimyakimya ya CCM ambayo hawataki wapigakura waifahamu. Hili ni kukosa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Soma kwa burudani yako kuondoa shinikizo la damu na mkandamizo wa mawazo. Matokeo ya utafiti wa Kijiwe kuelekea uchaguzi Mpayukaji wa Msemahovyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Zikiwa zimebaki siku kama 20 kabla ya uchaguzi mkuu, napendekeza vyama vya upinzani kugawana majimbo kama ifuatavyo: Ubungo (CHADEMA); Ilala (NCCR); Temeke (CUF); Kawe (NCCR); Kinondoni (CHADEMA)...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nimejaribu kumfuatilia MS na nimegundua kuwa ni mpenzi sana wa Dr. Slaa may be posho anayopata upande wa pili ndiyo inamfanya asitoe msimamo wake hadharani. Ukiangalia kwa undani thread zake...
0 Reactions
39 Replies
4K Views
Siku zote nilikuwa nikijiuliza, hivi hawa wenye makampuni ya simu wanapata vipi faida kwa mtindo wa shilingi moja kwa sekunde katika kipindi hiki ambapo karibu kila mtu ana simu (mijini) na cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Haya ndugu zangu kazi kwetu kusambaza bango hilo. Dr. Wilbrod Slaa's Photos - Kampeni Yetu Click on people's faces in the photo to tag them.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hussein Issa na Salome Kuga TAMKO la mnadhimu mkuu wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo bado linakosolewa baada ya waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Jumuiya ya Umoja...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kuna taarifa kuwa samani zitakazotumika siku ya kuapishwa rais wa awamu ya tano zimekamilika na zimetengenezwa na jeshi la Magereza.SAmani hizi ni viti watakavyokalia HIGH TABLE ambavyo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Jana nilibahatika kusikiza kwa kiasi fulani taarifa ya habari ya saa bili usiku kupitia TBC1. Nilianza na taarifa iliyokuwa ikimgusa Prof. Lipumba. Ilianza kwa mtangazaji wa TBC1...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wazee wamepigiwa magoti ili warudi kuokoa meli ambayo imetoboka shimo kubwa na maji yanajaa kwakasi sana meri yenyewe haina hata maboya, ndio maana baadhi yao wanasema watasaidia lakini huku...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, hili limekuwa linanitatiza sana kuhusu JK, mgombea urais ambaye kutokana na fedha kufuru ya fedha zinazotumika ni dhahiri si fedha zinazochangwa na wananchi masikini, bali mafisadi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom