Mikoa ya kusini ilikuwa ni karata yake ya mwisho ya Mh Slaa katika kujigamba kuwa REDET NA SYNOVATE walipiga mahesabu vibaya. Lakini Rais mtarajiwa baada ya 31.10, JK ALIPOINGIA Songea hata...
Tuhuma zinazodaiwa kumkabili mgombea ubunge wa CCM, Sumbawanga mjini, Bw. Aeshi Khalfan Hilaly zinadaiwa kutua mezani kwa Katibu mkuu Yusufu Makamba,zikiwemo picha za mtu anayedaiwa kutekwa na...
Tetesi nilizopata ni kwamba Manji ndiye yuko behind mgombea udiwani wa Kata ya Kivukoni, Didas masaburi katika azma nzima ya kuukwaa umeya wa Jiji, iwapo atafanikiwa kushinda udiwani.
Habari...
Pichani ni marais wastaafu wakionekana wame 'relax' wakati wakishiriki kwenye 'Pre wedding celebration' ya mtoto wa Adadi. Tukio limejiri katika siku hizi za mwisho mwisho wakati wana CCM wakiwa...
The Security Council will include countries that have been fighting to revamp the UN's most powerful body
India, South Africa, Germany, Colombia and Portugal win seats on the United Nations'...
Kama ilivyokua mwezi wa kwanza 2005, natabiri haya yafuatayo kama SISIMU itashinda mwaka huu.
1. Vitu vingi vitapanda bei kwa kasi sana kama ilivyokua 2005 baada tu ya Kikwete kushinda...
Leo jioni, katika hali inayodhihirisha kuporomoka kwa maadili ya uandishi wa khabari ITV katika taarifa ya habari yao saa mbili usiku walitumia picha za kampeni za JK za Songea ambako alifunika...
CCM imezidi kujidhihirisha zaidi kama chama kinachoongoza kwa kufuata siasa za Umafia. Mfululizo wa viroja vya CCM vya hivi karibuni vinatoa picha ya wazi bila kubakiza shaka yoyote.
Baada ya...
Nimeipitia kwa makini Ilani ya Uchaguzi ya CCM lakini nimeona ipo bubu juu ya misamaha ya kodi. Yaelekea hiyo ni sera ya kimyakimya ya CCM ambayo hawataki wapigakura waifahamu. Hili ni kukosa...
Zikiwa zimebaki siku kama 20 kabla ya uchaguzi mkuu, napendekeza vyama vya upinzani kugawana majimbo kama ifuatavyo: Ubungo (CHADEMA); Ilala (NCCR); Temeke (CUF); Kawe (NCCR); Kinondoni (CHADEMA)...
Nimejaribu kumfuatilia MS na nimegundua kuwa ni mpenzi sana wa Dr. Slaa may be posho anayopata upande wa pili ndiyo inamfanya asitoe msimamo wake hadharani. Ukiangalia kwa undani thread zake...
Siku zote nilikuwa nikijiuliza, hivi hawa wenye makampuni ya simu wanapata vipi faida kwa mtindo wa shilingi moja kwa sekunde katika kipindi hiki ambapo karibu kila mtu ana simu (mijini) na cha...
Hussein Issa na Salome Kuga
TAMKO la mnadhimu mkuu wa Jeshi la Wananchi (JWTZ), Luteni Jenerali Abdulrahman Shimbo bado linakosolewa baada ya waangalizi wa uchaguzi mkuu kutoka Jumuiya ya Umoja...
Kuna taarifa kuwa samani zitakazotumika siku ya kuapishwa rais wa awamu ya tano zimekamilika na zimetengenezwa na jeshi la Magereza.SAmani hizi ni viti watakavyokalia HIGH TABLE ambavyo...
Jana nilibahatika kusikiza kwa kiasi fulani taarifa ya habari ya saa bili usiku kupitia TBC1. Nilianza na taarifa iliyokuwa ikimgusa Prof. Lipumba. Ilianza kwa mtangazaji wa TBC1...
Wazee wamepigiwa magoti ili warudi kuokoa meli ambayo imetoboka shimo kubwa na maji yanajaa kwakasi sana meri yenyewe haina hata maboya, ndio maana baadhi yao wanasema watasaidia lakini huku...
Wadau, hili limekuwa linanitatiza sana kuhusu JK, mgombea urais ambaye kutokana na fedha kufuru ya fedha zinazotumika ni dhahiri si fedha zinazochangwa na wananchi masikini, bali mafisadi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.