Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wako viongozi wa vyama vya siasa wanawadanganya wafuasi wao wabakie vituoni kulinda Kura Nadhani ni Mjinga peke yake atakayebaki kituoni ilhali yeye si wakala wa mgombea Ni angalizo tu...
2 Reactions
9 Replies
226 Views
Wakuu, Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule amesema kuwa hatua zitachukuliwa dhidi ya mwananchi yeyote atakayeonesha viashiria vya uvunjifu wa amani kuelekea uchaguzi wa serikali za Mitaa...
1 Reactions
4 Replies
175 Views
Wakuu, Hivi hizi kampeni zinazofanyika sasa si ni kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa? Au ni kampeni za Uchaguzi Mkuu? Kwa sababu naona kama Tulia ame-lobby hii process na amefanya hii...
1 Reactions
17 Replies
514 Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amewahamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi katika kushiriki zoezi la uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa...
0 Reactions
1 Replies
171 Views
Chama cha ACT Wazalendo kimelaani vikali matukio kiliyoyaita ya kutekwa, kukamatwa, na kutishiwa kwa viongozi wake katika maeneo mbalimbali nchini, huku kikitaka hatua za haraka zichukuliwe...
0 Reactions
3 Replies
183 Views
Msije baadaye mkasema mmedhulumiwa kura au kura zimeibwa. Mnapoingia uwanjani ni kuwa mmekubaliana na sheria na taratibu za mchezo. Hakuna excuses za kipuuzi. Ni kupambana na kukubaliana na...
3 Reactions
10 Replies
209 Views
Ofisi nyingi za serikali za mitaa ama labda zote Nchini Tanzania hazina vyoo (Naweza kuthibitisha), Hii maana yake ni kwamba Wenyeviti waliopo na wananchi wanaopata huduma kwenye ofisi hizo...
11 Reactions
35 Replies
728 Views
Akitoa semina elekezi kwa Wanachama na viongozi wa Chama Chake, Tundu Lissu amesema kwamba Sifa kuu ya Wakala ndani ya Kituo cha Kura ni Ukorofi, Kiburi, Jeuri na Ubishi. Amesema Wakala hapaswi...
17 Reactions
154 Replies
3K Views
Wakuu, Mkuu wa Mkoa wa Arusha Paul Makonda atinga mtaani na Kampeni ya Usafi mtaa kwa mtaa, atangaza kuanza kupigwa picha za watu wachafu mkoani humo na kutangazwa hadharani. Kupata taarifa na...
6 Reactions
20 Replies
927 Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda baada ya Wananchi kutimiza wajibu wao wa Kikatiba wa kuchagua viongozi wasipoteze muda wa kulinda kura kwani sio wajibu wao. "Achana na Habari ya kukaa...
0 Reactions
12 Replies
711 Views
Wakuu, Viongozi wa dini mkoani Mbeya wamewahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye upigaji kura, wasisitizaumuhimu wa kushiriki kikamilifu katika maamuzi ya kidemokrasia. Soma pia...
0 Reactions
0 Replies
100 Views
Kupitia andiko hilo la leo, Jumanne Novemba 12.2024 Kubenea ambaye ni mwanahabari nguli nchini na Mkurugenzi wa kampuni ya habari ya Mwanahalisi amedai kuwa kitendo cha vyama vya upinzani nchini...
4 Reactions
6 Replies
493 Views
Semaji la CAF, Ahmed Ally amewataka mashabiki wa Simba kupiga kura kabla ya kwenda uwanjani kushuhudia mechi kali ya hatua ya makundi dhidi ya F.C. Bravos do Maquis hapo kesho tarehe 27 Novemba...
1 Reactions
12 Replies
698 Views
Ikiwa imebaki siku moja kupiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Serikali za mitaa tarehe 27.11.2024 ,naweka kumbukumbu sawa Ili usiwepo upotoshaji wakati wa kutangaza washindi. Tukumbuke kuwa...
2 Reactions
10 Replies
444 Views
Wakuu, Mjumbe wa kamati ya uongozi ya chama cha ACT Wazalendo jimbo la Tunduru Kaskazini mkoani Ruvuma, ambaye pia ni mgombea wa uenyekiti wa chama hicho kwenye kitongoji cha Maholela, Mohamed...
1 Reactions
2 Replies
230 Views
Wakuu, Wakati taifa likiwa linajiandaa kuingia kwenye Uchaguzi kesho, maalamiko ya uonevu kutoka CHADEMA na vyama vingine yameendelea kupamba moto Huko Mjimwema, Kigamboni Mawakala wa CHADEMA...
1 Reactions
3 Replies
303 Views
Katibu Mkuu wa chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu , amewataka wananchi wa Kijiji cha Katanda, Kata ya ML. Magharibi, Jimbo la Tunduru Kaskazini, mkoani Ruvuma, kuzingatia vigezo vya uongozi bora...
0 Reactions
0 Replies
147 Views
Wanabodi, Wakuu kuhusu salamu, nitaacha nafasi hapo chini kwa vijana wa UVCCM waje waweke wasalimie. Yaani kuna uroho wa madaraka alafu kuna uroho wa madaraka wa CCM Hiyo si kauli ni kauli ya...
0 Reactions
3 Replies
279 Views
Huu ni mtego kwa Wapinzani kupigwa virungu na Polisi, wakati vyama vya CHADEMA na ACT Wazalendo wakisema baada ya kupiga Kura wafuasi wao wakale kisha warudi vituoni kulinda kura upande wa CCM...
2 Reactions
7 Replies
341 Views
Chama Cha Mapinduzi kimesema kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024 utatuma salama kwa mtu au chama chochote kinachotaka kupambana na Rais Samia Suluhu Hassan...
1 Reactions
2 Replies
273 Views
Back
Top Bottom