Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
TUACHE UJINGA, TANZANIA SIYO UINGEREZA! Mwaka 1997 aliyekuwa waziri mkuu wa Uingereza, John Major alishindwa uchaguzi na kupoteza nafasi yake ya kuendelea kuwa waziri mkuu. Inadawia kwamba tangu...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Wasalaam, Nimetafakari na kushangaa kwa ni nini chama dola chama pendwa CCM kinatumia nguvu nyingi ikiwamo vitisho kumnadi magufuli ili hali Mh kaleta maendeleo kama flyover, mabarabara na...
19 Reactions
53 Replies
5K Views
NEC imemuita mmoja wa wagombea Urais kutoka chama fulani cha upinzani kumhoji juu ya kauli zake kwenye kampeni za uchaguzi, hivi kwanini hatujasikia NEC ikimuita na kumuhoji Rais Magufuli pale...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari wakuu. Ugumu wa kazi ya Urais upo katika maeneo haya yafuatayo: 1. Kuwaunganisha watu, 2. Kuwafanya majority wawe na furaha na nchi yao 3. Kuboresha uchumi wa raia maana ndio tegemeo lao...
2 Reactions
1 Replies
746 Views
CCM kwa nje tunaonekana tuko wamoja na wenye upendo na Wagombea wetu. But ukweli ni kwamba moyoni mwetu tuna mambo ambayo tumeyaweka. Kwa hiki kipindi miwili hatukuridhika namna Chama...
2 Reactions
7 Replies
547 Views
NINAKWENDA KATIKA MSAFARA WA LISSU PAMOJA NA UWEZEKANO WA KUPIGWA MAWE AU KURUSHIWA MABOMU NA RISASI! Wiki iliyopita Jeshi la Polisi lilizuia Msafara wa Mheshimiwa Lissu eneo la Kiluvya jijini...
52 Reactions
61 Replies
6K Views
Wanajamiiforums, fikisheni salamu hizi kwa kila Mtanzania mpiga kura bila ya kujali itikadi ya chama chake kwani kama ni CCM huenda akaiona haki na yeye akatamani kutenda haki. Haki ambayo...
30 Reactions
77 Replies
6K Views
Jana ilikuwa siku maalumu ya baba yetu wa taifa hili. Niliitumia kutafakari maneno yaliyosemwa na Roma kwenye wimbo wake kuwa Tanzania ni nchi iliyobeba udongo wa dhambi ila tunalisaka sana taji...
0 Reactions
0 Replies
499 Views
Mpaka sasa CHADEMA na team mzima ya Lissu imeonyesha umahiri mkubwa katika cordination na organization ya kampeni yao. Golungwa na Ally Bananga kama Ma-kampeni Manager wameonyesha uwezo mkubwa...
23 Reactions
36 Replies
5K Views
Haya naona Gwajima kaingia rasmi "kitaa" Kwenye siasa kila sanaa itafanywa haijalishi aliyeifanya ni nani!
5 Reactions
194 Replies
24K Views
Hii ni hatari sana ! Angalia video hii kutoka Chimala.
5 Reactions
8 Replies
2K Views
Ni kitu cha kufurahia na kushukuru sana kuona jinsi gani Rais unavyo jitahidi kuliweka jiji letu kuwa mobile kwa jitihada zako kubwa za kimkakati unazozifanya za kudumisha na kuimarisha...
0 Reactions
0 Replies
973 Views
Taarifa zinadokeza kwamba miongoni mwa majimbo mengi ya uchaguzi ambayo CCM itaangukia pua, limo Jimbo la Mbarali linalotajwa kuchukuliwa na Chadema , ambapo imetajwa sababu kuu kuwa ni ubora wa...
29 Reactions
71 Replies
8K Views
Makonda ni moja ya wanasiasa mahiri mwenye kipaji cha hali ya juu, ana ushawishi, ana watu, ana nguvu kubwa,anapendwa,anakubalika, anajua kujenga hoja. Yote hayo sana CCM hawakuyaona,wakamkataa...
13 Reactions
118 Replies
8K Views
Nimekuwa nikifuatilia kampeni za wagombea wenza wa urais baina ya Salum Mwalimu (CHADEMA) dhidi ya Samia Suluhu (CCM) na kwa hakika kuna tofauti kubwa sana. Nilijikita kuchambua kwenye mambo...
21 Reactions
38 Replies
5K Views
Jua linachomoza, madimbwi yamekauka kwa Upendo wa Mungu na watu kwa maelfu wanaelekea viwanja vya Kawe Tanganyika packers kumsindikiza kipenzi cha watanzania Dr Magufuli. Karibuni nyote. Rip...
8 Reactions
137 Replies
13K Views
  • Closed
Salaam, Ndg. Tundu Lissu ni mwanachama wa JamiiForums tangu 2010 akitumia jina halisi. Kwa sasa, Lissu ni mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA; hivyo akiwa kama...
124 Reactions
188 Replies
25K Views
Ililipotiwa huko Kagera kuwa msafara wa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA Tundu Lissu kupigwa mawe pale alipokuwa akipita mbele ya Jengo la CCM akielekea uwanjani kwenye mkutano , mwanzo...
14 Reactions
45 Replies
6K Views
1. Unapotaja fly over ya ubungo na Tazara ishia Dar es Salam maana Kigoma awatakuelewa. 2. Unapotaja reli ya standard Gargey ishia Dodoma, Mtwara ni vigumu kukuelewa. 3. Unapokwenda ukerewe...
14 Reactions
14 Replies
1K Views
Hapa ni kwenye kijiji cha Kifinga Kata ya Ruaha, akiwakilisha chama chake mbele ya Wananchi.
6 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom