Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mheshimiwa lowasa alifika kiwanjani saa 11 na dkk 20. Lakini tukaambiwa mzee anaahirisha mkutano mpaka siku ingine, wakati tunajua huwa hatumii zaidi ya dkk10...
Nimeamini Lowassa ni bingwa wa siasa za Tanzania, na anastahili heshima,huyu mtu anajua kucheza na siasa zetu hadi maadui zake anawageuza na kuwafanya wafuasi wake watiifu.
Nani alitegemea...
Kila anapochangia...anasema yeye hana pesa ila amechangiwa na marafiki zake.Haya huwa anayazungumza anapokuwa anatoa mchango wake wa fedha nyingi sana kwenye vikundi.
Watanzania hizo ni pesa zenu...
Mtoto wa aliyekuwa mgombea wa ubunge jimbo la Ulanga marehemu Celine Kombani ameshinda kura ya maoni ndani ya chama chake CCM hivyo kumrithi mama yake kugombea ubunge kupitia chama chake CCM...
Ni mgombea mwenzie CCM ambaye alipata taarifa kwamba anamchafua ndipo bwana Kangi akaamua kumuwinda na kumshushia vitasa vya kutosha.
Mwaka huu tutaona mengi!
Mheshimiwa Eduward Ngoyai Lowasa, nikiwa kijana wa Kitanzania, napenda kutambua Mchango wako mkubwa katika kuelekea mabadiliko Tanzania. Lengo lako na wengi tunaopenda mabadiliko ya kweli ilikua...
Vijana Weng Wanaonekana Kuto Reason, Wasomi Pia Wanafika Hatua Hawa Reason, Mi Nimegundua Wanaojiita Wasomi Hawana Weled Wa Kutosha, Orodha Ya Watu Wenye Elimu Ya Mashaka,
1. Tundu Lissu, Huyu...
Baada ya kuunda tume ya uchunguzi kuhusu barabara za kinondoni. Report aliyopatiwa inaonyesha madudu mengi ya uchakachuaji. Madudu ambayo yalianzia katika ngazi za utoaji tenda na mpaka ujenzi wa...
Leo kwenye taarifa ya habari ya BBC Swahili saa tatu usiku, imeripotiwa kuwa John Magufuli amekuwa akikwepa kila BBC wanapotaka kumfanyia mahojiano. Matumaini yao ilikuwa iwe jana, finally, cha...
Membe alisema kuwa akiwa rais waliokuwa wanamkosoa (akina Pasco, Ulimwengu, Jf members, etc) itabidi wakimbie nchi (wakimbilie Kenya) kwa bahati yao hajawa rais (labda wataondoka Membe akiwa...
Ameahidi atakapoingia madarakani, atahakikisha kuwa mafisadi wote wanashughulikiwa bila woga.
Mgombea Urais wa CCM, Dk. John Pombe Magufulu akizumgumza katika mkutano wa kampeni
Mgombea urais...
Anafahamika kwa kufanya kazi kwa kujikweza na kutafuta headlines. Ni kada wa CCM anayependa matumizi ya nguvu na siasa za kutumia polisi. Nilimuona kwenye picha huko upareni mazishi ya kisumo...
VURUGU zimetekeo katika kikao kilichoandaliwa na Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Magesa Mulongo, kilicho wakutanisha watumishi wa Halmshauri ya Kwimba pamoja na walimu wa shule za msingi wilayani humo...
Leo katika pita pita zangu manispaa ya Singida kwenye kijiwe cha kahawa nimekuta wazee wa Kiswahili wanabishana kuhusu nani anafaa kuwa raisi Tanzania kupitia CCM wakitaja wafuatao Sitta, Lowassa...
Mgombea urais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CCM ndugu John Pombe Magufuli leo ameshusha lundo la tuhuma kwa naibu spika wa bunge na mgombea ubunge wa jimbo la Kongwa kwa tiketi...
ALIYEKUWA Mbunge wa Temeke kwa tiketi ya Chama cha Wananchi (CUF) Abdallah Mtolea, ametangazwa na msimamizi wa uchaguzi kuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) baada ya...
Kwa kile ambacho tumekishuhudia Jijini Mwanza kinatoa ujumbe unaosema, Majimbo ambayo yako chini ya CHADEMA katika mikoa ya Kanda ya Ziwa yako mbioni kurudi CCM. Sina haja ya kuongelea Urais wa...
Ni mkombozi wa tanzania mpya ijayo mh raisi Edward lowasa kesho trh 12 atatia team mwanza akitokea musoma.
Kila sehemu jijini mwanza ni shangwe, vigelegele, ndelemo ujio wa raisi wetu mpendwa...
Hilo wala si uongo.
Slaa alikuwa anatuaminisha kuwa Lowassa ni fisadi.
Lakini leo nnaona Slaa kazimwa na Mwenyekiti Mbowe, hasikiki wala haonekani.
Nnauhakika kazimwa kwa ajili ya ufisadi wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.