Jukwaa la Ujenzi na Makazi

An opportunity for everyone involved with the construction industry including designers, contractors, clients, suppliers and site workers
Habari wakuu, Kama kichwa kinavosema nahitaji kujenga nyumba ya kontena yenye sebule, chumba cha kulala, jiko, ofisi, choo na bafu. Je, kwa idadi ya hivo vyumba nahitaji makontena mangapi na...
4 Reactions
15 Replies
3K Views
Guys naomba kuulizia maeneo mazuri ya kupanga ambayo yapo kalibu na chuo Cha National institute of transport (NIT)
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari, Site ipo Goba, nahitaji marine board kama 70 kwa ajili ya ujenzi. Nahitaji zilizotomika si zaidi ya mara moja. Kwa Dar es Salaam naweza zifuata popote.
1 Reactions
11 Replies
3K Views
Ni hulka ya binadamu kujaribu kufanya vitu vizuri, watanzia tulio wengi tunajipima na tunapimwa mafanikio kimaisha kupitia ujenzi, ukionekana pesa inapita mikoni mwako lakini huna nyumba...
9 Reactions
60 Replies
8K Views
Napongeza juhudi za serikali yetu kwa hili. Tumeshuhudia miradi mikubwa ya nyumba za ma askari Dar na ufunguzi wa nyumba baadhi kule Musoma na IGP. Ulinzi ni mhimu sana kwa Taifa. Naomba...
18 Reactions
20 Replies
6K Views
Habari wana JF, Kwa wale wataalam wa ujenzi na ambao mmeshajenga nyumba, nini suluhisho la kuondoa unyevu/kurowa kwa msingi wa nyumba? Kwani unyevu/kulowa huko husababisha rangi ya nyumba...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Jmn rangi kama hiyo ukutani Ili ipendeze urembo wa madilisha nichanfanyia rangi gani?
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwenye idea kuhusu "mkeka wa mbao" au "Floor decor" __ nimekuwa nikiona katika movies za nje (Ufilipino) na kwenye matangazo vifaa vya ujenzi hasa kenya. Uzuri? wake na Ubaya? wake__ nimekuwa...
4 Reactions
22 Replies
14K Views
Anayewajua supplier wa PVC Window kutoka China tusaidie hapa.
0 Reactions
4 Replies
861 Views
Habari wana jamvi, Najua hali ni ngumu sana na kila mmoja anapambana pale anapo fanikiwa walau kidogo anaamua kujiwekeza kwa kununua kiwanja ili ajiwekee mazingira ya kuwa na kwake ilo nizuri na...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Kuna kiwanja nahitaj kukinunua ila changamoto za hiko kiwanja ni kwamba kuna korongo dogo limekatisha katikati ya kiwanja yani hakipo flat kabisa. Naomba kujua changamoto za kujenga kwenye eneo...
1 Reactions
14 Replies
2K Views
Hbr wadau wa JF, Naomba kujuzwa miji ambayo inakuwa kwa kasi ambapo unaeza kununua Mashamba nje kdgo ya mji ukaja kupima na kuuza km viwanja kwa faida kubwa. Maana nilinunua viwanja singida...
11 Reactions
38 Replies
5K Views
Nikipiga hesabu za haraka haraka ghorofa kujengwa kuelekea chini badala ya juu ina manufaa mengi mno.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Habari waungwana. Naomba kujua kiwanda kinachotengeneza scaffolding materials Kka hapa Tanzania au wauzaji baada ya kuimport. Ahsanteni.
0 Reactions
0 Replies
632 Views
Kuna nyumba Nimefika hatua ya wiring. sasa kuna Fundi jirani na ninapojenga aliomba kazi akaomba kunipigia gharama ya vitu. Moja ya vitu aliandika Main switch (3 phase 12 ways). Fundi ambae...
3 Reactions
31 Replies
10K Views
Asalam Alekum ndugu zangu, Naombeni ufafanuzi juu ya uhisika wa mamlaka ya Jeshi la Zimamoto katika taratibu za uombaji wa kibali cha ujenzi. Nimekuwa nikisimamia ujenzi katika nyumba ya ibada...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salaam wakuu! Naomba kufahamishwa hii sehemu ya nyumba ambayo haijafutwa (chumba na choo chake, sebule na dinning) inaweza kuhitaji tofali ngapi kwa ajili ya msingi tu. Tuchukulie eneo la ujenzi...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Nyumba zetu zimewekwa namba hata zile ambazo mafurko haya fiki, Wamiliki kuulizwa tukupe pesa au tuku jengee nyumba? Wamiliki wana pigwa picha na kupimiwa viwanja vyao ina semekan mwisho ni mwezi...
2 Reactions
43 Replies
6K Views
Naomba kuuliza, je, fensi ya tofali za bloko iliyojengwa bila nguzo za zege ni imara pia? Hapa namaanisha, ile fensi ambayo imejengwa kwa matofali fensi nzima bila kuwa na nguzo za zege, bali...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu. Wapi naweza pata original heating element ya solar heater? Nilizo nunua mara mbili naona zinalipuka tu. Nataka kitu orijino kabisa.
1 Reactions
0 Replies
519 Views
Back
Top Bottom