Ni kawaida kwa watu wa Zanzibar kulia lia,tangu miaka mingi mnatulalamikia watu wa bara kwamba tunaminya uhuru wa zanzibar, sasa kwa katiba mliyoipitisha hatutaki kuwasikiliza tena kero zenu...
Baada ya kufanikiwa kupitisha rasimu ya katika inayoendana na matakwa ya CCM, mwenyekiti wa bunge la katiba Samweli Sitta ndiye atakuwa mgombea wa nafasi ya urais kupitia CCM katika uchaguzi mkuu...
WanaJF,
Jana kwa walioangalia au kusikiliza BMK watakuwa wamejifunza mengi. Mimi binafsi nilifurahishwa sana na kilichotokea kwa sababu ilikuwa inategemewa kuwa hivyo. CCM walivyo wababe...
Hivi ndugu zangu; Ni kwa nini ukawa wasiende bungeni halafu wakapiga kura ya hapana ili kuifanya katiba inayopendekezwa isiweze kupita, kinyume chake wako mtaani wanafuatilia kwa makini upigaji...
Maamuzi ya UKAWA bado yanasimama na yatasimama siku zote....kususia bunge la katiba yalikua maamuzi bora kabisa...Hata upitishwaji wa rasimu yenyewe umefanywa kwa udanganyifu...Kura Mbili za...
Nimejiuliza sana juu ya wajumbe wa Bmk kushangilia kwa nderemo na vifijo juu ya upitishwaji wa Rasimu ya Chenge.
Hii inashangaza kwa sababu Katiba inayojadiliwa ni ya Wanuanchi. Kwa majibu...
Wanabodi,
Kufutia hiki kipigo cha Katiba Mpya kwa kundi la Wana UKAWA, Tume ya Warioba na Watanzania wote wapenda demokrasia ya kweli!, jee kinaweza kuwa ndio kiashiria cha awali kuwa hawa Wa...
Habari zenu wadau?
Naomba kufafanuliwa hayo maswali yangu hapo chini:
Bado najiuliza hiyo katiba inayopendekezwa ni ya Tanzania au Tanganyika? Mbona Zanzibar ina katiba yake na ina SURA na...
Kwakweli imenipa kukosa raha kabisa mara baada ya mh. Sam 6 kutangaza kuwa rasimu III imekuwa halali. ukumbi wa bunge ulilipuka kwa vifijo nderemo vilivyoashiria furaha. Lakini cha ajabu kabisa...
Wakuu.
Asilimia kubwa ya Ibara za Rasimu ya Chenge ni zile zilizotokana na Rasimu ya Warioba! Cha kushangaza ni pale Rasimu ya Warioba kukataliwa waziwazi mbele ya macho yetu huku tulikuwa...
We Will Keep Suffering
Its clear that Tanzania is poor and it will continue poor. Just because of the attitude of the people we have and leaders who are steering ahead the nation movement...
Kama kawaida ya viongozi wetu kufanya mambo kwa kufunika kombe, waziri mkuu amewaahidi waislam kuwa serikali itakuja na mswada wa sheria kutambua mahakama ya kadhi! Huo ni mkopo aliowakopa waislam...
Swali ni kwamba, imekuaje Wajumbe wote wamepiga kura ya Ndio kwa Sura na Ibara zote bila Upinzani wowote?. Au ndio tuseme kwamba, Was it an offer they could not Refuse?. An offer kama aliopewa...
Kabla hiyo Katiba inayopendekezwa na CCM haijaja kwa wananchi kupigiwa kura ya maoni:
Nauliza Je, tangu uchaguzi wa Vyama Vyingi uanze Tanzania, je kule Zanzibar CCM ilishawahi kupata ushindi...
Kofi Annan once said, Knowledge is power. Information is liberating. Education is the premise of progress, in every society, in every family.
Kwa wale wananchi(bendera fuata upepo) wanaoishi...
Kwa miaka mingi sasa, baadhi ya wagombea wa vyama vya Upinzani, wamekuwa wakidai kuibiwa kura na Chama Tawala. Madai haya yalitolewa kwa mfano katika chaguzi za Wabunge huko Igunga, Kalenga...
Wana jamvi,leo nimeona nilete swali hili kwenu,hivi mbunge wa Monduli na Waziri mkuu aliyejiuzulu kwa kashfa ya Richmond Edward Lowassa hawezi kutafuta urais bila kumchafua Rais aliyeko madarakani...
Kwamba wabunge wote ni 219 kutoka Zanzibar na hii inaleta kwamba quorum ya 2/3 ni 146 wapige NDIYO na 73 wapige SIYO. Kwa matokeo ya leo ni kwamba hicho ndicho kilichotokea. Sasa tuuchambue ukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.