KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Hali ya Upepo wa Kisiasa unavyovyuma Nchini, inaonekana wazi kua UKAWA imekula kwao. Katiba Mpya imefikia hatua ya kupigia kura vipengele vya Rasimu mpya iliojadiliwa na Bunge hilo. Maandamano...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Ndugu zangu ukweli tuuseme Change ametaja maeneo ambayo yamewagusa Watanzania hasa ushirika....Kilimo....Elimu.....na Malengo ya kitaifa ya kiuchumi. Hakika kwa dhati ya moyo wangu kumbe binge...
1 Reactions
67 Replies
8K Views
Rasimu ya ccm inasema rais wa Tanzania atakuwa ma makamu 3 ni kuwatengenezea ulaji watu huku wananchi wa Tanganyika wakibebeshwa mzingo wa kuwahudumia hao makamu wa rais 'vichaa'. CCM imekuwa...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Naomba niwakumbushe wajumbe wa Bunge la Katiba kuwa itakuwa haina maana kama unaenda Madina kuhiji halafu unaipigia rasimu ya Chenge kura ya "NDIO" ilihali wajua fika kama ilijawa na dhuluma...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya tume ya Warioba kuvunjwa tovuti yake pia ilifungwa. Sababu ni kuwa tume kazi yake ilikuwa imeisha? Je hii tovuti ya bunge maalum itaendelea kuwepo au itafungwa?
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Naomba niwakumbushe vijana wenzangu kuwa tusihadaike na baraza la vijana tukaacha masuala ya msingi kwenye katiba, Ibara ya 51 kifungu kidogo cha 2 katika rasimu ya 3 iliyowasilishwa na mh...
0 Reactions
1 Replies
972 Views
KWA UFUPI Asema suala la muundo wa muungano halina maridhiano katika jamii, litachelewesha kupatikana Katiba Mpya Amfagilia Rais Kikwete, asema amefanya mambo makubwa kwa nchi SHARE THIS...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Jamani naomben mnisaidie mimi sijaelewa suala la mahakama ya kadhi limepitishwa au vipi?
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Hii hapa rasimu ambayo imewasilishwa leo kwa wale ambao hawajaipata unaweza kuipakua ukipenda
0 Reactions
1 Replies
2K Views
MAKAMU wa Rais Baraza la Maaskofu Tanzania (TEC), Askofu Severin Niwemugizi, amesema maoni yaliyotolewa na Jukwaa la Wakristo Tanzania (TCF) juu ya Bunge Maalumu la Katiba, hayajatekelezwa na...
21 Reactions
142 Replies
16K Views
Rasimu Mpya iliyowasiliswa na Mh. Chenge leo imesema kwamba Mbunge atawajibishwa kwa kutochaguliwa tena kipindi kingine na si kuondolewa madarakani na wananchi waliomchagua kabla ya kipindi chake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu wana Jamiiforums, Bunge la Katiba linaendelea UKAWA wametoka nje na hawataki kurudi ndani. Lakini waliomo ndani nao hawana wasi wasi wowote ndo tunasikia wamekaribia kupiga kura za...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Mahakama Kuu ya Tanzania iliyokaa chini ya Judges watatu leo hii Tarehe 22 September 2014 imetupilia mbali pingamizi la Serikali dhidi ya Shauri lililofunguliwa nami kwa niaba ya Saed Kubenea...
32 Reactions
125 Replies
20K Views
BUNGE Maalum la Katiba, limepitisha azimio la kuzifanyia marekebisho kanuni za 30, 36 na 38 ili kuruhusu wajumbe watakaokuwa nje ya Bunge (ndani au nje ya nchi), wapige kura za kuamua ibara na...
1 Reactions
55 Replies
7K Views
MPANGO MZIMA NI KUFUNIKA AIBU YA KUKOSA THELUTHI MBILI Waziri Rose Migiro majuzi alisema hoja ya kukosa theluthi mbili ya kura kutoka Visiwani haipo tena jambo ambalo linazua maswali mengi...
3 Reactions
42 Replies
5K Views
Kwa ufupi Aliongeza; "Rais pia anatakiwa kuwa mzalendo anayeipenda nchi yake na adhihirishe mapenzi yake, awe na uwezo wa kuongoza na pia ame-prove (amedhihirisha) uwezo wake huo wa kuongoza."...
0 Reactions
97 Replies
6K Views
Leo majira ya mchana ndani ya maeneo ya Musoma mjini mkoa wa Mara tulipata ugeni.Na mgeni huyu sio mwengine ni Edward Ngoyai Lowassa.ilikuwa ni ugeni wa ghafla na kwa kweli kwa ughafla wake...
0 Reactions
46 Replies
6K Views
Leo mahakama kuu imethibitisha kuwa m/kit wa BMK anakiuka sheria, sasa kwa uelewa wangu mdogo, kinachokwenda kuwasilishwa kesho na mh. Andrew Chenge ni BATILI ,wenye uelewa na umakini mkubwa zaidi...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Aliyekuwa askofu wa kanisa la Anglikana Tanzania, Askofu MOKIWA amesema kuwa bunge la katiba linaloendelea mijini Dodoma ni ubatili na ukatili kwa Taifa hili. Amesema kuwa wapenda amani wamekwisha...
3 Reactions
37 Replies
4K Views
Dodoma Ofisi ya Bunge la Katiba itamtuma ofisa wake kwenda Makka, Saudi Arabia kusimamia upigaji kura kupitisha Katiba inayopendekezwa kwa wajumbe wa Bunge hilo wanaokwenda Hijja. Hayo yalielezwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom