Tunaona muungano wa vyama pinzani ambavyo ni CUF ,CHADEMA ,NA NCCR MAGEUZI,wote wakitetea mfumo wa serikali tatu.?
Lakini lengo zaidi likiwa ni kugawana madaraka,ambapo;
CUF lengo likiwa ni...
Tunakuomba mkurugenzi mpya wa kiteto bw ndunguru uliye wasili hivi karibuni ujue kiteto kuna ukabila uchoyo, wivu, na roho mbaya kwa wananchi na viongozi ao ambao unasababishwa na tabia mbaya ya...
Anaongelea masuala ya siasa na uchumi. Fuatilia mdau wa maendeleo kama una wasaa.
Anazungumzia vyanzo vya mapato.
Vyanzo vya mapato vya serikali ni pamoja na:
...kodi
...leseni
...ada na...
Huyu jamaa ni mkurugenzi wa kituo cha utawala bora, anaitwa Thomas Ngawaia, ni mteule wa Rais Kikwete. Akiongea ITV katka kipindi cha Uzalendo, amesema rais ni mmoja tu, huyo anayejiita rais huko...
Dar es Salaam. Rais Jakaya Kikwete
ameendelea kusisitiza kuwa Tume ya Jaji
Joseph Warioba haina ushahidi kwamba
Watanzania wengi wanataka muundo wa
Muungano wa serikali tatu.
Kauli hiyo aliitoa...
Taarifa njema iliyonifikia::
Kila mwananchi wa Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu Wazanzibar na asimame ahesabiwe!!!!
Mambo yameiva, sasa vita yakusaka katiba mpya ya UMMA kupitia...
Kwa takribani mwezi mmoja umeisha bunge maarum la katiba mpya limekaa katika vikao vingi ili kujadiri rasmu ambayo wananchi wa Tanzania itabidi waridhie kama wako tayari kuifata au hapana. Lakini...
Kitendo cha wajumbe 201 kwenye bunge la katiba kufika Dodoma na kukubali kuburuzwa, kununuliwa na kukosa msimamo kinaonyesha wagombea binafsi hawatakuwa na maana nchi hii. Huku tukijua kutakuwa na...
Ndugu Wana JF na Watanzania wote kwa ujumla;
Bunge Maalumu la Katiba mpaka sasa tayari limeshatimiza zaidi ya siku 60 lakini hakuna mwelekeo wowote wa kuweza kuwapatia Watanzania Katiba mpya...
Kosa kubwa na litakalotugharimu kwamiaka zaidi ya 50 mingine ni UKAWA kukubaliana na jeshi la polisi kusitisha mkutano huu wa kesho 19/04/2015 pale Zanzibar, jambo muhimu ni kulazimisha mkutano...
Wanajf mimi nashangaa tv hii inayojiita ya taifa toka bunge maalumu lianze kujadili rasimu ya tume
Wanatuonyesha vitu vipya kabisa wala sikuwahi kufikiria kama vipo au wanavyo
Kwa mfano...
Si nia yangu kuwataja hapa wenye silka hii.
Rejea alichokisema Mh. Zitto bungeni , kwamba "muungano ni maridhiano , haijalishi idadi ya serikali.
Mue na serikali 3, 1 , 2 , 4 , 5 ...... Kama...
Wana Jf,,,nahoji uelewa wa wanawake waliopo bunge la katiba baadhi wa 201 na ccm pande zote mbili za muungano. Hivi, wameenda kujadili kwa hoja au kupiga mipasho ya taarabu pamoja na kushangilia...
Msimamo wa CCM katika bunge la katika wa kushikiria msimamo wa serikali mbili kinyume cha rasmu ya pili ya katiba mpya inavunja muungano kwa namna ifuatayo: Kwanza kabisa kadiri ya CCM wanataka...
Kwa msomaji mzuri wa vitabu vya Fasihi atakuwa amesoma kitabu Cha Tamthilia cha
KIVULI KINAISHI ambacho kimeandikwa na Saidi Mohammed.
Ni jana nimekirudia kitabu hicho na kujikuta...
bila kujali gharama idadi ya marais, majaji, mabunge, majina ya viongozi............... na mlolongo wa gharama za kujitakia
Tunacholilia sisi ambao sasa tunaitwa 'WACHACHE' wakati ni wengi sana...
Kila siku nimejiuluza maswali kadhaa lakini nakosa majibu
kwanza kwa nini tume ya katiba inaitwa ya warioba wakati ilikuwa ni ya kikwete na wote walikuwa ni wateule wake?
pili Kama takwimu Za...
Kinyume cha serikali mbili za CCM zinazovunja muungano, muundo wa serikali tatu uliopendekezwa na tume ya rais ya mabadiliko ya katiba iliyoongozwa na Warioba inaimarisha muungano. Inaimarisha...
Katika sehemu mbalimbali ushauri umetolewa kwa UKAWA (umoja wa katiba ya wananchi) kuwa mafanye mambo kadhaa ili kupata katiba ya wananchi. Ushauri ulikuwa ni kwamba wasikubaliane na kura ya siri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.