Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Kipo mjimwema hatua nne toka barabara ya rami umeme,maji,
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Product Name: MacBook Prol intel i5 (late 2011) Specifications; Processor interface- 2.4Ghz Intel core i5 Memory (Ram)- 4Gb 1600Mhz DDR3 Display- Built In color LCD display 13inc Graphics- Intel...
1 Reactions
0 Replies
5K Views
Natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hi Wanandugu,housekeeper(mwanamke) Anahitajika Porini,awe Na Uzoefu Usiopungua Miaka Mitatu Upande Wa Rooms.Awe Anajua Kingereza Vizuri,awe Na Reference Watatu Wa Kuaminika Na Awe Na Relevant...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kipo kituo cha italian barabara ya kuelekea chanika ukubwa wa 50/25 kipo barabarani bei maelewano piga 0713343531
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Je! unahitaji kuomba VISA ya kwenda China na moja ya vigezo vya kupata Visa hiyo ni barua ya mwaliko kutoka kwa mwenyeji aliyeko China either Kampuni au mtu binafsi? Sisi tutakusaidia, tuwasiliane
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Budget yangu elfu 70 Niko dar Iwe katika hali nzuri Weka picha
0 Reactions
5 Replies
946 Views
Bei ni laki 4 na 20 pekee ukihitaji kwa mawasiliano zaidi ni PM
0 Reactions
0 Replies
965 Views
HTC one M7 for sale 32GB 557,000/=Tshs 0659223322
0 Reactions
0 Replies
516 Views
nauza kuku wa kienyeji jogoo 15000 na tetea 10000 mayai trey 15000 coctact 0757268195 wahi sasa napatikana mbezi ya kimara
0 Reactions
0 Replies
876 Views
habar nauza line ya mpesa nipo moshi mwenye kuhitaji anijulishe kwa pm bei ni 180,000 tu
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Hello Wana JF, Natafuta nyumba ya chumba kimoja cha kulala,jiko na sebule pamoja na choo ndani kawe self contained. Budget yangu ni 200K. Sehemu iwe ya kupaka gari, nyumba iwe na uzio, sio uswazi...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Ndugu habari, Nna ufuta tani 2 natafuta soko wakuu,nilipokuwa nauza price imeshuka sana nw ninao tu store!upo magomeni mwenye kujua soko au kuhitaji tuwasiliane kwa 0712720080. Shukrani. Sent...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nahitaji Gari aina ya Nadia in good condition cc >1500
0 Reactions
0 Replies
710 Views
Wakuu, SBT Japani wana ofa kabambe inayoendelea ambayo inakuwezesha kujipatia gari moja bure ukinunua moja na bei zake zipo chini sana. Anayehitaji tuwasiliane kwa email hii =>...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Habari wadau, Naomba kwa mwenye kufahamu garage ya magari dar(wachina etc)ambayo wako vizuri na general service plus spare parts za nissan etc kuna kausafiri nataka nikakapendezeshe. Natanguliza...
0 Reactions
0 Replies
648 Views
Habari wandugu!, Nauza starlet garat BXU WHITE (SIO SPORT RIM) kwa 4.9.Kizuri zaidi bei inawezapungua sana kulingana na uwezo wako wa kubagain. Kwa mawaciliano 0782551067
0 Reactions
3 Replies
936 Views
Simu tajwa apo juu inauzwa Kwa bei ndogo ya 550,000tshs Kwa mawasiliano nicheck Kwa nambari 0713239001
0 Reactions
0 Replies
689 Views
Back
Top Bottom