Salaam!!!
Kwa anayejua mahali hapa Dar panapouzwa marobota ya mitumba standard naomba anijuze. Ninataka kumfungulia biashara mdogo wangu. Robota moja linauzwa kwa bei gani? Asanteni
Natafuta fremu mbili tofauti, moja yenye ukubwa wa kawaida iwe kinondoni au mwananyamala kodi isizidi elfu 80 kwa mwezi, na ya pili iwe kubwa sana ya kuweza kuweka mini supermarket maeneo ya gongo...
Wadau kwa heshima naomba kuwajulisha kuwa ninamchele mzuri sana daraja la kwanza! Mchele huu ninauuza kwa shilingi 1300 kwa sasa upo Dar es salaam! Pia tupo tayari kumletea mtu kokote aliko...
kwa mlio UK HIYO NDIYO HOT DEAL,,,,SASA HIVI MWENYE CONNECTION WAPI TUNAWEZA KUPATA GARI YENYE SPECIFICATION KAMA ILIVYO TAJWA,HATA LEO HII BIASHARA INAFANYIKA
samahani ni 2010 model siyo 2919
Habari wanaJF, wadau ninauza asali mbichi ya nyuki wakubwa kutoka Tabora. Imechujwa vizuri tayari kwa matumizi. Bei ni sh.12000/= kwa lita.Kwa wakazi wa Kibaha na Dar es Salaam nitawapelekea...
Habari zenu wana jf jamani kunaviwanja vinauzwa hatua za mtu mzima 20 kwa 20 nyuma ya kiwanda cha Azam cola kilongoni vikindu mkuranga ni 5 km toka pale Azam cola na ni 25km toka sokoni...
Wasalaam wana-JF,
Nataka kununua shamba la hekari nne Mkoani Pwani, Mkuranga/Vikindu.
Wadau kuna mtu ambaye anajua gharama kwa hekari ni shingapi (market value ya heka) kwa sasa.
Natanguliza...
Wapendwa Habari zenu
Ninahitaji mwongozo wa kufungua kampuni ya uwakala wa bima. Na ni kampuni gani ya bima ambayo iko vizuri kwenye soko na haitaniwia vigumu kushawishi wateja wangu kujiunga...
NAHITAJI KIWANJA morogoro road kati ya kimara rombo,kimara mwisho, mbezi yote ya kimara, kama kuna mtu anacho kiwanja kisichozidi mil.10 tuwasiliane, nina shida nacho haraka sana. sihitaji vile...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.