kichwa cha husika hapo juu. Pickup inayofaa kukaa kijiweni kufanya kaz ya kubeba mizigo. Iwe tani moja na inafanya kazi sio kila siku kwa fundi. Mwenye nayo karibu
AJO ni smart phone kutoka Indianipo katika haali nzuri kabisa ninaiuza ka 140000 tuu!! ina Android 4.2.3 inanarun 2g 3g hadi 4g Haina michubuko yoyote na haina tatizo lolote pia nichei kwa...
Habari wana JF,mimi ninashida ya costa kunabarabara nimepata na inalipa sana huko mkoani hapa nina budgeti ya kuanzia mil.5 ila mkopo nitalipa kupitia mshahara wangu na budget ya makato ni 500k...
Ni mama mjasiliamali alikopa EFC bank tsh. 10m akiwa namwenzake, yeye ndiye aliyeingia dhamana bank kwa jina lake. wamelipa marejesho matano bado 5.5m ananyumba UKonga Moshi bar thamani ya kiwanja...
Wana JF
Ninaishi Dar es Salaam. Nina ardhi ya kutosha Mpwapwa, Kongwa, Malinyi na Kilombero. Baada ya kufanya research ya kutosha, nimeamua niingie kwenye kilimo na ufugaji mkubwa wa kisasa ili...
Nina re-condition battery za magari, pikipiki, ups,solar, folklift nk aina zote mbili za lead acid za maji na kavu(sealed)
kwa kutumia teknlojia toka marekani. Badala ya kununua battery mpya...
Habari ndugu zangu,mim ni mfanyabiashara Wa viatu vya kike na nguo za kike,naitaj mtu yeyote ambaye atakua tayar tufanye biashara niwe namletea mzigo wa jumla na hata rejareja pia,tuwasiliane...
Nipo Dar kwa yeyote mwenye hiyo TV(mpya au used) iwe flat screen au chogo sawa tu almradi iwe katika hali nzuri,
ofa yangu ni laki 2 hadi laki 3 kulingana na hali ya TV yenyewe.
Asanteni.
Habari zenu wakuu natafuta t-shirt za aina tofaut tofuti za round collar na form 6...zikiwa katika quality tofauti tofauti na ziwe plain kwa ajili ya kuprint kwenye mavyuo na maofisi...Nahitaji...
Plot ina ukubwa wa SQM 251, ni eneo zuri kwa mtu au tasisi inayotaka kuwekeza hapo maeneo ya kariakoo.
Hati ipo imetolewa mwaka huu . mmiliki halali yupo .
kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0657 14...
Wanajukua tupendakuwaarifu kuwa tunatoa huduma za KIHASIBU na USHAURI wa KIBIASHARA(part-time basis) kwa wajasiriamali wadogo na wasaize ya kati ambao kwa namna moja au nyingine wanashindwa kumuda...
wakuu natafuta nyumba ya kupanga TABATA, Vyumba vitatu, master bedroom and two guest rooms. iwe na uzio pia parking ya kutosha.
Budget yangu ni TSH 300,000 kwa mwezi. Kama una nyumba yako...
Mzigo mpya umefika!! tuna Galaxy s5 made in KOREA bei ni 350000 tuu!! simu zina warranty ya mwaka mzima!! mawasiliano ni +255764361843
Pia tuna Samsung Galaxy s4 made in KOREA bei ni 250000 tuu...
mwali ni approx 32 acres.iko 34 kilometres from kigamboni na 17 kilometres frm vikindu.kuna 3 roomed hse with corrugated iron sheets with 2 outside washrooms.kunamud themed thatched hse with two...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.