HOUSE FOR RENT - MBEZI KIMARA DAR ES SALAAM
4 Rooms where 1 room is a master
1 Dining room
1 Sitting room
1 Kitchen with cabinets & granite countertop
3 Toilets
Built in garage
Fenced
Parking...
Niko Dar es salaam kwa muda wa
miezi mitatu nilikuwa nahitaji
apartment or chumba ambacho ni
cha selfcontained kiwe na kitanda
+ godoro, budget yangu ni Tsh
300,000/= kwa muda wote wa miezi...
Niko Dar es salaam kwa muda wa miezi mitatu nilikuwa nahitaji apartment or chumba ambacho ni cha selfcontained kiwe na kitanda + godoro, budget yangu ni Tsh 300,000/= kwa muda wote wa miezi 3...
Hellow wadau, natumai hamjambo na muwazima, Aisee nauza website ya habari za udaku, skendo, siasa, mapenzi, mastaa,urembo na nk. Hii website habari hua zinajiandika wenyewe yaani 100% automated...
shamba liko Bagamoyo.unaingilia shule ya baobab.kama km2 toka barabarani
ni heka 8
:linakisima kilichochimbwa na machine kwajili ya umwagiliaji
:mabanda yaufugaji
:nyumba ya mlinzi n.k
bei...
Heshima kwenu wakuu!
Nimehama kikazi kwenda mkoa mwingine na sina msimamizi mwaminif wa kumwachia hivyo nimeamua kuliuza.
Liko kwenye hali nzuri, kitambaa na stick ziko poa na eneo lina...
Do you have volunteer or NGO and you need the best website like this?
Una taasisi yeyote ya kujitolea au isiyokuwa ya kiserekali na unahitaji website nzuri kama hii?
CVS Tanzania | Community...
Eneo la hekari moja linauzwa Miembe Saba 0.5km toka barabara ya morogoro road umeme na maji yapo karibu ni zuri kwa ufugaji na kuishi bei 12m Kwa mawasiliano 0754827198. 0716099463
Nyumba nzima (angalau vyumba 3 vya kulala kimoja kiwe self contained) inatafutwa maeneo ya Mwenye,Sinza au Kijitonyama. iwe ina fensi, huduma ya maji, nzuri na barabara iwe inafikika mpaka...
Habari,
Mimi ni freelancer wa kitanzania, napenda kuwatangazia kwa yoyote anayetaka kutengenezewa mobile application kwa shughuli zake binafsi, kampuni yako, anapofanya kazi au idea yake naweza...
Kiwanja kinauzwa eneo la Njiro ukubwa 600 mita za mraba bei 150m na Mtwara mjini ukubwa 1609 bei 80m.
Uifika bei piga 0713961860 na hakuna longolongo wala matumizi ya Dalali.
Wakuu nahitaji pikipiki aina ya BOXER BM 150 kwa dau la 1.2m hapo juu
kama unayo na unahitaji kuiuza ni PM fasta
iwe kwenye hali nzuri,nataka serious seller only
iwe na document zote...SINA LONGO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.