Habari zenu wadau,natafuta simu hiyo nilotaja hapo juu aina ya HUAWEI Y530,Kiasi nilicho nacho ni laki 1,iwe na charge na headphones zake...hata kama imetumiwa muda mrefu ilimradi tu iwe orijino...
Mabati haya yanatokanje ya Tanzania na ni imara mno.Yapo 31 jumla. Ni rangi ya dark blue gauge 28 au meter 3 yanuzwa kwa tshs. 26,000/= kwa bati moja.bei ya dukani ni tshs. 31,000/= kwa bati moja...
Salamu kwenu wakuu..
Nahitaji nyumba ya kupanga, yenye vyumba 2 na sebule.. Iwe maeneo ya kuanzia Philips hadi USA..
iwe na umeme na maji na si lazima iwe self ila choo kiwe safi, na isiwe mbali...
Habar zenu wadau,
Natafuta chumba na sebule au vyumba viwili vya kupanga, iwe maeneo mazuri na kuwe na ustaarabu
msaada wenu wadau,waweza nipm ntakutafuta
Original Samsung galaxy s4 inahitajika fasta. Kama kuna mtu anayo ani Pm then tuwasiliane whatsapp tufanye biashara fasta.
Isiwe na michubuko yyte
Og tu.
Bei Iwe negotiatable.
Hallo Wana-Jf.
Natumaini kila Mtu anajua Umuhimu wa Betri ya Gari yake. Hasa pale unapotaka kuanza Safar then unapiga "Starter" kisha Gari inakataa kuwaka kisa, betri iko Down au Imekufa Kabisa...
Habari.KWa wale wenye computers na wanahitaji anti-virus ya ukweli ina expire mwaka 2038 bei tsh.15000 tu.nipo Sinza-Dar es salaam. Napatikana kwenye number hii 0659880935
Habari za kazi Ndugu zangu!!
Kwa wale wote wanaosumbuliwa au kama una ndugu jamaa au rafiki anasumbuliwa na magonjwa Tajwa hapo juu (SIKOCEL & KISUKARI NA KUONGEZA CD4) napenda kuwaambia kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.