Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
nauza ps2 na accessories zote kama uzionavyo kwenye picha bei only 150,000 tsh. if interested niPM tuongee
0 Reactions
13 Replies
1K Views
nauza cm tajwa hapo juu ikiwa haina tatizo lolote wala single scratch, ina miezi mitano tangu inunuliwe. nimeamua kuuza coz nna some problems nataka kuzifix. bei 170k negotiable contacts...
0 Reactions
1 Replies
978 Views
hp printer yenye copy,scaner na printer ni black and coloured bei 80 nichek 0654160092
0 Reactions
2 Replies
694 Views
Habari zenu wapendwa, Mimi naishi Dar-Kinondoni,,nina Desktop zangu used kama nane hivi, natamani kuzikodisha kwa mtu yeyote mwaminifu mwenye nia ya kufungua Training Centre hapa mjini..Naweza...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wadau natafuta brand new iPhone 4s au 5 Contact: WhatsApp only +1 845 842 5055.
0 Reactions
2 Replies
927 Views
Natafuta mtu atakayenisaidia kuniletea Pulley or Accessory belt for engine, compressor, alternator .. Kwa ajili ya gari aina ifuatayo: Alfa Romeo 156 (2002), V6 engine 2500 cc petrol. Model...
0 Reactions
0 Replies
709 Views
ZILITUMIKA KWENYE LENTA. ZIKO KWENYE HALI NZR(ZIMENYOOKA) NI ZA KUTOA MISUMARI TU. ZIKO 35 PIECES. NIKO DSM UBUNGO MAZIWA. BEI 5000 @ 0758293598 if interested.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
:shamba liko Bagamoyo.unaingilia shule ya baobab.kama km2 toka barabarani ni heka 8 :linakisima kilichochimbwa na machine kwajili ya umwagiliaji :mabanda yaufugaji :nyumba ya mlinzi n.k bei...
0 Reactions
0 Replies
797 Views
Nauza line hizi tigo-pesa, m-pesa na airtel money napatikana kijitonyama......bei maelewano nitumie private message(pm) nikupe namba yangu kwa mazunguzo zaidi
0 Reactions
3 Replies
1K Views
natafuta frame isiyozidi laki moja dar kimara,mwenge,makumbusho au ubungo ,nataka kuanza biashara ndogondogo za uswahilini .Kama unayo tuwasiliane kupitia 0716 282670
0 Reactions
0 Replies
682 Views
natafuta frame isiyozidi laki moja dar kimara,mwenge,makumbusho au ubungo ,nataka kuanza biashara ndogondogo za uswahilini .Kama unayo tuwasiliane kupitia 0716 282670
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Core i7, ram 16gb, hdd 500gb Bei mil 1.5
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naihitaji hii simu iwe katika hali nzuri/ good working order. Iambatane na vifaa vyake vyote. Nawasilisha ombi kwenu waungwana!
0 Reactions
0 Replies
726 Views
M-POWER ni kampuni inayotoa huduma ya umeme wa jua(solar) za kukodi zenye uwezo wa kuwasha taa,radio na kuchaji simu kwa gharama nafuu kutegemea maitaji yako kwamfano unanyumba ya vyumba 3 utalipa...
0 Reactions
14 Replies
7K Views
LG Optimus 3D toleo la mwisho linauzwa 475k. PM kama unahitaji.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Sisi tunatafuta mitungi ya gesi yasiyo chakaa... Iwe ya kampuni yeyote.. Piga simu 0766443241
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Karibuni.Kwa yeyote mwenye kuhitaji simu ya Nokia original aina yoyote ile namkaribisha. Simu zina warranty ya miezi 12.Taja aina ya simu ya Nokia uambiwe bei. Na pia aina nyingine za simu...
0 Reactions
42 Replies
10K Views
Habari wana JF kupitia dirisha la matangazo madogomadogo tunapenda kuwakilisha bidhaa yetu hii kwa wale walio katika masuala ya ujenzi,tunatengeneza milango ya mkongo na mninga kwa garama nafuu...
0 Reactions
24 Replies
22K Views
Habari JF members. Naomba msaada kwa yeyote anayekodisha au anayejua contact za watu wanaokodisha vifaa vya usafi mfano carpet, upholstery cleaners, na zinginezo. Pia vifaa vya bustani mfano...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom