Nauza tray moja kwa sh. 6500 bei ya jumla naitaj mteja anaeweza kuchukua tray 140 kwa kila week ntamletea pesa cash ntamletea had nyumbani kwake mteja awe yupo dar au kibaha kama wewe ni...
Nauza robo heka morogoro njia ya kwenda Mbeya umbali kutoka bara bara kuu ya Mbeya ni kama mita 300, sehemu moja inaitwa MINDU kabla ya kufika Mzumbe university, shamba lipo Morogoro Manispaa...
mambo wakuu,karibuni kwenye kampuni yetu TAPH INVESTMENT AND GENERAL SUPPLIES LTD,tunatoa huduma za kuprint tshirt,kofia,mabango ya matangazo,busness cards,IDs cards,large...
Wadau naomba mnijuze naweza pata wapi solar panel zenye uwezo wa ku-manage kuwasha taa zaid ya 2 afu na kutumia kwa kucharg simu na kuwasha anagalau redio.
Na bei zake plz..
Wadau, hii nyumba inauzwa 70ml, maelewano yapo. Iko Kimara Mavurunza/kwa Beka, ina hati, na iko accessed kwa barabara kubwa ya Bonyokwa. Pia kuna viwanja jirani vinauzwa kwa 10ml kila kimoja...
maeneo ya ubungo basi moja kokote uendako mjini mjini fensi geti usalama wa kutosha maji nyumba ya pili kodi 80,000 kwa mwezi masharti awe single men au women kodi miezi sita ni pm kwa yeyote...
Nyumba nzima inapangishwa ipo ndani ya fensi kuna maji ndani na parking. Ipo kabla hujafika kitunda karibu na reli.
Ina self moja na single nne. Bei ni laki nne . Ila kuna maelewano kwa walio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.