contacts 0719681821
50,000tsh.wa mikoani watatumiwa either kwa wateja wa jumla au rejareja.wa mikoa ya moro,njombe,songea,moshi na arusha usafirishaji ni buureeee.
Nauza Used Batteries za Solar (Dry Cell) Zenye Ampere 170 na Volts 12.
Zinaweza kutumika kama Battery Bank ya Solar Power au Umeme wa kawaida.
Ziko mbili na kila moja inauzwa Laki Mbili tu...
Nauza Used Batteries za Solar (Dry Cell) Zenye Ampere 170 na Volts 12.
Zinaweza kutumika kama Battery Bank ya Solar Power au Umeme wa kawaida.
Ziko mbili na kila moja inauzwa Laki Mbili tu...
Habari zenu wanajamvi.
Natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya Kinondoni,Mikocheni,au Sinza. Iwe chumba kimoja self contained ama viwili bei isizidi.Iwe kwenye mazingira mazuri kwenye usalama sio...
Jamani unaona una Prado unatafuta mnunuaji mimi ninahitaji kwa bei hiyo hapo juu Mil 12,
Iwe ya mwaka kuanzia 1996-98
Engine iwe 1KZ
Iwe inatumia mafuta ya Diesel mikangafu sitaki!
Unayo PM
Nahtaji vyumba 2 vya kupanga -chumba na sebule, iwe mandela road dsm kuanzia external-tabata njiapanda segerea, iwe na umeme+maji na usalama.
unaweza ukan-PM, au ukawepa no cm!
Gari mpya toka nje
Ni Mark X 250
Plus registration
Ndo imeingia tu toka nje
Automatic transmission
2004
Bei ni 23mil
Mwaka mpya mambo mapya
Na Passo za Xmas bado zipo kwa bei nafuu tu!!
Serious...
Kampuni ya Chinaworldbuz Company (CWB) inakuletea mashine nzuri na za kisasa kwa bei nafuu! Nunua eggs incubators, car wash trolleys, CD duplicators, sugar and salt granule packaging machine kwa...
Natafuta nyumba kupanga maeneo ya changombe temeke rooms tatu ..moja iwe self kitchen na parking space iwe na fance..maji yawepo
Budget yangu 350000 kwa mwezi
Wadau,
Kwa kuthamini sikukuu ya x-mas nawaletea kwenu bidhaa kali ila kwa bei ya kutupa kabisa.
Products zenyewe ni kama vile:
iPhone 5 (used) kwa bei ya Tshs. 750,000 tu. Simu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.