Ndugu zangu wa IFM wote kwa pamoja tusogee jukwaani tujipatie hostel mapema...!
mandhari nzuri kwa ajili ya kujisomea na maji ni uhakika na umeme upo full time.
Kwa wanaohitaji tuwasiliane hapa...
wadau naomba mnisaidie kupata eneo la biashara ya stationary na car wash,tafadhali naomba msaada wenu.ni inbox kwa kunisaidia ndugu yenu .thanks in advance
Nauza simu aina ya Nokia Lumia 520 ipo katika box lake ni mpya imetumika week 1 tu na inakila kitu kuanzia charger,earphone na cable yake....bei ni tsh 250,000....kwa mawasiliano nichek 0715 369096
Habari wanaJF!!
Poleni na majukumu ya kutwa nzima ya leo,!!! Nina ombi moja tu kwa aliye na accounting packages zifuatazo (Ukipata hata 2 au moja sio mbaya) Tally 9.2,Quick Books Pro 2012 au 2013...
Wakuu salaamu Kwenu.
Penye Wengi hapakosi Mengi.
Nataka Kununua Gari, Itakayonifaa Kwa Safari ndefu ( ARS-DAR-MZA) etc mara Mbili mpaka 3 in 6 Months, bila kuwa na wasi wasi na safari,
Niwe...
Kwa yeyote mwenye uhitaji wa kupata kiwanja kizuri maeneo ya visiga madafu tafadhari awasiliane nami.
kiwanja ni robo eka (kiko flat na miembe tanga miwili) wewe ni kula tu kila msimu)
sio porini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.