Natafuta nyumba ya chumba na sebule self contained au hata chumba kimoja self contained ila kiwe kikubwa maeneo ya kinondoni, magomeni, mikocheni na moroco. Iwe karibu na barabara na kuwepo na...
Poleni kwa kazi na majukumu mengine ya kila siku wakuu,
Sio mwenyeji sana wa morogoro manispaa na nimehamishiwa hapa kikazi,
lengo langu ni kufahamu kama kuna VITUO VILIVYOIDHINISHWA KWA...
Habari wana jamvi!Kwa wale wapenzi wa samaki karibuni samaki wa maji baridi sato na sangara.Tunauza jumla n rejareja.Tupo kimara mwisho tunatazamana na stand y magari ya kwenda mjini.Bei zetu ni...
Kiwanja kinahitajika maeneo ya Mbweni kiwe kimepimwa, na ukubwa kisipungue sqm kati ya 1350 na 1500 bei isizidi 30m. kwa mawasiliano piga no 0773 944 944.
kwa wadau wote. Ninauza gari aina ya nissan pick up model t-gd21. Inatumia petrol. Cc ni 1627. Inatembea ila inaitaji marebisho ya kabureta na matairi sio mazuri karibuni kwa pm wakuu
Kiwanja kipo Moshi mjini,maeneo ya PASUA.Kipo eneo zuri mita 200 kutoka barabara ya pasua-mbuyuni.Kipo karibu na soko jipya.Bei mill22,kwa maelezo na mwawasiliano zaidi piga 0713792533/0684570069.
Ndugu zangu natafuta compressor washing machine kwa ajili ya kuoshea magari. Natafuta inayotumia petrol mana nilipo hakuna umeme. Mwenye nayo au anayejua zinapouzwa na bei yake naomba anijuze...
We offer all e-mail users with a FREE 07366xxxx fax number that is linked to your e-mail address. You can now receive all your faxes in your inbox the same as a e-mail. Should you be interested...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.