Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Wakuu nauza kampuni zangu> moja inajishughulisha na usafi ktk maofisi na majumbani. imesajiliwa na leseni yake inaruhusu kufanya usafi kwa ujumla yaani unafanya usafi wa aina zote: inaitwa(...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
OFFER OFFER OFFER Jipatie laptops kwa bei nafuu kabisa DELL RAM 2GB HARD DISK 60GB DVD WRITTER ITS DVD ROM Bei ni 310,000 tu zimebaki pc6 ukichkua zote tunakupa kwa 290000 Pia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakuu Kwa yeyote mwenye nalo au ana taarifa za mahali linauzwa tafadhali anijulishe kwa PM. Sina uwezo wa kununua jipya; Nataka used au hata lililo down kabisa nikafufue. Ninachojali chassis na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MAHALI: IRINGA MJINI – MAWELEWELE (Jirani na yanapojengwa makao makuu mapya ya Mkoa) UKUBWA: METER 35 X 25 Usafiri unapatikana ni Tsh 400/= kwa daladala kutoka stendi kuu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wana JF nahitaji mkopo wa haraka 2m nitalipa na riba. kama kuna mtu mwenye uzoefu au mwenye kujua wanapotoa kwa uharaka. Asante
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Txt 0656063933 orPM bado iko poa ila imetumika miezi6 tu
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna kampuni kutoka uholanzi inahitaji kampuni au agent itakayokuwa inawasambazia nyama zao za ngombe nk hapa tanzania kwa anayehitaji hii deal ani contact me 0716567467 ili nim connect nao
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Modem ya airtel nauza nimeitumia lkn ukihtaj tsh20000 npo dar ubungo
0 Reactions
1 Replies
925 Views
Ni viwanja viwili ila vina hati moja ukubwa ni 15x30 ,15x30 area sqm 1000 . umeme maji vipo hapo hapo na mawe trip 12 bei ml 25 . Kwa anayehitaji PM
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa yeyote anayeuza simu tajwa hapo juu anaweza kuni PM tuongee biashara VIGEZO VYA KUZINGATIA: 1: Iwe mpya au iliyotumika, kama imetumika isiwe imechoka au isiwe na crack mahala popote 2: Iwe ni...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
MODEL: TOYOTA OPA YEAR: 2001 ODO (MILLAGE) : 36,000 Bado iko kwenye hali nzuri sana. Ndani ni safi sana. Wasiliana: +255 784 367836
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ipo maeneo ya Bigwa mtaa wa Lukuyu,ina uwanja mkubwa sana wa kuweza kujena nyumba zingine!imejengwa mpaka level ya rinta!ina vyumba vinne,master,sebule na jiko!bei ni 19.5/=m mazungumzo yapo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wakuu nahitaji moderm inayoingiza laini zote isizidi 30,000,kama ipo ni pm namba yako, ahsanteni
0 Reactions
1 Replies
872 Views
guys nina shida sana na hio modem kwa mtu anayeweza kuniazima au kuniuzia anaweza kupost au kuni pm. Najua wengi mnazo makabatini mi naihitaji kuna experiment fulani nataka nifanye sema hazipo...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nauza kamera hii kama mnavyoiona kwenye picha mwenye kuitaka anaweza wasiliana kwa 0768808819 ama ani pm
0 Reactions
9 Replies
964 Views
viwanja ambavyo vipo karibu na bandari bagamoyo maeneo ya kitopeni vinauzwa kwa Matumizi Tofauti kwa mfano ku invest, makazi... n.k,, kila square meter moja ni shilingi elfu nane na vimepimwa pia...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nahitaji pikipiki used iwe ktk hali nzuri, pia iwe na documents zote, ingependeza ikawa sanlg, fekon au boxer. Dau langu ni shs laki saba. Contact 0714-408238.
0 Reactions
1 Replies
972 Views
Wadau wa JF, mimi nina mashine ya kutotolesha vifaranga. Tatizo ni jinsi ya kupata mayai. Naomba mnisaidie wapi nipate mayai yaliyolelewa kwa ajili ya kutotoleshwa. Niko Mbeya , ILEJE.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Natafuta fundi wa Pikipiki aina ya Honda Sabre VF 750. Tangu nimeileta toka Japan sikuwahi kuitumia. Kama kuna mtu yeyote aliye na pikipiki ya aina hii naomba tuwasiliane ili niulizie fundi wakeni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom