Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Mazhim Tanzania limited is a Registered company with reg no 95507 Incorporation Date 28th November 2012 Place of registration Dar es salaam, Tanzania Postal Address P.O Box 62279, Dar es Salaam...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
JIFUNZE SAYANSI YA KIAFRIKA UNGO AFRIKA ni taasisi inayo jihusisha na masuala ya utamaduni,mila na desturi za kiafrika . Tunapenda kuwatangazia watu wote kuwa tunatoa kozi...
0 Reactions
39 Replies
5K Views
Gari aina ya Toyota Vitz inauzwa ipo Dar na bei ni Tshs 5.5 milion.Mtanisamehe kwakuwa gari hii sio yangu ila namsaidia ndugu yangu kumtangazia kwa hiyo maelezo hajanipa mengi ila mtampata katika...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari najitaji video cd zenye masomo ya computerised accounting software kwa mwenye kuuza au anaye fahamu link ya ku download msaada plz my no 0716 567 467
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wapendwa wadau kuna biashara simu mpya kampuni ya at&t samsung ziko sokoni tunaziuza kwa jumla na rejareja ni simu nzuri smart phone Ukipenda pm me nitaleta ulipo..keshi tutaziuza arusha
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu. kuna viwanja vinne tofauti second low from the beach maeneo ya mbweni! Ukubwa ni kama ifuatavyo 1639sqm, 1191sqm, 1294sqm and 1580sqm. Bei ni poa kabisa karibu na bure. Do not miss this...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Naomba kuuliza kwamba eti wakuu nikitaka kuweka mahali pooltable kwenye bar hivi maeneo ya Sinza au ilala malipo yanakua bei gan kwa mwezi yaani ntakayo mlipa mwenye bar kama kodi ~Asante~
0 Reactions
0 Replies
758 Views
Nyumba ya vyumba vitatu ikiwemo masterbedroom ndani ya fenzi na parking ya kutosha. Jiko, sebule, dinning pamoja na common toilet bila kusahau LUKU! Bei laki 300 kwa mwezi. Nipigie 0784 003 000
0 Reactions
18 Replies
3K Views
nauza engine ya toyota duet bei ni laki tisa haina tatizo lolote na inatoa maji ukiiwasha,
0 Reactions
10 Replies
4K Views
AMAZING CLEAN 9, SHE MANAGE TO LOSS FROM 105KGS TO 85KGS, ALL AWAY FROM ARUSHA AND DSM Being overweight is not about how you look; it’s considered a health risk; Cancer, Diabetes, High Blood...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ina vyumba viwili,sebule na choo ndani.Gari inafika mapaka nyumbani na kiwanja ukubwa ni sqm 205.Bei 35 milioni Mawasiliano:0714 381704
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Shamba la hekari 3 linauzwa Kigamboni. Liko kilometa 3 kutoka Dar Zoo, Mwasonga. Liko mita 150 kutoka barabara kuu, na liko kwenye mji wa Mwasonga. Linafaa kwa Biashara na Makazi. Bei ni...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
nataka bajaji nzuri kama kuna mtu anae uza tuwasiliiane apa 0783907323
0 Reactions
0 Replies
1K Views
uluhisho kwa tatizo la Prostate....ambao wengi wanafahamu kama shida ya kibofu cha mkojo./TEZI LA KIUME Prostate Gland ni moja ya sehemu ya mfumo wa uzazi kwa wanaume. Ni kikokwa kipo chini ya...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
SABUNI YA KUFULIAVITENGE/NGUO ZA NDANI NA USAFI WA BAFUNI SABUNI NZURI KWA VITENGE NA NGUO ZINAZOCHUJA AU KUPAUKA: Natucare ni sabuni nzuri sana kwa ajili ya kufulia vitenge au nguo ambazo zina...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
matatizo ya uzazi upande wa kina mama na kina baba tuna dawa ya tiba asilia isiyokuwa na chemical.Ni dawa zinazotokona na vyakula vyetu vya asili pamoja na magome ya miiti ambayo yamesagwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Aisee nina tablet mpya kabisa mali ya samsunng galaxy tab 2 nauza nichek kupitia whatapp 213551426306
0 Reactions
10 Replies
2K Views
shamba lipo eneo mvuti eka5 eneo nizuri linafaha kwa kilimo karibuni sana bei mill 10 mazaungumzo yapo kalibu nagereza la dondwe kwamawasiliano piga 0712690760 wekeza kwa badae na sasa
0 Reactions
2 Replies
792 Views
Shamba linauzwa hili lipo Yombo Bagamoyo,barabara ya Mlandizi bagamoyo lipo km 2.5 kutoka barabarani lina ukubwa wa ekari 50 linafaa kwa kuanzisha shule na hata chuo",kila ekari inauzwa MILIONI...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau natafuta gari hizo apo ziwe katk hali nzuri bajeti yangu ni milioni nne pia mwaka kwanzia mwaka 2000 my number 0766681106
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Back
Top Bottom