Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
:help: Naitaji Suzuki Swift na mwenzangu mmoja anaitaji Vits, zilizokwenye hali nzuri na info za service zilizofanyika itakuwa addition point. Bei ya kiujamaa nina budget ninayojua inatosha kabisa...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
wakuu Habari za j2 naitaji iphone 5 used bajet yangu Ni laki tano mwenye nayo anipm
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari wa JF, Natafuta kiwanja kisichopungua ukubwa wa sqm 600 kati ya maeneo yafuatayo: 1.Salasala 2.Mbweni 3.Bunju Kiwe kimepimwa na serikali na hakina mgogoro wowote. Budget: 15M Je kuna...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nauza simu tajwa hapo juu Bei ni laki mbili tu. Ni mpya na haijawahi kutumika Karibuni kwa atayehitaji
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habari zenu wana jf wenzangu. Naitwa mgowela naishi morogoro. Nilimaliza advance diploma in accountancy pale t.i.a 2010. Nilikuwa na ajira ya muda kwa sasa kampuni imebadili shughuli hivyo...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naandika post hii kutoa fursa kwa Mtu binafsi yeyote ambaye anapenda kuwa mshirika wetu katika biashara (business partner) katika kampuni yetu. Tunahitaji angalau mtu mmoja kila mkoa isipokuwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
nataka kuchukua bidhaa za FOREVER na supply lakini nimepata darasa juu juu tu aliye na taarifa kamili naomba anijuze zaidi, namna ya kuwa mwanachama, kupata bidhaa namna ya kusambaza na masharti...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
HABARINI WANA JF Playstation 2 consoles zilizotengenezwa kutumia flash disk zinapatikana, baada ya kuwa zimewekewa chip kwenye system yake na kuweza ku boot games za iso bila kutumia CD za...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
kama wewe ni mpenzi wa CHELSEA,MAN UTD AU ARSENAL nina DVD za SEASON REVIEW 2012/2013 DVD HIZI ZIMESHEHENI MAMBO YAFUATAYO 1. HIGHLIGHTS ZA GAME ZOTE ZA TEAM HUSIKA MSIMU MZIMA 2012/2013 2...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimenunua kiwanja hapa mbezi Goba, jamaa aliyeniuzia anauza pia viwanja viwili , kimoja ni 40 kwa 40 sh milioni 5, na kingine 30 kwa 35 millioni. 3. Kama kuna mtu anahitaji. Hakuna dalali hapo...
0 Reactions
11 Replies
4K Views
Imetembea kms 112000, ya mwaka 2000, nimeichukua showroom dsm last year february, ipo katika hali nzuri. matairi mapya, full ac, redio inafanya kazi vizuri. Namba ya usajili ni T...BZ.. Bei ni 6m.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
ipo eneo zuri yombo vituka,gari inafikika,umeme upo karibu,maji yapo,ipo karibu na barabara ya mtaa,anayehitaji anipm au aweke namba yake nitampigia akishindwa anicheki kwa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mint used iko na charger, USB, earphone, screen protector na back cover 0783509696
0 Reactions
5 Replies
974 Views
Are you in need of a Software that will provide you with the following? 1.Daily Sales 2.Current Stock 3.Daily Expenses 4.Cash flow 5.Profit and Loss 6.Trial Balance 7.Balance Sheet 8.Debtors...
0 Reactions
0 Replies
561 Views
FLASHLIGHT TRAINING COLLEGE INAWATANGAZIA NAFASI ZA MASOMO YA COMPUTER NA SECRETARIAL.CHUO KIPO KONDOA MJINI. Mawasiliano: 0688434525, 0755358180. Wote mnakaribishwa.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
habari wana jf,nimeipenda sana hii simu na ningependa niwe nayo...ila nahofia kununua kitu fake naomba yeyote anayefahamu maduka ambayo naweza kupata simu original nipo Dar,natanguliza shukuran
0 Reactions
7 Replies
925 Views
Great condition Specs: General 2G Network GSM 850 / 900 / 1800 / 1900 3G Network HSDPA 850 / 1900 / 2100 HSDPA 900 / 1700 / 2100 SIM Mini-SIM Body Dimensions 109 x 60 x 14 mm (4.29 x 2.36 x 0.55...
0 Reactions
1 Replies
851 Views
ina:fb,twiteer,whtsup etc tenainakuonyesha kama online or not!inasoma pdf ukubwa wowte namafaili mengine yawords katika formats tofauti,namaujanja mengine kibao!specifications nyingine soma kwenye...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nawasalimuni wapendwa wote kwa Jina la MUNGU Mkuu Muumba wa Mbingu na Nchi, Nawaletea habari kuhusu Maombi mazito na mfungo mkali wa siku 40 kwaajili ya Toba kwa Taifa letu,[Operation Repent]...
4 Reactions
11 Replies
6K Views
Wadau. we are a group of self employed lawyers. Tunafanya a wide range of activities,including,but not limited to,consultancy kwenye masuala ya sheria, tafiti, translation services etc...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom