Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.
Ipo Mabibo Mwisho Jonans vyumba 3 na sebule. Bei 37,000,000
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jamani mwenye kujua bei ya hiyo gari aniambie natanguliza shukrani.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Ni orijino. Ipo katika hali nzuri. Bei 190,000.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama umeipenda piga simu tuzungumze 0755 946 905 /0715 946 905. Picha zimeambatanishwa kwa kuona.
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nipigie 0754-856277.Pia maeneo ya wazo-Makamba
0 Reactions
2 Replies
1K Views
GET YOUR KEY AND DRIVE cheAPEST PRICE SALE!!!SALE!!!SALE!!! Make:Toyota Type:Rav4 J(New Model) Year:2000 Distance:67000 km Transmission:Automatic fuel:Petrol Others:power mirror,power...
0 Reactions
4 Replies
965 Views
Imetembea km 246980 , Ina vibali vyote vya taxi cab vinavyoishia Dec 2013, imesajiriwa kituo cha Mabibo Hostel. Kama imeipenda tufanye biashara piga simu zifuatazo:0715 946 905/0755 946...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hi Wadau wa JF hasa wale wenyeji mjini Mwanza. Inahitajika nyumba ya kupanga ambayo pia itatumika kwa office. Nyumba yenyewe inapaswa iwe na vyumba vinne vya kulala na ofisi kubwa na pia kuwepo na...
0 Reactions
0 Replies
792 Views
Features 3.2 MP camera web browser High speed HSDPA network Wifi 802.11 b/g/n USB 2.0 G-sensor Android 2.3 Haya yote kwa laki na harobain (140000). Contact :+255713968649
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zenu wana JF, natafuta nyumba ya kupanga maeneo ya mbezi beach, kijitonyama, mwenge na kwingineko kwenye usafiri mzuri. iwe ya vyumba 2-3, iwe ndani ya gate. unaweza nsms 0717 42 11 96...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
habarini wakubwa, nauza Item: Apple iPad 2 16GB (3G + Wi-Fi) - Zipo tatu Accessories: USB Cable Price: TZS 550,000/= Call: 0655003510
0 Reactions
0 Replies
850 Views
Wandugu JF , Natafuta hiyo antivirus-NOD 32 Antivirus kwa ajili ya windows XP au windows 7 kwa haraka naweza kuipata wapi hapa DSM? Naomba msaada. Nawakilisha. Rakey
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu simu mpya iko kwenye box aina ya huawei asecend y210-0100 inauzwa ikiwa na vifaa vyake vyote Sifa zake Android 2.3.6 WCDMA/CAM 1Ghz CPU 1700 mAh battery 3.5 inch display with auto rotating...
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Rangi ya dhahabu metallic, 2.4cc 4 cylinder ivtec engine, imetengenezwa 2003, ipo Tanzania kwa miaka 3 sasa, iliingia toka Singapore, imetembea 130,000km, inakaa watu 7 comfortably seated...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Kiwanja kinauzwa kipo maeneo ya chang'ombe maduka mawili karibu na kituo cha mafuta cha camel, kwa anayehitaji ani pm..
0 Reactions
0 Replies
930 Views
Toyota rav 4 L Import from japan. Haijatumika kabisa hapa bongo. Km 136,000 Model 1997 Engine 3S cc 1998 Bei million 14, ukiwa serious tuwasiliane 0756 600311,0782 335151
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kwa bei rahisi, kipo kibaha kwa mathias near open university, kina ukubwa wa ekari 4 na kipo karibu na barabara.. bei 15 million, kwa anayehitaji tuwasiliane 0713 542400
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwalimu wa tuition kwa class 2 na 4 anatakiwa part time after working hrs. Kuanzia saa 10 home school.
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Nyumba imefikia kwenye renter, ina vyumba 5 vya kulala, kimoja ni Master Bedroom. Ipo Chanika Msumbiji, kando ya barabara kuu ya daladala. Kiwanja kina ukumbwa wa 30 kwa 25. Bei 30,000,000/=...
0 Reactions
0 Replies
907 Views
Wadau, Shamba linauzwa Eneo la Kigamboni karibu na Dar es salaam Zoo. Shamba hili lina ukubwa wa Heka 10, Kigamboni ni eneo ambalo Wawekezaji wananunua mashamba na kuyapima viwanja kisha kuyauza...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Back
Top Bottom